Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #101
Mgahawani gesi nakaa nayo miaez 6 mafuta lita tano miez 3 af kula nakula kwa hamu mara nying natumia matundakula magawani na kujipikia kupi kuna garama kubwa kwa mtu anayeishi mwenyewe ikiwa mgawa ipo karibu
Sawa bwana mkubwa nimeichukua iyo πIko vizur mkuu,sema uoe sasaπ
Aiwezi achaUko vizuri kupika angalia usije acha kuoa
Hongeta sanaHata nusu chapati kuimaliza tu kwangu mtihani mkubwa japo ni tamu nusu tu, nakinai haraka .
Ahahah hao si wanapesa hawataki kuingia jikoniMishangazi mingi ya JF unaikimbiza mno mkuu kwenye suala la kupika.
Hongera tena? Au poleHongeta sana
Si unajua mimi kwa kuchapia sijambo πH
Hongera tena? Au pole
Ila kweli mkuuAhahah hao si wanapesa hawataki kuingia jikoni
utawaogopesha ma Slay queen wa JF kuja kukutembelea maana umetoa kitu utafikiri ni CHEF wa 3 stars hotel..Hello
Leo ilikuwa siku ngumu sana kwangu nikawa nimerudi home nimechoka sijao ni bachela nikawaza chakula usiku uhu nikakosa
Nikakumbuka nina ngano na kitimoto nikaona niandae chap nile usiku nisije umwa vidonda vya tumbo
Nikaanza na chapati
View attachment 3203781
Nilipo maliza nika ingia sasa kwenye kitomoto
View attachment 3203782
Baada ya hapo nika andaa now nakula karibuni
View attachment 3203783
Na ni kikubwa kweli kweli, imebaki nafasi ya kuenea hadi sufuria. Mwanzo nilifikiri meza.Una hadi kisukumio cha chapati duh
Asante sanaSisi kizazi cha matomaso wa enzi za Masihi tutaaminije kwamba ni wewe uliyepika?
Binafsi nimeshindwa kupika chapati wala vitafunwa vingine, labda Kwa kuwa Kijijini kwetu tulizoea kula ugali asubuhi badala ya Chai π€
By the way, Hongera sana kujua kupika.
Hiyo skills itakusaidia siku waifu akisafiri ama akiwa anaugua
Dah ila wakuu mna waza mbali sanaNa ni kikubwa kweli kweli, imebaki nafasi ya kuenea hadi sufuria. Mwanzo nilifikiri meza.
Ni jambo zuri sanaAsante sana
Nilijikutaga tu napenda kujua kupika ivyo
ππDah ila wakuu mna waza mbali sana
Ahahah asante mkuuππ
We mwenyewe si unaona mkuu, ila hongera, sijaona kona za chapati.
Bila shaka ulikuwa ukisukuma unazunguka nayo, sio kwa circumference hiyo.
π π π π π π usinigombanishe na familia za watu muone bichwa lake kama donge la chapatiπ πJesus!!!!!! Kumbe anavaa tamaduni ya kiafrika anapika na kukata mauno kabisa? Au kanga imeandikwa " ukila utakula tena?
Haya maneno kanifunza Missy Gf
πββοΈπββοΈ
Hadi shanga nadhani anavaa....mwanaume unakunja chapati namna hiyo subutuuuuHuyu akipigwa vizuri atasema alikoficha na khanga πΉπΉπΉ