Tukuyu, Rungwe Mbeya wilaya ya kipekee sijaona Tanzania

Tukuyu, Rungwe Mbeya wilaya ya kipekee sijaona Tanzania

Okay mkuu,nchi kwa sasa HAINA PESA, ila tuna mapesa ya kununua V8s kwa CEOs kwa well connected guy's, nani owner wa UDA na Nyati cross border transporters?
Wao wanasema pesa zipo. CCM hawaaminiki lakini, wakati UDA anapewa KISENA nakumbuka Mayor Mwita wa Chadema, kipindi hicho aligomea swala hilo mpaka akazuiliwa kuingia ofisini na Makonda pia Magufuli. Eti juzi Kisena Kahukumiwa kufungwa sijui miaka mitatu kwa kulisababishia shirika hasara.
Wanajuana wao, tuwaachie labda hayatuhusu.
 
brother bufa umesoma lutengano advance mbona kama road kuelekea ushirika hii, nyie kitimoto hadi jero noma
sana

Hahaha hapana mkuu ila nimepita sana hiyo njia. Naweza kuendesha huku nimefumba macho so long as hakuna obstacles zingine barabarani.
 
Nilibahatika kufika Tukuyu Mbeya ule mji Ni moja ya wilaya zilizobarikiwa kwa kuwa na mandhari ya kipekee Sana, Hali ya hewa ya kule uko cool mda wote. Vyakula Sasa ushindwe wewe na tumbo lako.

Zaidi maji Safi ya mito na bomba yasiyo na Mita. Lita ya maziwa 600, wapenzi wa kitimoto, kilo 6000, mkungu wa ndizi 5000. Sijui wanyakyusa wanaokimbia kwao wanashida gani???????? Wanyakyusa majibu tafadhali.........................

Wewe kwenu kukoje? Usiogope nyumbani ni nyumbani.
Tatizo mzunguko wa pesa hakuna.
 
IMG_7716.jpeg

Hadi, Donald Trump kawekeza, sio poa.
 
Huu mkeka ulijengwa na kampuni ya wajerumani ikiitwa PHILLIP HOZMAN ; ni imara kiasi cha kuwa standard ya barabara zinazojemgwa nchini!
Imagine malori na trailers yanayopita humo kwenda Malawi, lakini wapi barabara wala haojateteleka!
Ilijengwa na serikali bila ubia na nchi jirani.
Siri kubwa ya uimara wa hiyo barabara ni jinsi walivyojenga “Drainage “ system ya kuondoa maji toka barabarani!
 
Nilibahatika kufika Tukuyu Mbeya ule mji Ni moja ya wilaya zilizobarikiwa kwa kuwa na mandhari ya kipekee Sana, Hali ya hewa ya kule uko cool mda wote. Vyakula Sasa ushindwe wewe na tumbo lako.

Zaidi maji Safi ya mito na bomba yasiyo na Mita. Lita ya maziwa 600, wapenzi wa kitimoto, kilo 6000, mkungu wa ndizi 5000. Sijui wanyakyusa wanaokimbia kwao wanashida gani???????? Wanyakyusa majibu tafadhali.........................

Wewe kwenu kukoje? Usiogope nyumbani ni nyumbani.
Wakijazana woote hapo patatosha? Wilaya ndogo sana ile...sasa hata kupata shamba acre 2 ni shida sanaa.....acha watu wasambae bakance GDP ya kibongo
 
Back
Top Bottom