Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Basi Ilala.Kule si kuna mwanamke tayari?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi Ilala.Kule si kuna mwanamke tayari?
Tulia Akson anaendelea kusaka kura kwa kila hali na mali.
Aiseeee
Hii inaitwa hyperbolic , unakuza Jambo kuliko uhalisia wake.
Umempamba na mwisho ukamchapa za shingoGo Tulia. Wanawake tunaweza. Phd holder vs Ordinary level certificate.
Ila kwenye siasa Elimu ya mkoloni ni useless. Kama PhD holder anajidhalilisha namna hiyo kisa ubunge.
Tusubiri kwenye sanduku la kura.
Flat screen hawezi kuwa Mbunge hata agawe papuchi mbeya nzima.
LOL... Bora niendelee kuwa mkulima na kubaki mimi.
Yaani kucheza muziki ni kujidharirisha?
Yaani. Nimesoma heading huku Sina nguvu kbs...dath umejua kunichekesha jaman🤸🤸🤸Tulia Akson anaendelea kusaka kura kwa kila hali na mali.
Mie nisingevaa hivyo aseeAnakanyagaaa..hahahaha..kimbaumbau tulia bwana Mbeya inawenyewe hutomuweza sugu!
Yani utasema anataka apae🤣🤣😂😂😂Mie nisingevaa hivyo asee
Tulia Akson anaendelea kusaka kura kwa kila hali na mali.
Vipaja Kama ndege khanga..lolsYani utasema anataka apae🤣🤣😂😂😂