Women look for the security that money provides au sio 🤣🤣🤣🤣Ukiwa na hela utapata tu wife material maana hao viumbe kama hauna maisha huwa hawawezi kukuvumilia so mchongo ni kusaka dough
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Women look for the security that money provides au sio 🤣🤣🤣🤣Ukiwa na hela utapata tu wife material maana hao viumbe kama hauna maisha huwa hawawezi kukuvumilia so mchongo ni kusaka dough
Sawa broEndelea kujidanganya...
We siulisema umeangukia kwa muiraq wa manyaraHuna tofauti na mimi aisee , nilitoka uchagani nikaangukia singida Matokeo yake sasa!
Wanawake wa kichaga wazuri jamani acheni tu.
Unakumbusha madonda yaliopona,nilipataga wanawake wawili yani walinipenda sana,basi mimi kwa ungexe wangu nikawa nawapelekesha vibaya sana,bado wakanipenda nilikuja kuachana nao kwa sababu za kijinga sana eti hawajui kukata mauno yani wale ndo walikuwa wake zangu wa kweli popote ulipo Christina na evaline daima nitaendelea kuwapenda
Aisee hebu nipe namba za evaline na christina nataka kuoaUnakumbusha madonda yaliopona,nilipataga wanawake wawili yani walinipenda sana,basi mimi kwa ungexe wangu nikawa nawapelekesha vibaya sana,bado wakanipenda nilikuja kuachana nao kwa sababu za kijinga sana eti hawajui kukata mauno yani wale ndo walikuwa wake zangu wa kweli popote ulipo Christina na evaline daima nitaendelea kuwapenda
Namba zake pls nimuoeLoh mwangaza wangu yule bint japo over size ila alikua wife material well raised na baba ake alikiwa na kipato cha kati, tabasamu kila saa msafi, hana njaa ya pesa, na accent, nzuri ya kiingereza, ila kubadili Dini ukawa mtihani. Ila yule mutsi ntamukubuka hana tabia za uswahili swahili, mpaka leo sijapata mbadala wake.
Wasio amini nini??[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Usifungiwe nira pamoja na wasio amini
We ushazeeka ni mbibiNi sisi ndio tupo
Karibu tule pensheni mwananguWe ushazeeka ni mbibi
Ukweli mchungu ambao wanaume wengi hawataki kuusikia. Kwenye hela kuna upendo na kwenye umasikini kuna laana.Ukiwa na hela utapata tu wife material maana hao viumbe kama hauna maisha huwa hawawezi kukuvumilia so mchongo ni kusaka dough
Umeandika kwa uchungu sana mkuu.Unakumbusha madonda yaliopona,nilipataga wanawake wawili yani walinipenda sana,basi mimi kwa ungexe wangu nikawa nawapelekesha vibaya sana,bado wakanipenda nilikuja kuachana nao kwa sababu za kijinga sana eti hawajui kukata mauno yani wale ndo walikuwa wake zangu wa kweli popote ulipo Christina na evaline daima nitaendelea kuwapenda
Mara nyingi wife material ni wale ambao familia zinajuana kama wazee wetu walivyokuwa wanasema nenda kaoe mji ule,Mistari minne ya mwisho imenipoteza sijaelewa kitu.
Uko sahihi.ujana ndio husababisha yote hayo.Wazungu wanasema " you will never miss your water untill your well gets/become dry, yaani umuhimu wa maji huja baada ya kisima kukauka.
Nakumbuka nikiwa mwaka wa kwanza wa masomo yangu katika moja ya chuo kikuu hapa nchini niliwahi bahatika kupata " a well raised woman '' unfortunately, sikutambua thamani yake mpaka nilipopata vibaka wakunipuna na kunivunja moyo wangu.
Siwezi kusahau, upole, utu, upendo, heshima na tabia ya kujali kwa yule dada. Vijana wenzengu wife material huja mara moja kumpata tena nimajaliwa.
Kama uliwahi pata wife material kisha ukaleta usela leo unalia kwa uchungu kupoteza bahati dondosha coment yako hapo chini.
🤣😂🤣Poleni sana