cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
[emoji23][emoji23][emoji23]Kweli madaraka matamu. Sio kwa kujichetua namna hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kweli madaraka matamu. Sio kwa kujichetua namna hiyo
Usimzalilishe madam speaker wa bunge lijalo, Tulia oyeeeMiguu kama fito duuuuu!!!
Bora avae Madera Tu mambo yasiwe mengi kuliko kujidhalilisha kiasi hiki
Kwahiyo hapo anacheza chumbani kwake?Siyo kila kitu mtu anachofanya kionyeshwe hadharani kwani vingine anavifanya bila kujitambua.
We victoire mjanja! Ulivyoanza sivyo ulivyomaliziaGo Tulia. Wanawake tunaweza. Phd holder vs Ordinary level certificate.
Ila kwenye siasa Elimu ya mkoloni ni useless. Kama PhD holder anajidhalilisha namna hiyo kisa ubunge.
Kila ninapoenda ulaya nikatazama maendeleo ya wenzetu, then nikikumbuka wanaotuongoza kwetu; sioni kama tutakuja hata kuwakaribia. Hata tubadirishane mabara.Go Tulia. Wanawake tunaweza. Phd holder vs Ordinary level certificate.
Ila kwenye siasa Elimu ya mkoloni ni useless. Kama PhD holder anajidhalilisha namna hiyo kisa ubunge.
🤣🤣🤣🤣🤣Sugu apagawa. Hapo Sugu hachomokiTulia Akson anaendelea kusaka kura kwa kila hali na mali.
View attachment 1485364
Sio vibaya kutiana moyo. Siasa ni upendo wa watu wako kutoka moyoni. Hakuna madigree hapo.We victoire mjanja! Ulivyoanza sivyo ulivyomalizia
Hugu gudada gukafanye kazi nyingine Moto wa Sugu utamuunguza na kubaki mkaa kama wale jamaa wa Moro waliovamia lori la mafuta.
Siasa za majukwaani zikianza atagaragazwa hataelewa hata mawio na machweo ya jua
Yeye ni mwalimu wa chuo kikuu huko anaweza kutamba dhidi ya Sugu,
lakini kwa siasa za majukwaani hata kama atabebwa na mbeleko ya chuma itayeyuka mbele ya sugu.
Kwahiyo hapo alikuwa anacheza bila kujitambua eti?Siyo kila kitu mtu anachofanya kionyeshwe hadharani kwani vingine anavifanya bila kujitambua.
Sanduku la kura ambalo refa ni ninyi wenyewe au siyo?issue ni sanduku la kura zingine zote porojo
Bungeni wanaojiita wasomi huko CCM wote huwategemea wabunge wenye Elimu ndogo kujenga hoja mbalimbali ndipo ujue kuwa wanaojiita wasomi huko CCM wengi walinunua vyeti hawana Taaluma halisi vichwani.Go Tulia. Wanawake tunaweza. Phd holder vs Ordinary level certificate.
Ila kwenye siasa Elimu ya mkoloni ni useless. Kama PhD holder anajidhalilisha namna hiyo kisa ubunge.
Ndio sera ya saccos divide and ruleYaani akwae ubunge kisha awe ANNA watoto wa NDEGE
Mbeya ikose msemaji bungeni.
CCM sijui lini mtaipenda Mbeya??
Chadema ilishazikwa mbeya, ndio THEME hapo! Sugu asahau!Kama hivi anavyo enjoy kwa ushirikinaView attachment 1485516
Halafu mtu anayefanya vitu bila kujitambua ndio aje kuwa kiongozi!!!???Siyo kila kitu mtu anachofanya kionyeshwe hadharani kwani vingine anavifanya bila kujitambua.