Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sanduku gani la kura?Unaelewa kuwa hapa Tanzania chama tawala huwa hakitegemei kura kuchukua dola au unajifanya kipofu?Tusubiri kwenye sanduku la kura.
Kawe.Chagua unataka lipi?
Lumumba ndo mdudu gani ?Samahani nje ya mada hv yule bb kizee cha Lumumba kipo au ndo inna lillah wainnaa ilayh raajiuun
Yap nakumbuka. Yaani anakuwa kama mtoto. Hajui ushindi ni mbinu tu.Yaani katika watu waliojidhalilisha kupita kiasi ni Tulia. Anazidiwa hata na Kibajaji?
Unakumbuka ile skendo ya jeneza? Yaani Tulia kwa vituko!
Kabisa yaani. Ndo maana nasema hii elimu ya mkoloni siyo kabisa.Na hizo paper muwe mna publish ziwe zinasomwa. Tanzania ni shamba la fake degrees nyingi mno,
unashangaa Sugu sometimes speaks sense than Tulia
Lumumba ndo mdudu gani ?
Mimi sijawahi fika Lumumba.Kile kbb kikada cha Lumumba kindakndak
Kula kwa mama ntilie ndio kafunika? Mkisha mpa kura mta muona kama mnavyo kunywa pombe za kienyeji na Sugu?Tulia Akson anaendelea kusaka kura kwa kila hali na mali.
Wewe ndiye unali'underrate' tukio hilo na kuona neno 'hyperbolic' linastahili kupachikwa kwa aliyoandika mleta mada.Hii inaitwa hyperbolic , unakuza Jambo kuliko uhalisia wake.
Ebu muangalie anavyo ruka ruka wala haendani na beats za muziki. Halafu nguo alizovaa zinatia kinyaa.Kwa hio na PH.d yake kumbe hajielewi?
Huyu Dr kweli ni bamboochaTulia Akson anaendelea kusaka kura kwa kila hali na mali.
Baàa ya kula chips gengeni hahahaahhTulia Akson anaendelea kusaka kura kwa kila hali na mali.
Mimi sijawahi fika Lumumba.
Mbona wote wanaume hapo, sura yake lazima ya babu yakeTulia Akson anaendelea kusaka kura kwa kila hali na mali.