Uchaguzi 2020 Tulia Ackson afunika Mbeya mjini, Sugu apagawa

Uchaguzi 2020 Tulia Ackson afunika Mbeya mjini, Sugu apagawa

Go Tulia. Wanawake tunaweza. Phd holder vs Ordinary level certificate.
Ila kwenye siasa Elimu ya mkoloni ni useless. Kama PhD holder anajidhalilisha namna hiyo kisa ubunge.
Na hizo paper muwe mna publish ziwe zinasomwa. Tanzania ni shamba la fake degrees nyingi mno,

unashangaa Sugu sometimes speaks sense than Tulia
 
Tulia Akson anaendelea kusaka kura kwa kila hali na mali.
Nilipoona hiyo title, halafu nikaangalia jina la mleta uzi, nilijua tu kwamba hapa ipo namna. Na kweli. G Sam huniangushagi!!

Kwa hiyo huyo ngongoti ndio Tulia mwenyewe sio? Ila mkuu ungetutahadharisha tujiandae na kushikilia mbavu zetu, maana...
 
Na hizo paper muwe mna publish ziwe zinasomwa. Tanzania ni shamba la fake degrees nyingi mno,

unashangaa Sugu sometimes speaks sense than Tulia
Yaani hapo mkuu umenena. Sugu anaongea sense kuliko Profesa Kabudi? Yaani ni hatari!
 
Kwa hiyo atamshinda sugu rais wa mbeya kwa hiyo dance ya kanyagakanyaga?! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Rais wa Mbeya??? Labda wa wahuni bandiko hili lipo na comment yako ipo tutafukua makaburi baada ya uchaguzi
 
Alipokuwa akifundisha UDSM alikuwa hamfahamu hata mondi.
Yaani katika watu waliojidhalilisha kupita kiasi ni Tulia. Anazidiwa hata na Kibajaji?
Unakumbuka ile skendo ya jeneza? Yaani Tulia kwa vituko!
 
Go Tulia. Wanawake tunaweza. Phd holder vs Ordinary level certificate.
Ila kwenye siasa Elimu ya mkoloni ni useless. Kama PhD holder anajidhalilisha namna hiyo kisa ubunge.
See there !.jpg
 
Go Tulia. Wanawake tunaweza. Phd holder vs Ordinary level certificate.
Ila kwenye siasa Elimu ya mkoloni ni useless. Kama PhD holder anajidhalilisha namna hiyo kisa ubunge.
Lajidhalilisha kitu gani hapo? Unataka sema asijiinjoi kisa ni mbunge? Na hapo inaonekana kabisa hakuwa ktk shughuli ya kisiasa bali ya kifamilia au ya na marafiki zake...
 
Ukweli uliopo ni chadema na sugu sasa hivi wana hofu iliyopitiliza kuhusu jimbo la mbeya, wana haki ya kuwa na hofu!
 
[emoji1][emoji1][emoji1] daah nikajua labda magari hayatembei watu wamejaa
Kumbe anacheza mziki na familia yake hahaha!
Bangi ya wapi unayovuta nikusaidie?
 
Back
Top Bottom