Tulia Ackson: Barabara ya Mbeya- Chunya ni zaidi ya majanga

Tulia Ackson: Barabara ya Mbeya- Chunya ni zaidi ya majanga

Sasa mnampa mchina ujenzi wa barabara kwa bei ndogo eti mchina ni nafuu na bado mnapiga na ten percent mnategemea nini...

Ukitaka kujenga barabara mpe Mmarekani, Mrusi na makampuni ya Europe kwa bei waliyotenda wape guarantee na waambis mjenge kama zinavyojengwa ulaya halafu uone kama utapata huu ujinga..

Kama mna mpa mchina basi hakikisheni kila barabara anatoa guarantee ya 50yrs na sio makampuni haya yakichina yaliyopo hapa sasa..

Cheap is expensive and chinese are the father's of all cheapest products.... Hela zetu ni ndogo halafu tunataka kila barabara iwekwe lami eti tujenge makm meeengi..
 
hiyo barabara ya Dodoma-Iringa via mtera ni uchafu mtupu...makona hovyohovyo na hiyo layer ya lami imewekwa nyembamba kifala..
 
sio lazima tuwe na mabarabara meengi, bora ziwe chache zenye viwango zitakazodumu miaka na miaka..

ule mkeka wa wamarekani wa Songea upo miaka yooote toka enzi za Nyerere..
 
Yeye ndio alijenga barabara substandard, tukawa tunasema ccm wanajali wingi na sio ubora. Utetezi ukawa ni kuwa tunapinga kila kitu. Muda ni mwalimu mzuri.
Haahaha.. tembea uone.

Yaani Hayati anishi kila sehemu.. mwaka mzima anawalaza na viatu.

Hachafuliki japo keshakufa.
 
Serikali
Kwani hujui?

..wabunge wanatakiwa waielekeze serikali kutenga fedha, sio kuiomba.

..kwenye nchi za wenzetu mbunge akiwa na jambo lake na serikali isipolitengea fedha mbunge husika huikataa bajeti.

NB:

.. kwa mfumo wetu ingependeza kama Spika angekuwa mtu neutral asiyekuwa na jimbo, au hata chama.
 
Kupenda rahisi ya wachina ndo inatufikisha hapo.barabara zilizojengwa na wafaransa.waingereza na wengine wa ulaya ni za ghali lakini wanadumisha standards. Spika kaona na kasema .barabara ya dodoma kwenda Iringa ni ya majuzi kwishine.tutafakari wajameni.
 
Huu mji ni mbaya Sana ..mbeya siyo Jiji ni Kijiji kikubwa ...inanuka Sana
 
Barabara ya kiwira kwenda mwakaleli kwenye visima vya gesi ni aibu mbunge wa kule akili zimo?
 
Hawa si walisema akichaguliwa yeye maendeleo yatakwenda Mbeya automatically sasa anamnukisha nani mdomo?
 
Tangie enzi za Mwendazake aliukasirikia sana ukanda wa MBEYA kwa Barbara, nadhani labda kwakua upinzani ulikua unanafasi kubwa kule, aliifimbia macho sana mkoa ule kwenye swala la Barbara, ni mda muafka sasa kutupia macho barabara za MBEYA, Hongera Muheshimiwa sana Dr Tulia kwa kuanzia kuliongelea swala la Barbara za Mkoa wa MBEYA na Songwe
 
Sasa mnampa mchina ujenzi wa barabara kwa bei ndogo eti mchina ni nafuu na bado mnapiga na ten percent mnategemea nini...

Ukitaka kujenga barabara mpe Mmarekani, Mrusi na makampuni ya Europe kwa bei waliyotenda wape guarantee na waambis mjenge kama zinavyojengwa ulaya halafu uone kama utapata huu ujinga..

Kama mna mpa mchina basi hakikisheni kila barabara anatoa guarantee ya 50yrs na sio makampuni haya yakichina yaliyopo hapa sasa..

Cheap is expensive and chinese are the father's of all cheapest products.... Hela zetu ni ndogo halafu tunataka kila barabara iwekwe lami eti tujenge makm meeengi..
Uwanja wa Ndege wa JKN terminal 2 ulijengwa na kampuni ya Mfaransa (Boygues) ukatumika bila matengenezo yoyote kwa takriban miaka 40. baadaye walikwenda kujenga uwanja mwinginekama huo huko Croatia
1651543037513.png


Barabara ya Nelson Mandela (wakati huo ikiitwa Port Access Road) ilijengwa na kampuni ya Mtaliano ikatumiwa bila matengenezo yoyote kwa takriban miaka 35. Barabara ya Tunduma-Dar ilijengwa na kampuni ya Mtaliano nayo ikafanya kazi kwa miaka 40 bila matengenezo yoyote.

Nililiangalia lile daraja la Kigamboni nikalitilia mashaka sana kama litafikisha miaka 20.

Nadhani makosa yatu makubwa ni kwenye kutoa tenda, siyo lazima kuwe na wizi, ila tunapenda sana cheap stuff
 
Back
Top Bottom