Aisee= I seeHello
Leo ilikuwa siku ngumu sana kwangu nikawa nimerudi home nimechoka sijao ni bachela nikawaza chakula usiku uhu nikakosa
Nikakumbuka nina ngano na kitimoto nikaona niandae chap nile usiku nisije umwa vidonda vya tumbo
Nikaanza na chapati
View attachment 3203781
Nilipo maliza nika ingia sasa kwenye kitomoto
View attachment 3203782
Baada ya hapo nika andaa now nakula karibuni
View attachment 3203783
KabisWatasema astakafilulah!🤣🤣
HakikaSana
Iphone mkuuSimu gani umetumia kupiga picha?
Pesa inaenda nyingi sina pesa izo mkuukwa nini usianze muda huu ni wazo lakini
Nimekosea mkuuUnaelewa maana ya lost?
Hahah kumbeEnzi za ujana nilikuwa mtumiaji wa betel L... huko masomoni.
Pamoja sanaSafi sana mwamba!
Ahahah acha iyo mbaya kabisa 😂😂 marekebisho mkuuChapati za kusukuma?🙄🤣🤣Wallah tunafata nguo zetu. Na tunafungua intro tena
YapNafikiri unamaanisha roast
Nawangojea bado hawaja fika 😂
kula magawani na kujipikia kupi kuna garama kubwa kwa mtu anayeishi mwenyewe ikiwa mgawa ipo karibuPesa inaenda nyingi sina pesa izo mkuu
Juzi nilimuona anakula keki sasa hapo kuna kituNaona mmeamua kumpuuzia Dr janabi kabisa.
Pole🤮🤮🤮🤮
Mafuta yamegandia kweny sufuria wakat naikaanga mkuuKijana hilo sufuria vipi? Au ni la urithi!!.
Ahahh et ramani duh polenafungua pm kwajil ako,uje unipe mafunzo ya kusukuma chapat tu hata iwe round,kila nkijarib inatokea raman ya kijijin kwetu.
Uko vizuri kupika angalia usije acha kuoaMafuta yamegandia kweny sufuria wakat naikaanga mkuu
Hata nusu chapati kuimaliza tu kwangu mtihani mkubwa japo ni tamu nusu tu, nakinai haraka .Juzi nilimuona anakula keki sasa hapo kuna kitu
Mishangazi mingi ya JF unaikimbiza mno mkuu kwenye suala la kupika.Mafuta yamegandia kweny sufuria wakat naikaanga mkuu