Tukuyu, Rungwe Mbeya wilaya ya kipekee sijaona Tanzania

Tukuyu, Rungwe Mbeya wilaya ya kipekee sijaona Tanzania

Nilibahatika kufika Tukuyu Mbeya ule mji Ni moja ya wilaya zilizobarikiwa kwa kuwa na mandhari ya kipekee Sana, Hali ya hewa ya kule uko cool mda wote. Vyakula Sasa ushindwe wewe na tumbo lako.

Zaidi maji Safi ya mito na bomba yasiyo na Mita. Lita ya maziwa 600, wapenzi wa kitimoto, kilo 6000, mkungu wa ndizi 5000. Sijui wanyakyusa wanaokimbia kwao wanashida gani???????? Wanyakyusa majibu tafadhali.........................

Wewe kwenu kukoje? Usiogope nyumbani ni nyumbani.
naunga mkono hoja
inakaribiana kidogo na tarime
pale kiwira, kuna bucha matata na vindizi sukari vya baridii kama tarime
 
Sio kweli hakuna halmashauri ya wilaya yenye historia ya kuizidi Moshi Vijijini kwa ufaulu wa wanafunzi pamoja na kubanwa kwingi.
Say whaaat!
Go do your research dude!

Moshi wameanza kufaulu baada ya Mchagga Elinewinga kushika wizara ya Elimu na kuanza kujenga shule nyingi kwao Kilimanjaro hadi Mzee Nyerere akawauliza, "mnajenga shule kwani mna walimu ?"

Kabla ya hapo RUNGWE was a pinnacle of excellence. Hili hadi Prof Kabudi alikiri hadharani.

RUNGWE All the way.....🫡
 
Say whaaat!
Go do your research dude!

Moshi wameanza kufaulu baada ya Mchagga Elinewinga kushika wizara ya Elimu na kuanza kujenga shule nyingi kwao Kilimanjaro hadi Mzee Nyerere akawauliza, "mnajenga shule kwani mna walimu ?"

Kabla ya hapo RUNGWE was a pinnacle of excellence. Hili hadi Prof Kabudi alikiri hadharani.

RUNGWE All the way.....🫡
Leta data za kuthibitisha una yoyasema. Moshi Shule zimejewangwa na wamisionari wa Kikatoliki na Kilutheri za serikali zilizojengwa baadae ni chache sana. Kule watu wamesoma sana hata kabla ya uhuru .
 
Hakika u
Tanzania ni nzuri kama viongoz tunawachagua wangewekeza kwenye miundombinu kwa kuangalia resources zilizop duh tungekuwa mbali kimaendeleo lkn kinyume chake wao wanaiba wanaenda kununua apartment Dubai ama south Africa shame upon them
Umenena vyema mkuu
 
Lushoto hii, mandhari inavutia
20240113_142033.jpg
 
Say whaaat!
Go do your research dude!

Moshi wameanza kufaulu baada ya Mchagga Elinewinga kushika wizara ya Elimu na kuanza kujenga shule nyingi kwao Kilimanjaro hadi Mzee Nyerere akawauliza, "mnajenga shule kwani mna walimu ?"

Kabla ya hapo RUNGWE was a pinnacle of excellence. Hili hadi Prof Kabudi alikiri hadharani.

RUNGWE All the way.....🫡
Hakika mkuu
 
Nilibahatika kufika Tukuyu Mbeya ule mji Ni moja ya wilaya zilizobarikiwa kwa kuwa na mandhari ya kipekee Sana, Hali ya hewa ya kule uko cool mda wote. Vyakula Sasa ushindwe wewe na tumbo lako.

Zaidi maji Safi ya mito na bomba yasiyo na Mita. Lita ya maziwa 600, wapenzi wa kitimoto, kilo 6000, mkungu wa ndizi 5000. Sijui wanyakyusa wanaokimbia kwao wanashida gani???????? Wanyakyusa majibu tafadhali.........................

Wewe kwenu kukoje? Usiogope nyumbani ni nyumbani.

Nanasi zinauzwa kwa mafungu [emoji23]
Ndizi mbivu za elfu 3 unajaza fuko la jero.
 
Back
Top Bottom