Tulia Ackson: Barabara ya Mbeya- Chunya ni zaidi ya majanga

Yeye ndio alijenga barabara substandard, tukawa tunasema ccm wanajali wingi na sio ubora. Utetezi ukawa ni kuwa tunapinga kila kitu. Muda ni mwalimu mzuri.
Barabara ya Iringa Dodoma ilijengwa waziri akiwa Shukuru Kawambwa.
Magufuli aliporudishwa wizarani alikataa kuipokea na kutaka irudiwe kama ilivyokuwa ile kilwa dar, JK alimgomea na alisusa hadi uzinduzi. Alitaka irudiwe yote.
 
Barabara ya Iringa Dodoma ilijengwa waziri akiwa Shukuru Kawambwa.
Magufuli aliporudishwa wizarani alikataa kuipokea na kutaka irudiwe kama ilivyokuwa ile kilwa dar, JK alimgomea na alisusa hadi uzinduzi. Alitaka irudiwe yote.
Mhhh! Ngumu kumeza.
 
Waziri wa Ujenzi marehemu yeye anasemaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…