Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Jamaa wale wanasema cosh(x), sinh(x) na tanh(x)Hii inaitwa hyperbolic , unakuza Jambo kuliko uhalisia wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa wale wanasema cosh(x), sinh(x) na tanh(x)Hii inaitwa hyperbolic , unakuza Jambo kuliko uhalisia wake.
Go Tulia. Wanawake tunaweza. Phd holder vs Ordinary level certificate.
Ila kwenye siasa Elimu ya mkoloni ni useless. Kama PhD holder anajidhalilisha namna hiyo kisa ubunge.
Chadema ilishazikwa mbeya, ndio THEME hapo! Sugu asahau!
Bado mgeni kwenye ulimwengu wa siasaYaani katika watu waliojidhalilisha kupita kiasi ni Tulia. Anazidiwa hata na Kibajaji?
Unakumbuka ile skendo ya jeneza? Yaani Tulia kwa vituko!
Duh!..Phd = Permanent head damage
Ukweli ni kwamba huyu dada anachukua ubunge wa Mby mjini. Hata mm sipendi piaBetina kwisha habari zake amebakia kuruka ruka tuView attachment 1485421
Tulia Akson anaendelea kusaka kura kwa kila hali na mali.
View attachment 1485364
Labda ubunge wa kuwawakilusha watu wembamba kama yeyeUkweli ni kwamba huyu dada anachukua ubunge wa Mby mjini. Hata mm sipendi pia
Hapo anacheza hajitambui amechanganyikiwa!Kw
Kwahiyo hapo anacheza chumbani kwake?
Amechanganyikiwa!Kwahiyo hapo alikuwa anacheza bila kujitambua eti?
Hafai kabisa!Halafu mtu anayefanya vitu bila kujitambua ndio aje kuwa kiongozi!!!???
Tulia Akson anaendelea kusaka kura kwa kila hali na mali.
View attachment 1485364