Tulia Ackson: CCM haitoachia Dola KAMWE

Magufuli alikuwa na kipaji cha kuwaibua vichaa wenzake.

Huyu aliibuliwa mapema sana mwanzoni wa utawala wa kichaa huyo, hata kabla ya hawa wengine. Kwa hiyo alikuwa anamfahamu vizuri sana huyu kichaa mwenzake.


Lakini niulize swali mkuu 'Erytro', hivi huyu binti mbona kifuani hakuna kitu, ulishamtizama vizuri? Angalia hiyo picha!
 
Safari hii hatutawapa nafasi , Liwalo na Liwe !
Mkishindwa safari hii hamna sababu tena ya kuendelea kuwepo kama chama. 'Seriously'.
Siyo Katiba Mpya, wala Tume Huru, wala wizi wa kura zitakuwa sababu za kisingizio kwenu kushindwa kuwasambaratisha CCM ,'once and for all'.
 
Mbona mlimpiga Lissu risasi kisa mkasema sio mzalendo? ?
Kama uzalendo uko moyoni mwa mtu mwenyewe.
Lissu hatukumpiga risasi sisi, alishambuliwa na watu wasiojulikana, sisi tukamtuma VP Mama Samia akampe pole. Tulishindwa kuanza uchunguzi kwasababu kulikuwa hakuna shuhuda yoyote, sasa shuhuda mmoja yupo, jeshi la polisi litaanza uchunguzi.
P
 
Hii Tanzania ni swala la muda tu. Hata kama itachukua miaka 100 ,tutakuja kuwa kama DRC, Somalia, Sudan .Ngoja hiki kizazi cha waoga na wajinga kipite
Anaongea utafikiri ataishi milele, Yeye ni mavumbi,ataiacha nchi na hajui yatakayofuata.
 
Lissu alipigwa risasi na MaCHADEMA wenyewe hata dokta Mollel alisema inawezekana na Gaidi Mbowe kama walivyoua Chacha Wangwe .
Tulia yuko sawa CCM ina mifumo inatoendana na mahitaji ya nchi na wananchi haidhulumu wanawake kama kina Mdee.
Hakuna chama hata kimoja nje ya CCM kina akili za kitaifa.
Povu ruxa
 
MaCHADEMA msijidanganye kuwa mtamtoa Tulia Mbeya katika miaka 10 ijayo. Wananchi sio wajinga kama miaka ile wakaweka wachumia tumbo kama Sugu, Mnyika na wenzie ambao hawana alama hata choo bali wamenenepesha tu mashavu na kuwa na mahawara. Faiza anamtosha Sugu hukoo.
Kwa kazi na uimara wa CCM MaCHADEMA kaeni kwa adabu na matusi yenu.
Milele na milele kwa muundo wenu mnaishia chini tu. Btw Gaidi anaelekea mwisho who z next. Chiba!? Huo ndio mwisho wa MaCHADEMA.
 
Na ingetokea mwanadam angeishi milele,hii dunia ingekuwa na balaa

Ova
 
Huu ndiyo ukweli. Maridhiano ni kwenye ngazi za ubunge na udiwani tu. Lkn urais----thubutu!!
 
Huyu njiti anasadifu kwa asilimia mia hii katuni
 

Attachments

  • JamiiForums1389173211.jpeg
    24.6 KB · Views: 1
Hili liko wazi CCM iachie dola nani sasa ashike dola ?
 
Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…