kisugujira
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 774
- 200
Tausi ndege wangu......
Siti binti kasri, Dama na Mujuba!
hahahaaa
Ingine....THE BOLD AND THE BEAUTFUL..........
Wewe ni noma! Umenikumbusha tamthilia nzuri sana ya Siti binti Kasri. Ni vyema kama tutakuwa tunaenzi kilicho chetu na chenye maadili ya kiafrika kuliko kushabikia mambo ya ughaibuni!