REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
Vijana wa hovyo ndio hawa taifa linawangalia tu pombe aina ya kisungura zinavyoharibu akili zao eeeh Mungu tusaidieTatizo ni kwamba ukishafanikiwa kumaliza hiyo nyumba unakufa muda si mrefu. Halafu Kama utamuachia mkeo na watoto , basi jasho lako atakuja kufaidi dereva wa boda boda au fala mmoja unayemdharau kipindi hiki wakati unahangaika kujenga...huyo fala atavimba nyumbani kwako akiwa amevaa taulo lako ulilokuwa unalipenda
👏🏿👏🏿Mafanikio yanaanzia ndani ya nafsi, usikate tamaa, usijinenee kushindwa....unaweza mkuu.
Duh kuna nyumba inapigwa Plaster na kuwekwa umeme bila kuezekwa?Ushaezeka au umehamia bila kuezeka
Pole san mkuu ila nlichogundua watu wengi hawajengi nyumba kwa mahitaji yao bali wanajenga like kufanana au kushindan na ndugu,jiran,jamaa na marafiki mwisho wa siku nyumba nyingi mnaziacha nakuwa mapagara ya kuficha wezi,wavuta bangi na mirungi pia wezi....Wakuu habari za muda huu najua mko njema tunaendelea kupata pumzi ya bure na Mungu atubariki
Kama kawaida kuna wakati mtu unapambana na inafika hatua unatamani uwe na kwako uchomoke kwenye mambo za kupanga au tena ukahitaji kujiwekeza kwenye ujenzi kama biashara
Sasa kama ilivyo kawaida kujenga hakujawai kuwa rahisi, baada ya kupiga hesabu zangu nikaona nisimamishe kibanda cha vyumba vitatu na sebure nikiwa na uhakika na biashara yangu kuimarika kiasi kwamba kila mwezi ninaweza kusave 1ml nikaelekeza kwenye ujenzi
Doh! Najuta baada tu ya kuamsha boma upepo wa biashara ukabadirika na nisiweze kunyanyuka mwaka wa pili huu boma limekuwa gofu kila nikipiga ramani hazieleweki.
Je vipi kwako mdau nyumba yako imekamilika au umejiunga katika jumuia ya magofu tz? Unafanyaje kujiondoa katika hali hiyo?
Karibuni
Ushauri mzuri mkuu japo kwenye kujenga kushindana sina uhakika sana maana mimi nilianza kujenga ili niondokane na pango linalonipa ufinyu wa kukaaPole san mkuu ila nlichogundua watu wengi hawajengi nyumba kwa mahitaji yao bali wanajenga like kufanana au kushindan na ndugu,jiran,jamaa na marafiki mwisho wa siku nyumba nyingi mnaziacha nakuwa mapagara ya kuficha wezi,wavuta bangi na mirungi pia wezi....
Labda nikushauri jambo kama tayari umeshamwaga zege ya slub bas weka mlinzi then anza kuimalizia taratibu fikiri hata mbinu ya kuibadili iwe na vyumba vya kupanga ile kodi yake unaendeleza nyumba kidogo kidogo achana na kuwaza eneo la juu boresha chini paonekne nyumba bas mengine utafanya mbele ya safari
Endelea kupambania kombe lako kiongozi
jitaidi uwe unatembelea mala kwa mala umeisha ivuka 30%Toka niliterekeze sikuchukuapo picha mkuu
Niliiona juzi mitaa ya goba, kishapitisha umeme na kapiga plasta ila haijaezekwa....nikabaki nashangaaDuh kuna nyumba inapigwa Plaster na kuwekwa umeme bila kuezekwa?
Mvua ikinyesha?Niliiona juzi mitaa ya goba, kishapitisha umeme na kapiga plasta ila haijaezekwa....nikabaki nashangaa
unavyo ongeza maumivu ndio unatafakari utapatawapi pesa hakuna pesa nyingi kidogo unachopata tunza lipo mkoa ganiNiliitembelea juzi mkuu japo kama niliongeza maumivu
Ndio hapo sijui hata inakuaje, nilishangaaMvua ikinyesha?
pambana kaka mkuu utashinda sababu umeumbwa mshindiNdy hivyo mkuu kwanza napambania mtaji nirudi barabarani nikianza niwe na nguvu,,,,,lipo Tanga
Linakuwa pagala kama la vyumba vitatu au vinnze au hata zaidi ila unaezeka chumba kimoja kwa kulaza bati na kukarabati vizuri unahamia huku ukivuta pumzi ya kupaua na kuezeka nyumba nzimaNdio hapo sijui hata inakuaje, nilishangaa
Ile sio nyumba ya kawaida ni nyumba ya maana kabisa ina room nyingi, ni boma zuri.Linakuwa pagala kama la vyumba vitatu au vinnze au hata zaidi ila unaezeka chumba kimoja kwa kulaza bati na kukarabati vizuri unahamia huku ukivuta pumzi ya kupaua na kuezeka nyumba nzima
Kuhusu kupiga lipu unapiga tu ili kuzuia tofari zisimegeke na erosion mbalimbali