Tule chapati na kitimoto roast

Tule chapati na kitimoto roast

kula magawani na kujipikia kupi kuna garama kubwa kwa mtu anayeishi mwenyewe ikiwa mgawa ipo karibu
Mgahawani gesi nakaa nayo miaez 6 mafuta lita tano miez 3 af kula nakula kwa hamu mara nying natumia matunda
 
Hello

Leo ilikuwa siku ngumu sana kwangu nikawa nimerudi home nimechoka sijao ni bachela nikawaza chakula usiku uhu nikakosa

Nikakumbuka nina ngano na kitimoto nikaona niandae chap nile usiku nisije umwa vidonda vya tumbo

Nikaanza na chapati

View attachment 3203781
Nilipo maliza nika ingia sasa kwenye kitomoto


View attachment 3203782
Baada ya hapo nika andaa now nakula karibuni
View attachment 3203783
utawaogopesha ma Slay queen wa JF kuja kukutembelea maana umetoa kitu utafikiri ni CHEF wa 3 stars hotel..
 
Sisi kizazi cha matomaso wa enzi za Masihi tutaaminije kwamba ni wewe uliyepika?

Binafsi nimeshindwa kupika chapati wala vitafunwa vingine, labda Kwa kuwa Kijijini kwetu tulizoea kula ugali asubuhi badala ya Chai 🤗

By the way, Hongera sana kujua kupika.

Hiyo skills itakusaidia siku waifu akisafiri ama akiwa anaugua
 
Sisi kizazi cha matomaso wa enzi za Masihi tutaaminije kwamba ni wewe uliyepika?

Binafsi nimeshindwa kupika chapati wala vitafunwa vingine, labda Kwa kuwa Kijijini kwetu tulizoea kula ugali asubuhi badala ya Chai 🤗

By the way, Hongera sana kujua kupika.

Hiyo skills itakusaidia siku waifu akisafiri ama akiwa anaugua
Asante sana

Nilijikutaga tu napenda kujua kupika ivyo
 
Hongera broh......

I second you kwenye chapati napenda chapati sio poa

Ila nashangaa watu wanasema chapati inachukua muda labda uwe unapika za watu wengi lakn km wewe au wawili watatu simple sana

Maji ya vuguvugu..... chumvi kidg, sukarii...... unga

Then balance maji ya baridii uwe nayo au umix ili chapati ukande vzr na iwe rahisi kusukuma...

It's a simple sema chapati na roast la nyama, maini the best to i ama supu

Ila chair fire sio muumini kwa sasa 😂
 
Back
Top Bottom