Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndagowe mwene wachuMleta mada ULAGOWE
Hahaa londela uwundi mugole ntakundiNdagowe mwene wachu
Wewe ni mtu wa Mbeya?ulishawahi fanya kazi Jakaranda?mimi alikufaga he was so caring, loving, protector nlimuweka miaka mi4 anasubiri bikra yangu na aliweza bila kubadilika,. tulipanga mengi ya baadae ajali ikamuondoa , kazi ya Mungu haina makosa, endelea kupumzika kwa amani
Kwa hiyo mwanangu umepata anayejua kukata mauno? Kwani mauno sh ngapi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unakumbusha madonda yaliopona,nilipataga wanawake wawili yani walinipenda sana,basi mimi kwa ungexe wangu nikawa nawapelekesha vibaya sana,bado wakanipenda nilikuja kuachana nao kwa sababu za kijinga sana eti hawajui kukata mauno yani wale ndo walikuwa wake zangu wa kweli popote ulipo Christina na evaline daima nitaendelea kuwapenda
Ipo siku utamkumbuka ni muda tuu utahukumu hicho unachomfanyia, hivi ulishawahi kuwa na mwanamke una danganya hata unaumwa ili ahangaike kukutafuta lakini wala yeye hajali yani upo kwenye mahusiano kama haupo?Ndo hivyo najitahidi nione umuhimu wake ila sasa kila saa ananitumia meseji nikichelewa kujibu analalamika balaa had imekua kero, sahiv Nampa adhabu ndogo ndogo ya kutokujibu meseji zake hadi yapite masaa 24
Nimeshamuacha huyo mwanamke bro.Ipo siku utamkumbuka ni muda tuu utahukumu hicho unachomfanyia, hivi ulishawahi kuwa na mwanamke una danganya hata unaumwa ili ahangaike kukutafuta lakini wala yeye hajali yani upo kwenye mahusiano kama haupo?
Hata huyo huenda alikuwa kicheche kwa wengineBinafsi nmekutana na vicheche tupu,
Wife material niliempata Ni wife nilienae tu
Niliwahi kuwa material wa mtu, Leo ananililia.
Kuhus mimba mbna suala dogo jamani, ikifika wakati nitazaa tyuuh.Shika mimba kwanza uzae
Mistari minne ya mwisho imenipoteza sijaelewa kitu.Mi title ya uzi iko tofauti kwangu [emoji3] yaan nilioa kicheche baadae nikaangukia kwa wife material hadi sasa niko nae.
Picha linaanza baada ya kumaliza f6 nikaenda kwa anko, pale kwa anko alikuwa na jirani yake na huyo jirani yake alikuwa anaishi na mtoto wa dada yake aliye mlea tangu kachanga maana dada ya huyo jirani wa anko alifariki akaacha kadogo sana ilikuwa ngumu sana kujua sio binti wa kuzaa wa huyo jirani ya anko maana kalikua kanamwita baba badala ya anko.
Anko na huyo jirani yake walikuwa wasabato kamili kwa hiyo na kabinti kenyewe kalikuwa kasabato kalikoshika dini balaa na kalikuwa form 4 pindi hiyo kitabia kweli kalikuwa kamelelewa kakaleleka sasa wazo langu nikawa nataka nichape nitembee siku moja wameenda church miji yote kakabaki home mzee, nikafanya mambo siku hiyo kumbe kalikuwa bikra ... basi roho ya kukaoa ikawa inanitembelea sana ugumu ukawa dini ... matokeo ya six yalipotoka nikaendelea na chuo na mambo mengine miaka ikapita sana kila nikipiga simu kwa anko naogopa kuulizia habari za dogo kwamba anko angestuka..
Nikaja kuoa mwl mmoja hivi dahh alikuwa fresh kimwonekano rangi, sura, tako nikaona dhahabu nikaweka ndani hakuna rangi niliacha kuona demu kumbe kicheche....
Siku moja nikampigia mke wa anko katika kuwajulia hali nikauliza vp fulani ... ooh pale tulihama ila wakati tunahama tayari anko wako na yule jirani yake walikuwa hawapatani tena maana waliingia mgogoro wa kiwanja ilikuwa vita hatari ila yule demu aliolewa..
Siku zikaenda miaka ikapita.. siku moja mke wa anko akanipigia ameonana na dem sokoni demu akamuuliza habari zangu akaambiwa nishaoa na nina watoto akaomba namba yangu na yeye akamwambia anti kuwa alirudishwa kwao kwa kuwa hazai jamaa yake akaoa mwingine kwa hiyo yuko home tu.
Siku moja namba ngeni ikaita kupokea ni demu stori za hapa na pale mzee cha kufuia nini nikamweka ndani kicheche akasepa huwezi amini mwaka uliofuata demu mjamzito ni wife material kweli kweli... wife material ni wale ambao unawajua malezi yao tangu utoto wao. [emoji3][emoji3]
Endelea kujidanganya...Ukiwa na hela utapata tu wife material maana hao viumbe kama hauna maisha huwa hawawezi kukuvumilia so mchongo ni kusaka dough