Kapyungu A
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 3,499
- 3,161
Ha ha paco na preta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sio Mpenzi sana wa Korea drama!Slave hunter
Emperor of the sea
Mara sec hiyo tumejazana bwaloni saa 5 usiku... maisha ya shule matamu sana...
Yani. Tonny na Rachel. ., na Max! Hahaha dah!Acapulco bay
Ilikuwa inaitwa "PASSION" huyo bibi timi alikuwa anaitwa "Tabitha"Hii tamthilia sijui ka inakumbukwa bibi timi alikuwa na doli lake,mara lizimie mara ligande mara liamke liwe mtu,yule bibi alikuw mchawi haswaaa
.....wapita watu wawili... Waloleta ufahari ...sasa tuko mbalimbali...Umenisemea aisee,.hivi inapatikana sasahv kweli? Nakumbuka wimbo wao..."tausi ndege wangu,ndege wangu wa fahari,ndege umekwisha mali sasa wataka buri",.....[emoji7]
We ushakuwa babu now daysEGOLI
Una wajukuu wangapi now?!Egoli
Una wajukuu wangapi?!Egoli,sunset
Una wajukuu wangapi?!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji120]Sababu za kishule mtoto yupo std 7 una swali lingine mwali kigego
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji120]