Tulia Ackson: CCM haitoachia Dola KAMWE

Tulia Ackson: CCM haitoachia Dola KAMWE

Precisely. Kinachohitajika na wewe tafuta tumehuru yako watu kama fatmakarume na lwaitama, au askofubagonza na askofuatupele. Weka na sera ya ukabila (majimbo) pamoja na ya ushoga, iingie kwenye Ilani ya Mhe Mbowe mwaka 2030, mkishinda mkamate Nji. Siyo hii ya kulialia eti maridhiano mpewe ushindi wa chee bila jasho. Mma! No! Nduhu! Oode! Nein!!
🖕🏿🖕🏿
 
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Mhe. Dkt. Tulia Ackson amesema kuwa hakuna siku itatokea chama hicho kikaruhusu nafasi ya kuachia kuitawala nchi kwakuwa imejiwekea mizizi imara katika kuwatumikia wananchi wake.

Dkt. Tulia ameyasema hayo leo Februari 4, 2023 akiwa Visiwani Zanzibar kwa ziara ya kichama ambapo alikuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya sherehe za miaka 46 ya Chama hicho iliyofanyika katika Mkoa wa kusini Unguja.

Amesema kuwa ni wakati sahihi kwa wanachama wa chama hicho hususani vijana kuendelea kukipigania na kuwapigania Viongozi wao wakuu akiwemo Mwenyekiti wa Chama taifa ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuyasemea mazuri anayoyafanya kwa nchi.

“Mwana CCM hupaswi kukaa kinyonge hata siku moja, kote Tanzania bara na visiwani kuna miradi ya ujenzi wa shule kila kona, miundombinu ya barabara, zahanati, vituo vya afya n.k haya yote ni mafanikio ya kujivunia sasa unakaaje kinyonge? tunaposema kwamba chama hiki hakitaachia dola tunamaanisha” Amesisitiza Dkt. Tulia.

Chanzo: Clouds Media

View attachment 2506298
Sasa kama mke ni spika wa bunge na mumewe kateuliwa mkurugenzi tena wa taasis nyeti unatarajia atasema nini? wakati kwa mwezi tu mishahara yao wote wawili kwa pamoja wanakikusanya sio chini ya milion zisizopungua 20
 
🐒🐒🐒
image36.jpg
 
Precisely. Kinachohitajika na wewe tafuta tumehuru yako watu kama fatmakarume na lwaitama, au askofubagonza na askofuatupele. Weka na sera ya ukabila (majimbo) pamoja na ya ushoga, iingie kwenye Ilani ya Mhe Mbowe mwaka 2030, mkishinda mkamate Nji. Siyo hii ya kulialia eti maridhiano mpewe ushindi wa chee bila jasho. Mma! No! Nduhu! Oode! Nein!!
Umerogwa wewe
 
Anatuchafulia sifa ambazo ccm tumehangaika kuwaminisha watu kuwa tunafanya kwa haki na juudi yeye anaropoka ujinga atolewe ccm ni chama pendwa kwa matendo yake
 
Huyu mama ana hofu Sana na sugu. Anajua uchaguzi wa haki ataangushwa sasa anataka ufanyike uhuni kama wa 2020 ndio maana daima kauli zake ni hizo wasifuate demokrasia kwenye uchaguzi. Hana Amani kabisa na jimbo la mbeya mjini
Tutahakikisha hapati ubunge , hata kama wataligawa jimbo ni lazima aangushwe tu , tuliwahi kufanya hivyo Momba na Tunduma
 
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Mhe. Dkt. Tulia Ackson amesema kuwa hakuna siku itatokea chama hicho kikaruhusu nafasi ya kuachia kuitawala nchi kwakuwa imejiwekea mizizi imara katika kuwatumikia wananchi wake.

Dkt. Tulia ameyasema hayo leo Februari 4, 2023 akiwa Visiwani Zanzibar kwa ziara ya kichama ambapo alikuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya sherehe za miaka 46 ya Chama hicho iliyofanyika katika Mkoa wa kusini Unguja.

Amesema kuwa ni wakati sahihi kwa wanachama wa chama hicho hususani vijana kuendelea kukipigania na kuwapigania Viongozi wao wakuu akiwemo Mwenyekiti wa Chama taifa ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuyasemea mazuri anayoyafanya kwa nchi.

“Mwana CCM hupaswi kukaa kinyonge hata siku moja, kote Tanzania bara na visiwani kuna miradi ya ujenzi wa shule kila kona, miundombinu ya barabara, zahanati, vituo vya afya n.k haya yote ni mafanikio ya kujivunia sasa unakaaje kinyonge? tunaposema kwamba chama hiki hakitaachia dola tunamaanisha” Amesisitiza Dkt. Tulia.

Chanzo: Clouds Media

View attachment 2506298
Kazi kweli kweli!!!
 
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa...
Ni sahihi kabisa ,kwa akili za akina Lema na Mbowe mnategemea kweli kuiondoa ccm madarakani? Muda wa miaka thelethini mlichofanikiwa ni kujenga jamii ya vijana wa ovyo kama MDUDE na kundi lake ambao mnawaitwa makamanda
 
Back
Top Bottom