Tuletewe mikataba 15 aliyotia saini Rais Samia mwaka jana nchini China tuijue ina nini ndani yake

Tuletewe mikataba 15 aliyotia saini Rais Samia mwaka jana nchini China tuijue ina nini ndani yake

The Assassin

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
4,942
Reaction score
20,077
Wakati mjadala mkubwa ukiwa kwenye mojawapo ya mikataba ya ushirikiano kati ya Tanzania na nchi ya Falme za Kiarabu ya DP World tukumbeke pia mwaka jana Novemba Rais Samia alitembelea China na kusaini mikataba 15 ya ushirikiano kati ya serikali ya Tanzania na China.

Ni vyema mikataba hiyo 15 tukaletewa na kujua kilichomo ndani yake baada ya kuona baadhi ya hii mikataba ya UAE na kugundua kua imejaa ukakasi mkubwa sana.

Katika nchi inayojulikana Duniani hapa kulalia nchi masikini kwenye Mikataba ni China, sasa kama mikataba ya waarabu iko hivyo wanataka wauziwe bandari, wachina si watataka wauziwe nchi kabisa?

- Tanzania na China zatiliana saini Mikataba 15
 
Ukienda kusaini mikataba nje ya nchi jua umeliwa
 
Nikifanikisha kuzama tu Canada nabeba my family na kuukana Uraia bila kusita.

Nchi inachosha hii
 
Huyu maza nadhani anaongoza kwa kusaini madudu aisee.
 
Huu hapa wa kwanza

1687310321682.jpeg
 
Sasa na ile shule ya watoto wetu
Au utaturudishia ada?

Ni mradi wa wife.

na kila kitu ni mipango, Lazima nitangulie mimi niweke mazingira sawa badaea ndo unaleta familia.

Shule imejengwa kwenye kiwanja ambacho tulinunua hvyo itaendelea kuwepo kama usimamizi n mzuri.
 
Kwenye vichwa vyao watakuwa wanajua lile kosa walilofanya hawalirudii tena.
 
Back
Top Bottom