naunga mkono hojaNilibahatika kufika Tukuyu Mbeya ule mji Ni moja ya wilaya zilizobarikiwa kwa kuwa na mandhari ya kipekee Sana, Hali ya hewa ya kule uko cool mda wote. Vyakula Sasa ushindwe wewe na tumbo lako.
Zaidi maji Safi ya mito na bomba yasiyo na Mita. Lita ya maziwa 600, wapenzi wa kitimoto, kilo 6000, mkungu wa ndizi 5000. Sijui wanyakyusa wanaokimbia kwao wanashida gani???????? Wanyakyusa majibu tafadhali.........................
Wewe kwenu kukoje? Usiogope nyumbani ni nyumbani.
Unashinda Chalamo,fora au hapo ukukwe hahahaEnzi hizo tupo pale,mnashindia nguo za nyumbani,shule haina uzio,ijumaa vipindi mwisho saa4,ila fanya ufanyavyo mtaan ukikutana tu na mwalimu anajua ww ni mwanafunzi wake
Sent from my Infinix X693 using JamiiForums mobile app
RUNGWE the Champion! 🫡🫡Rungwe the champion,
Sasa hivi naona shule ya Rungwe matokeo si mabaya sana
Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
Say whaaat!Sio kweli hakuna halmashauri ya wilaya yenye historia ya kuizidi Moshi Vijijini kwa ufaulu wa wanafunzi pamoja na kubanwa kwingi.
Leta data za kuthibitisha una yoyasema. Moshi Shule zimejewangwa na wamisionari wa Kikatoliki na Kilutheri za serikali zilizojengwa baadae ni chache sana. Kule watu wamesoma sana hata kabla ya uhuru .Say whaaat!
Go do your research dude!
Moshi wameanza kufaulu baada ya Mchagga Elinewinga kushika wizara ya Elimu na kuanza kujenga shule nyingi kwao Kilimanjaro hadi Mzee Nyerere akawauliza, "mnajenga shule kwani mna walimu ?"
Kabla ya hapo RUNGWE was a pinnacle of excellence. Hili hadi Prof Kabudi alikiri hadharani.
RUNGWE All the way.....🫡
Good Lawd! Just listen to yourself! 🤣Leta data za kuthibitisha una yoyasema. Moshi Shule zimejewangwa na wamisionari wa Kikatoliki na Kilutheri za serikali zilizojengwa baadae ni chache sana. Kule watu wamesoma sana hata kabla ya uhuru .
Hoja ya msingi kabisaTukuyu ni kwetu, ni sehemu nzuri sana, ukipata muda nenda kule lufilyo kule kwa mwandosya kuna mandhari nzuri sana ya milima
Wizara ya maliasili nawashangaa sana utalii sio kuangalia wanyama tuu
Umenena vyema mkuuTanzania ni nzuri kama viongoz tunawachagua wangewekeza kwenye miundombinu kwa kuangalia resources zilizop duh tungekuwa mbali kimaendeleo lkn kinyume chake wao wanaiba wanaenda kununua apartment Dubai ama south Africa shame upon them
Hakika uko sahihi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tukuyu, Lushoto, baadhi ya maeneo ya Muheza specifically Amani, hizo sehemu ukifika nafsi inatulia.. kijani almost throughout a year.
Ukitaka Stress nenda Kanda ya ziwa, Kati kati ya mwaka hivi.., unaweza urudi asubuhi.., ukikuta mmea uliohai basi ni miba.
Anhaa sawa mkuuMafrein yupo ....ila mwakatobe kala shavu ....now ni mkuu wa shule Fulani ya secondary tukuyu
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] fora au sio,nilikuwa mkazi wa aggrey ww je
Kama Galijembe Mbeya vijijini hvLushoto hii, mandhari inavutia View attachment 2889029
Hakika mkuuSay whaaat!
Go do your research dude!
Moshi wameanza kufaulu baada ya Mchagga Elinewinga kushika wizara ya Elimu na kuanza kujenga shule nyingi kwao Kilimanjaro hadi Mzee Nyerere akawauliza, "mnajenga shule kwani mna walimu ?"
Kabla ya hapo RUNGWE was a pinnacle of excellence. Hili hadi Prof Kabudi alikiri hadharani.
RUNGWE All the way.....🫡
Nilikuwa aggrey room inayotazama ofisini jirani kabisa na lumumba[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] fora au sio,nilikuwa mkazi wa aggrey ww je
Sent from my Infinix X693 using JamiiForums mobile app
Sawasawa mzeeNilikuwa aggrey room inayotazama ofisini jirani kabisa na lumumba
Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
Makaz yangu yalikuwa mkwawa [emoji23][emoji23] juu kabisa karibu na parachichi za mzunguNilikuwa aggrey room inayotazama ofisini jirani kabisa na lumumba
Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
Nilibahatika kufika Tukuyu Mbeya ule mji Ni moja ya wilaya zilizobarikiwa kwa kuwa na mandhari ya kipekee Sana, Hali ya hewa ya kule uko cool mda wote. Vyakula Sasa ushindwe wewe na tumbo lako.
Zaidi maji Safi ya mito na bomba yasiyo na Mita. Lita ya maziwa 600, wapenzi wa kitimoto, kilo 6000, mkungu wa ndizi 5000. Sijui wanyakyusa wanaokimbia kwao wanashida gani???????? Wanyakyusa majibu tafadhali.........................
Wewe kwenu kukoje? Usiogope nyumbani ni nyumbani.