EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Mwaka huu hadi miti na mawe yameomba yapige kura ili tu kuziongeza kura za upinzani na ccm isishinde
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwalimu kashasha kitalaam inaitwa aina ya uchezaji?Functions of the general form y=1/x are called hyperbolic functions.
View attachment 1485375
Hii maana yake nini? Tuweze kumchora kihesabu
Hofu inasababishwa na kipi zaidi kati ya haya?Ukweli uliopo ni chadema na sugu sasa hivi wana hofu iliyopitiliza kuhusu jimbo la mbeya, wana haki ya kuwa na hofu!
Kamanda wa Kvant anajitambua?Halafu mtu anayefanya vitu bila kujitambua ndio aje kuwa kiongozi!!!???
Imenibidi nicheke kwa nguvu aiseeTulia Akson anaendelea kusaka kura kwa kila hali na mali.
View attachment 1485364
Ni kushinda na mvuta bangi!Kujaribu kushindana kwenye Bongo flava na mmoja kati ya waanzilishi wa Bongo flava huwezi kufanikiwa. Ina maana hakuna strategy labda wagawe jimbo. Yaani watu wanajua mtu kwa jina la Bongo flava "Sugu" wewe ujaribu kujifanya upo huko
Ni kushinda na mvuta bangi!
Huyu ndiyo generous katengeneza paypall, Tesla na kapeleka watu kwenye space. Anavuta bangi live sasa wewe unaongelea nini
Hivi kejeli kwa ung'eng'e ni hyperbolic eeh!Hii inaitwa hyperbolic , unakuza Jambo kuliko uhalisia wake.
Sometimes, having a Ph.D is not an end in itself. Unaweza kuwa outsmarted na mtu wa darasa la saba au form four na hata mwenye diploma kwenye baadhi ya mambo. Be careful TuliaGo Tulia. Wanawake tunaweza. Phd holder vs Ordinary level certificate.