Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sisi ma fomu foo mnatudharau sio? AsanteGo Tulia. Wanawake tunaweza. Phd holder vs Ordinary level certificate.
Ila kwenye siasa Elimu ya mkoloni ni useless. Kama PhD holder anajidhalilisha namna hiyo kisa ubunge.
Umeona hiyo miguu[emoji23][emoji23][emoji23] kama wale ndege tunaowaita "dede" kwa kisukumaGo Tulia. Wanawake tunaweza. Phd holder vs Ordinary level certificate.
Ila kwenye siasa Elimu ya mkoloni ni useless. Kama PhD holder anajidhalilisha namna hiyo kisa ubunge.
Ndo maana wanawake wenye phd wanaongoza kwa kusalitiwa. Mwajuma ndala ndefu elimu yake darasa la 3 B angeamua kulitingisha wowowo hata kama hakujaliwa nalo kamera zoote zingewashwa. Ona mama mwenye phd yake anavyocheza sijui ni mzuka umepanda au nn. Wanambea alamafyale....Tulia Akson anaendelea kusaka kura kwa kila hali na mali.
View attachment 1485364
Aliyekwambia PhD holder haruhusiwi kucheza mziki ni nani? Poor mind!
Umeona hiyo miguu[emoji23][emoji23][emoji23] kama wale ndege tunaowaita "dede" kwa kisukuma
Hapana kaka sidharau elimu za watu. Cha muhimu utendaji kazi.Kwa sisi ma fomu foo mnatudharau sio? Asante
Tulia Akson anaendelea kusaka kura kwa kila hali na mali.
View attachment 1485364
Tulia Akson anaendelea kusaka kura kwa kila hali na mali.
View attachment 1485364
Kati ya PHD na hela wewe utachagua nini!Go Tulia. Wanawake tunaweza. Phd holder vs Ordinary level certificate.
Ila kwenye siasa Elimu ya mkoloni ni useless. Kama PhD holder anajidhalilisha namna hiyo kisa ubunge.
Hela,ohoooooooh.Kati ya PHD na hela wewe utachagua nini!
Tafsiri yako ya elimu inaonesha tatizo kubwa la elimu yetu au uliyopata.Go Tulia. Wanawake tunaweza. Phd holder vs Ordinary level certificate.
Ila kwenye siasa Elimu ya mkoloni ni useless. Kama PhD holder anajidhalilisha namna hiyo kisa ubunge.
Hujanielewa kabisa. Tatizo anafanya hivyo kwa lengo la kuvuta wapiga kura. Angekuwa anafanya kwa burudani wala hakuna noma.Tafsiri yako ya elimu inaonesha tatizo kubwa la elimu yetu au uliyopata.
Usinielewe vibaya kwamba nakushambulia ila nimeshangazwa na mtazamo wa mtu mwenye elimu kubwa hatakiwi kujichanganya kwenye jamii (socialize) na kucheza muziki sababu yeye ni msomi.
Hao wakoloni ni wazuri sana katika kuchijichanganya kwenye matukio ya kijamii na kushiriki kwnye michezo na burudani mbalimbali zinazo sindikiza matukio ya kijamiii (social events).
Au tukuwekee video za wajukuu wa wakoloni wanavyo sakata Rhumba (muziki)?
Kutoka kuwa mlokole hadi kuwa m.alaya wa kisiasa ni hatari sana.Tulia Akson anaendelea kusaka kura kwa kila hali na mali.
View attachment 1485364
Tulia Akson anaendelea kusaka kura kwa kila hali na mali.
View attachment 1485364
Umri umemuacha nyuma lakiniTulia Akson anaendelea kusaka kura kwa kila hali na mali.
View attachment 1485364
Tatizo ni kwamba sasa ni wakati wa kutafuta kura?Hujanielewa kabisa. Tatizo anafanya hivyo kwa lengo la kuvuta wapiga kura. Angekuwa anafanya kwa burudani wala hakuna noma.