Wao wanasema pesa zipo. CCM hawaaminiki lakini, wakati UDA anapewa KISENA nakumbuka Mayor Mwita wa Chadema, kipindi hicho aligomea swala hilo mpaka akazuiliwa kuingia ofisini na Makonda pia Magufuli. Eti juzi Kisena Kahukumiwa kufungwa sijui miaka mitatu kwa kulisababishia shirika hasara.Okay mkuu,nchi kwa sasa HAINA PESA, ila tuna mapesa ya kununua V8s kwa CEOs kwa well connected guy's, nani owner wa UDA na Nyati cross border transporters?
Hali ya hewa inavutiaMkeka wa Tukuyu ni Moja ya mikeka imara ndani ya mipaka ya Tanzania.
View attachment 2886204
View attachment 2886205
Vipi maambukizi ya HIV yakoje huko?Ila sio wachoyo!! Ni wakarimu sana kwa wageni.
Fanya mpango ufike na hapa kwetu Kyela, huku mademu ushindwe wewe tu, kila sampuli inapatikana.
Daah safi sana huo Mkeka ulijengwa na Kampuni ya Sogea mkeka bora sana wenye kiwango...Mkeka wa Tukuyu ni Moja ya mikeka imara ndani ya mipaka ya Tanzania.
View attachment 2886204
View attachment 2886205
brother bufa umesoma lutengano advance mbona kama road kuelekea ushirika hii, nyie kitimoto hadi jero nomaMkeka wa Tukuyu ni Moja ya mikeka imara ndani ya mipaka ya Tanzania.
View attachment 2886204
View attachment 2886205
brother bufa umesoma lutengano advance mbona kama road kuelekea ushirika hii, nyie kitimoto hadi jero noma
sana
Daah safi sana huo Mkeka ulijengwa na Kampuni ya Sogea mkeka bora sana wenye kiwango...
Sijui kama ni hadithi ya kweli nilisikia Malawi ndio walijenga hiyo bara bara kwa kushirikiana na Tanzania.Hakika. Huu mkeka haunaga shida wakati mingine miaka miwili tu wanaanza upya.
Sijui kama ni hadithi ya kweli nilisikia Malawi ndio walijenga hiyo bara bara kwa kushirikiana na Tanzania.
Tatizo mzunguko wa pesa hakuna.Nilibahatika kufika Tukuyu Mbeya ule mji Ni moja ya wilaya zilizobarikiwa kwa kuwa na mandhari ya kipekee Sana, Hali ya hewa ya kule uko cool mda wote. Vyakula Sasa ushindwe wewe na tumbo lako.
Zaidi maji Safi ya mito na bomba yasiyo na Mita. Lita ya maziwa 600, wapenzi wa kitimoto, kilo 6000, mkungu wa ndizi 5000. Sijui wanyakyusa wanaokimbia kwao wanashida gani???????? Wanyakyusa majibu tafadhali.........................
Wewe kwenu kukoje? Usiogope nyumbani ni nyumbani.
Kiuchumi hata Tanzania kama ina maslahi na Mozambique kwenda Cabo Delgado Tanzania ilipaswa kujenga lami siku nyingi tu kuinganisha Tanzania na Jimbo hilo, only if kama kuna sababu za kiuchumi hasa long journey trucks.Sina hakika kaka.
Kiuchumi hata Tanzania kama ina maslahi na Mozambique kwenda Cabo Delgado Tanzania ilipaswa kujenga lami siku nyingi tu kuinganisha Tanzania na Jimbo hilo, only if kama kuna sababu za kiuchumi hasa long journey trucks.
Ni shida bado, hasa maeneo yenye shughuli za utalii kama Matema beach.Vipi maambukizi ya HIV yakoje huko?
Mkeka wa Tukuyu ni Moja ya mikeka imara ndani ya mipaka ya Tanzania.
View attachment 2886204
View attachment 2886205
Wakijazana woote hapo patatosha? Wilaya ndogo sana ile...sasa hata kupata shamba acre 2 ni shida sanaa.....acha watu wasambae bakance GDP ya kibongoNilibahatika kufika Tukuyu Mbeya ule mji Ni moja ya wilaya zilizobarikiwa kwa kuwa na mandhari ya kipekee Sana, Hali ya hewa ya kule uko cool mda wote. Vyakula Sasa ushindwe wewe na tumbo lako.
Zaidi maji Safi ya mito na bomba yasiyo na Mita. Lita ya maziwa 600, wapenzi wa kitimoto, kilo 6000, mkungu wa ndizi 5000. Sijui wanyakyusa wanaokimbia kwao wanashida gani???????? Wanyakyusa majibu tafadhali.........................
Wewe kwenu kukoje? Usiogope nyumbani ni nyumbani.