Kama imebaki kidogo umalize obviously utakuwa umeshapauwa hapo kama siyo mtu wa kujiuliza uliza maswali unaingia hivyo hivyo vingine vitakukuta.Yani unakuta maybe imebaki umalizie kidogo,unashindwa kumaliza
Ukipata hela ya kumalizia kuna jambo linatokea unatumia hela yote.
Amina 🙏Mungu ampe pumziko la milele kafa katika ujenzi wa taifa
Biashara haijengagi nyumba chief kama wewe ni mchuuzi wa kawaida!Wakuu habari za muda huu najua mko njema tunaendelea kupata pumzi ya bure na Mungu atubariki
Kama kawaida kuna wakati mtu unapambana na inafika hatua unatamani uwe na kwako uchomoke kwenye mambo za kupanga au tena ukahitaji kujiwekeza kwenye ujenzi kama biashara
Sasa kama ilivyo kawaida kujenga hakujawai kuwa rahisi, baada ya kupiga hesabu zangu nikaona nisimamishe kibanda cha vyumba vitatu na sebure nikiwa na uhakika na biashara yangu kuimarika kiasi kwamba kila mwezi ninaweza kusave 1ml nikaelekeza kwenye ujenzi
Doh! Najuta baada tu ya kuamsha boma upepo wa biashara ukabadirika na nisiweze kunyanyuka mwaka wa pili huu boma limekuwa gofu kila nikipiga ramani hazieleweki.
Je vipi kwako mdau nyumba yako imekamilika au umejiunga katika jumuia ya magofu tz? Unafanyaje kujiondoa katika hali hiyo?
Karibuni
Nyumba za namna hiyo ndio zinawapa akina dr shika umaarufu ni suala la muda tuBiashara haijengagi nyumba chief kama wewe ni mchuuzi wa kawaida!
Nyumba hujengwa kwa mikopo ya kuunga unga !
Hii mentality haiwezi kuwa ni ya GTTatizo ni kwamba ukishafanikiwa kumaliza hiyo nyumba unakufa muda si mrefu. Halafu Kama utamuachia mkeo na watoto , basi jasho lako atakuja kufaidi dereva wa boda boda au fala mmoja unayemdharau kipindi hiki wakati unahangaika kujenga...huyo fala atavimba nyumbani kwako akiwa amevaa taulo lako ulilokuwa unalipenda
Yaani mfanyabiashara/mchuuzi akope ili ajenge? Nyumba inajengwa kwa kutumia sehemu ya faida upatayo. Sehemu ya faida.Biashara haijengagi nyumba chief kama wewe ni mchuuzi wa kawaida!
Nyumba hujengwa kwa mikopo ya kuunga unga !
Pole mkuu tafuta hela ya kupaua, weka dirisha za wavu, weka milango yw nje na umeme ingia ndani mengine utamaliza badaeWakuu habari za muda huu najua mko njema tunaendelea kupata pumzi ya bure na Mungu atubariki
Kama kawaida kuna wakati mtu unapambana na inafika hatua unatamani uwe na kwako uchomoke kwenye mambo za kupanga au tena ukahitaji kujiwekeza kwenye ujenzi kama biashara
Sasa kama ilivyo kawaida kujenga hakujawai kuwa rahisi, baada ya kupiga hesabu zangu nikaona nisimamishe kibanda cha vyumba vitatu na sebure nikiwa na uhakika na biashara yangu kuimarika kiasi kwamba kila mwezi ninaweza kusave 1ml nikaelekeza kwenye ujenzi
Doh! Najuta baada tu ya kuamsha boma upepo wa biashara ukabadirika na nisiweze kunyanyuka mwaka wa pili huu boma limekuwa gofu kila nikipiga ramani hazieleweki.
Je vipi kwako mdau nyumba yako imekamilika au umejiunga katika jumuia ya magofu tz? Unafanyaje kujiondoa katika hali hiyo?
Karibuni
Tafuta zao lenye hela panda hapo kwanza utapata hela ya matumiziJe na sisi tunaotembelea viwanja vyetu kila mara kama vinaumwa je? Ndugu wakitutembelea ndio tunapata sehemu ya matembezi sisi haoo kwenye kiwanja basi , viwanja vinakua kama sehemu ya utalii aiseee.
Panda hapo zao lenye hela utapata matumizibora ata nyie mna magofu...sie wengine tunaishia kusafisha viwanja tuu
Mimi nimeanza mwaka jana mwezi wa 3, nikaipeleka hati kumaliza boma na shimo za vyoo. Kuezeka nikashindwa mambo yakawa mengi elq ya kuezeka nikaitumia. Nikaipata tena feb nikaitumia. Mwez wa tatu nikapata tena nikapiga bati nikafuga grill nikapiga rafu floor hapa nafunga blundering na wiring nadhan itakamilika j4 ijayo. Tanesco hao waya washaufikisha kwangu fundi akimaliza wiring umeme unawaka same day, nikiweka tu maji napiga plasta master nahamia kwa kuweka mlango mbele na nyuma mengne yatanikuta ndan maana sina familia so ntakomaaKama imebaki kidogo umalize obviously utakuwa umeshapauwa hapo kama siyo mtu wa kujiuliza uliza maswali unaingia hivyo hivyo vingine vitakukuta.
Kinachokwamisha ujenzi baada ya kuinua boma ni kupauwa kutokana na kunahitaji hela nyingi ya pamoja kwa wakati mmoja ila ukishavuka hapo hata ukiwa na 300K ukaita fundi anafanya kitu kinaonekana.
Ipo siku utatimiza ndoto yako mkuu endelea kupambanaJe na sisi tunaotembelea viwanja vyetu kila mara kama vinaumwa je? Ndugu wakitutembelea ndio tunapata sehemu ya matembezi sisi haoo kwenye kiwanja basi , viwanja vinakua kama sehemu ya utalii aiseee.