Tulia Ackson atoa msimamo wa Bunge, asema Rais ni Mkuu wa Nchi na ana mambo yote!

Akibwagwa kwenye kinyang'anyiro cha uspika itabidi ajiuzulu tu amfuate Boss wake
 
Punguza upungu basi.huoni maandishi..kwani Picha huioni.Hivi Maneno yanayotamkwa kwa mujibu wa "Mila ,Desturi na Taratibu" huwa hamyaelewi kabisaa....
 


Tungepigania kwanza Katiba hii mbovu ikafuatwa angalau zaidi ya 50%.....maana tunataka katiba mpya wakati iliyopo tayari inakanyagwa..
 
Haya unayosema huwa yanafanyika katika nchi zenye demokrasia uchwara, mataifa yenye demokrasia imara kama US serikali imewahi kufungwa mara nyingi tu baada ya bunge kuikataa bajeti ya serikali, pia mkuu wa jeshi la Marekani amewahi kutangaza mbele ya vyombo vya habari kiapo chao ni kwa katiba ya nchi na sio mtu binafsi hivyo hawatatekeleza amri yoyote batili isiyofuata utaratibu wa sheria na kuingilia uhuru wa demokrasia.
 
Unatamani Ndugai arudishwe? Jamaa misimamo zero
 
Nyie bado mtanyooshana tu... Magufuli akifikiri anawasaidia kumbe anawachimbia kaburi...
 
Kama CDM ni Mbowe tu, anaweza kulikaribisha fisadi na kulipa ugombea urais na wote wakaufyata
 
Amesema si mara zote bunge linatakiwa kuikosoa serikali, ni wakati gani bunge halitakiwi kuikosoa serikali?
 
Speaker alikuwa SS aka Speed and standard tu wengine wote ni fucken stupid bastards! Natafuta tusi linalofaa! Halafu kuna mijibwa inashabikia kusiwe na checks and balances! mafi ya bata kabisa!!
 
Sawa.

Kafanye siasa Marekani
 
KILA SIKU HUWA NAWAAMBIA WATU HAPA NDANI. RAIS HAYUKO LEVEL SAWA NA SPIKA AU JAJI MKUU.
According to kipengele gani cha katiba mkuu. Yes, raisi ni top, ila kipengele gani kinachozuia asikosolewe au aingilie mhimili mwingine?
 
Haya ni hapa bongo ambako weng mazumbukuku co ktk nchi wanazojielewa
 
According to kipengele gani cha katiba mkuu. Yes, raisi ni top, ila kipengele gani kinachozuia asikosolewe au aingilie mhimili mwingine?
Mkuu samahani umewahi kujiuliza maana ya MKUU WA NCHI?? Mkuu wa nchi anaweza kuwa sawa na mtu mwingine katika nchi kwenye maamuzi, majukumu au hata UKUBWA WAKE??
 
Co kwa bongoo hiii
 
Mkuu samahani umewahi kujiuliza maana ya MKUU WA NCHI?? Mkuu wa nchi anaweza kuwa sawa na mtu mwingine katika nchi kwenye maamuzi, majukumu au hata UKUBWA WAKE??
Tukikubali nchi iendeshe kwa assumptions badala ya katiba, basi akija raisi kichaa tutashuhudia mengi
 
............'Mihimili yote ina kazi zake na hapo mheshimiwa Rais nisisitize jambo moja maana kunakuwa na upotoshaji, Rais ni mkuu wa nchi, wapo watu wanachukua hiyo sehemu inayosema Rais ni kiongozi wa Serikali lakini Rais ana mambo yote, ni mkuu wa nchi, ni kiongozi wa Serikali, ni amiri Jeshi mkuu wa nchi hii.

Tafakari hichi kitu👆👆👆
 
Sawa alivosema lakini hii haifuti majukumu ya mihimili mingine. Hata ya kuiwajibisha seriaka.
Hekima, harmonidation kati ya mihimili yote ndo jambo muhimu na si kuwaambia raia kuwa muhimili mmoja umejichimbia zaidi
 
Kauli ya kiongozi kama huyu tena msomi wa sheria ni kinyaa kwenye jamii. Huku ni kuonyesha uoga na kujipendekeza ili kulinda matumbo yako ili usilale njaa.

Nini maana ya kuwa na mihimili mitatu? Nini maana ya check and balance? Nani ambae hajui kuwa rais ni mkuu? Lakini unatoa kauli ambayo inaonyesha kuwa kwa kuwa ni mkuu basi check and balance isifanywe na mihimili mingine.

Huu kushindwa kusimamia misingi ya katiba ya JMT kama ibara ya nne inavyotanabaisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…