Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,170
- 3,067
Kukaja kununu [emoji23][emoji23]
Japo sipendi kukaa. Home tukuyu ila nikikumbuka mambo ya misosi
Parachichi [emoji1649] na chai
Kitimoto na ndizi
Mbatata + majimbi na maziwa
Nahuzunika sana[emoji3063][emoji26]View attachment 2886442
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
🤣😂😂😂😂Ila sio wachoyo!! Ni wakarimu sana kwa wageni.
Fanya mpango ufike na hapa kwetu Kyela, huku mademu ushindwe wewe tu, kila sampuli inapatikana.
Umenikumbusha mbsli Sana Mkuu hapo Kama Kiwira hv
Saana, mandhari nzuri sanaTukuyu ni Kuzuri YESU ALIUMBA AISE MAENEO MENGINE KAMA VILE EDEN
so umefika katika wilaya zote za Tz, hao wanyakyusa wanaokimbia hiyo hali ya hewa, ndizi, makatapera, kwenda kwenye joto wao hawaoni huo uzuri?Nilibahatika kufika Tukuyu Mbeya ule mji Ni moja ya wilaya zilizobarikiwa kwa kuwa na mandhari ya kipekee Sana, Hali ya hewa ya kule uko cool mda wote. Vyakula Sasa ushindwe wewe na tumbo lako.
Zaidi maji Safi ya mito na bomba yasiyo na Mita. Lita ya maziwa 600, wapenzi wa kitimoto, kilo 6000, mkungu wa ndizi 5000. Sijui wanyakyusa wanaokimbia kwao wanashida gani???????? Wanyakyusa majibu tafadhali.........................
Wewe kwenu kukoje? Usiogope nyumbani ni nyumbani.
We wa Isongole au wapi? Au Ibaba kabisa? Ile milima yenu ni hatariWewe umeona vyakula hujaangalia fulsa za kiuchumi ndo mana unawashangaa wanaokimbia kwao. Nakuhakikishia mandhari nzuri sio pull factor pekee yakukufanya usifie sehem tunachoangalia ni mzunguko wa maokoto. We huoni dar jiji chafu linanuka watu wameshonana Hali ya hewa mbaya lkn watu wanazid kumiminika tu
Mbeya Kwa ujumla wake ni Mkoa mzuri sana Bustani ya MunguNilibahatika kufika Tukuyu Mbeya ule mji Ni moja ya wilaya zilizobarikiwa kwa kuwa na mandhari ya kipekee Sana, Hali ya hewa ya kule uko cool mda wote. Vyakula Sasa ushindwe wewe na tumbo lako.
Zaidi maji Safi ya mito na bomba yasiyo na Mita. Lita ya maziwa 600, wapenzi wa kitimoto, kilo 6000, mkungu wa ndizi 5000. Sijui wanyakyusa wanaokimbia kwao wanashida gani???????? Wanyakyusa majibu tafadhali.........................
Wewe kwenu kukoje? Usiogope nyumbani ni nyumbani.
Ila tuu wale wenye wivu ndio wanatuharibia Mkoa Wetu.Mbeya is the most blessed land in Tanzania 🇹🇿
Maeneo kama hayo mzunguko wa pesa mdogo sana ukifanya biashara... Bytha unachosema ni kweli by that time nmeishi Tukuyu miaka 3 vyakula vingi sana na hali ya hewa ni kama mvua inataka kunyesha muda wote na ukungu kila wakati hata nyakati za mchana, kuna wakati mvua zikianza kunyesha si ajabu week nzima mvua ikanyesha tu asbh mchana usiku na kesho yake mnaamka nayo ivoivo week inakata na baridi kali daah..Nilibahatika kufika Tukuyu Mbeya ule mji Ni moja ya wilaya zilizobarikiwa kwa kuwa na mandhari ya kipekee Sana, Hali ya hewa ya kule uko cool mda wote. Vyakula Sasa ushindwe wewe na tumbo lako.
Zaidi maji Safi ya mito na bomba yasiyo na Mita. Lita ya maziwa 600, wapenzi wa kitimoto, kilo 6000, mkungu wa ndizi 5000. Sijui wanyakyusa wanaokimbia kwao wanashida gani???????? Wanyakyusa majibu tafadhali.........................
Wewe kwenu kukoje? Usiogope nyumbani ni nyumbani.
Kona ya kuingia stend ya Tukuyu hii ukiwa unatoka Mbeya mjini wanaiita Malawi road 🛣️ nishawahi kukoswa koswa kupigwa tairi na New Force 2 zikifatana kwa speed moja hatari maeneo hayo ya kushoto anapotembea huyo jamaa mwenye kofia nyeupe katazama upande wa barabara mimi nlkua nataka kuvuka kuhamia kulia nmevaa zangu earphones 🎧 nakula dundo ilikua saa 3 usiku zikiwa zinatoka Dar kwenda Kyela dah sitasahau..Mkeka wa Mbeya-Tukuyu ni moja ya mikeka imara sana ndani ya mipaka ya Tanzania.
View attachment 2886204
View attachment 2886205
Mimi kwetu Bulongwa MaketeIla tuu wale wenye wivu ndio wanatuharibia Mkoa Wetu.
Mwisho Wana Mbeya na nyie punguzeni ubishi na Ukuaji usio na msingi
Ko
Kona ya kuingia stend ya Tukuyu hii ukiwa unatoka Mbeya mjini wanaiita Malawi road 🛣️ nishawahi kukoswa koswa kupigwa tairi na New Force 2 zikifatana kwa speed moja hatari maeneo hayo ya kushoto anapotembea huyo jamaa mwenye kofia nyeupe katazama upande wa barabara mimi nlkua nataka kuvuka kuhamia kulia nmevaa zangu earphones 🎧 nakula dundo ilikua saa 3 usiku zikiwa zinatoka Dar kwenda Kyela dah sitasahau..
Hata beer zao ni tamu sana!Nilibahatika kufika Tukuyu Mbeya ule mji Ni moja ya wilaya zilizobarikiwa kwa kuwa na mandhari ya kipekee Sana, Hali ya hewa ya kule uko cool mda wote. Vyakula Sasa ushindwe wewe na tumbo lako.
Zaidi maji Safi ya mito na bomba yasiyo na Mita. Lita ya maziwa 600, wapenzi wa kitimoto, kilo 6000, mkungu wa ndizi 5000. Sijui wanyakyusa wanaokimbia kwao wanashida gani???????? Wanyakyusa majibu tafadhali.........................
Wewe kwenu kukoje? Usiogope nyumbani ni nyumbani.
Nishaacha huu ujinga.Usitembee barabarani na earphones hata siku moja.
Hakika Mungu alipendelea Sana Eneo lileSaana, mandhari nzuri sana