Tukuyu, Rungwe Mbeya wilaya ya kipekee sijaona Tanzania

Tukuyu, Rungwe Mbeya wilaya ya kipekee sijaona Tanzania

Kukaja kununu [emoji23][emoji23]

Japo sipendi kukaa. Home tukuyu ila nikikumbuka mambo ya misosi

Parachichi [emoji1649] na chai

Kitimoto na ndizi

Mbatata + majimbi na maziwa

Nahuzunika sana[emoji3063][emoji26]View attachment 2886442

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app

IMG_1017.jpg

IMG_1016.jpg

IMG_1012.jpg
 
Nilibahatika kufika Tukuyu Mbeya ule mji Ni moja ya wilaya zilizobarikiwa kwa kuwa na mandhari ya kipekee Sana, Hali ya hewa ya kule uko cool mda wote. Vyakula Sasa ushindwe wewe na tumbo lako.

Zaidi maji Safi ya mito na bomba yasiyo na Mita. Lita ya maziwa 600, wapenzi wa kitimoto, kilo 6000, mkungu wa ndizi 5000. Sijui wanyakyusa wanaokimbia kwao wanashida gani???????? Wanyakyusa majibu tafadhali.........................

Wewe kwenu kukoje? Usiogope nyumbani ni nyumbani.
so umefika katika wilaya zote za Tz, hao wanyakyusa wanaokimbia hiyo hali ya hewa, ndizi, makatapera, kwenda kwenye joto wao hawaoni huo uzuri?
 
vp warembo wa huko wana chura? panafaa niki retire. maana sina mpango kurudi nilipozaliwa na kukulia meru nimesafisha meno.
 
Wewe umeona vyakula hujaangalia fulsa za kiuchumi ndo mana unawashangaa wanaokimbia kwao. Nakuhakikishia mandhari nzuri sio pull factor pekee yakukufanya usifie sehem tunachoangalia ni mzunguko wa maokoto. We huoni dar jiji chafu linanuka watu wameshonana Hali ya hewa mbaya lkn watu wanazid kumiminika tu
We wa Isongole au wapi? Au Ibaba kabisa? Ile milima yenu ni hatari
 
Nilibahatika kufika Tukuyu Mbeya ule mji Ni moja ya wilaya zilizobarikiwa kwa kuwa na mandhari ya kipekee Sana, Hali ya hewa ya kule uko cool mda wote. Vyakula Sasa ushindwe wewe na tumbo lako.

Zaidi maji Safi ya mito na bomba yasiyo na Mita. Lita ya maziwa 600, wapenzi wa kitimoto, kilo 6000, mkungu wa ndizi 5000. Sijui wanyakyusa wanaokimbia kwao wanashida gani???????? Wanyakyusa majibu tafadhali.........................

Wewe kwenu kukoje? Usiogope nyumbani ni nyumbani.
Mbeya Kwa ujumla wake ni Mkoa mzuri sana Bustani ya Mungu
 
Nilibahatika kufika Tukuyu Mbeya ule mji Ni moja ya wilaya zilizobarikiwa kwa kuwa na mandhari ya kipekee Sana, Hali ya hewa ya kule uko cool mda wote. Vyakula Sasa ushindwe wewe na tumbo lako.

Zaidi maji Safi ya mito na bomba yasiyo na Mita. Lita ya maziwa 600, wapenzi wa kitimoto, kilo 6000, mkungu wa ndizi 5000. Sijui wanyakyusa wanaokimbia kwao wanashida gani???????? Wanyakyusa majibu tafadhali.........................

Wewe kwenu kukoje? Usiogope nyumbani ni nyumbani.
Maeneo kama hayo mzunguko wa pesa mdogo sana ukifanya biashara... Bytha unachosema ni kweli by that time nmeishi Tukuyu miaka 3 vyakula vingi sana na hali ya hewa ni kama mvua inataka kunyesha muda wote na ukungu kila wakati hata nyakati za mchana, kuna wakati mvua zikianza kunyesha si ajabu week nzima mvua ikanyesha tu asbh mchana usiku na kesho yake mnaamka nayo ivoivo week inakata na baridi kali daah..
 
Ko
Mkeka wa Mbeya-Tukuyu ni moja ya mikeka imara sana ndani ya mipaka ya Tanzania.

View attachment 2886204

View attachment 2886205
Kona ya kuingia stend ya Tukuyu hii ukiwa unatoka Mbeya mjini wanaiita Malawi road 🛣️ nishawahi kukoswa koswa kupigwa tairi na New Force 2 zikifatana kwa speed moja hatari maeneo hayo ya kushoto anapotembea huyo jamaa mwenye kofia nyeupe katazama upande wa barabara mimi nlkua nataka kuvuka kuhamia kulia nmevaa zangu earphones 🎧 nakula dundo ilikua saa 3 usiku zikiwa zinatoka Dar kwenda Kyela dah sitasahau..
 
Ko

Kona ya kuingia stend ya Tukuyu hii ukiwa unatoka Mbeya mjini wanaiita Malawi road 🛣️ nishawahi kukoswa koswa kupigwa tairi na New Force 2 zikifatana kwa speed moja hatari maeneo hayo ya kushoto anapotembea huyo jamaa mwenye kofia nyeupe katazama upande wa barabara mimi nlkua nataka kuvuka kuhamia kulia nmevaa zangu earphones 🎧 nakula dundo ilikua saa 3 usiku zikiwa zinatoka Dar kwenda Kyela dah sitasahau..

Usitembee barabarani na earphones hata siku moja.
 
Nilibahatika kufika Tukuyu Mbeya ule mji Ni moja ya wilaya zilizobarikiwa kwa kuwa na mandhari ya kipekee Sana, Hali ya hewa ya kule uko cool mda wote. Vyakula Sasa ushindwe wewe na tumbo lako.

Zaidi maji Safi ya mito na bomba yasiyo na Mita. Lita ya maziwa 600, wapenzi wa kitimoto, kilo 6000, mkungu wa ndizi 5000. Sijui wanyakyusa wanaokimbia kwao wanashida gani???????? Wanyakyusa majibu tafadhali.........................

Wewe kwenu kukoje? Usiogope nyumbani ni nyumbani.
Hata beer zao ni tamu sana!
 
Back
Top Bottom