Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Hongera mkuuCha ajabu kipi ?? Maana 98% ya wana siasa wote wako humu wana jipitisha kwa IDs fake ..ukute mmoja wapo ni mimi teh teh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera mkuuCha ajabu kipi ?? Maana 98% ya wana siasa wote wako humu wana jipitisha kwa IDs fake ..ukute mmoja wapo ni mimi teh teh
🤩🤩🤩 nilikuwa nazungumza na Raila kidogo alinipigia 😃Alitaka amuwahi johnthebaptist
Ahahahajaj🤩🤩🤩 nilikuwa nazungumza na Raila kidogo alinipigia 😃
Subiri uteuzi P.Leo imetajwa rasmi
P.
.Cha ajabu kipi ?? Maana 98% ya wana siasa wote wako humu wana jipitisha kwa IDs fake ..ukute mmoja wapo ni mimi teh teh
Kipindi kile cha mwendazake mlipambana ifungwe au waweke servers zao bongo ..unafikiUzuri wa JF ni kuwa unaweza tema sumu zako unasepa zako.
Fake ID zinasaidia wengi sana.
Korido za JF ni nyingi humu tunapigana vikumbo na watu wazito, wanyonge, matajiri kwa masikini, wenye mamlaka na wasio na mamlaka, mapadre jwa wapagani. Majambazi na vibaka bila kusahau matapeli.Wasomi wengi wa Tanzania ni either wanachama wa JF au wasomaji wa JF.
Binadamu bwana ila wewe sio mnafiki.Kipindi kile cha mwendazake mlipambana ifungwe au waweke servers zao bongo ..unafiki
Hata wao ni wanachama humu ila wanatumia ID feki au GuestHakika JF inazidi kupaa!
Kwani nimemsikia mwenyewe Spika wa Bunge, Tulia Ackson, akiitaja JF, kuwa ndiyo kinara wa kutoa habari hapa nchini[emoji3]
Sababu vinatumika kupotosha piaMh Spika Tulia Ackson amesema anategemea kipindi hiki cha vikao vya muda mrefu Bungeni, Jamiiforums na Gazeti la Mwananchi mnategemewa kupeleka taarifa sahihi kwa wananchi
Je kwa nini mh Spika ataje hivi vyombo viwili?
Sina uhakika kama kuna chombo cha habari kinaizidi jamii forum. Maana hiki ni chombo cha wananchi
Ni chombo cha nini labda bingwaJF sio chombo cha habari
BothJF ni news media au platform tu ya kila mtu kujiwekea habari??
🤣🤣🤣🤣🤣sawa Juma DuniCha ajabu kipi?? Maana 98% ya wana siasa wote wako humu wana jipitisha kwa IDs fake ..ukute mmoja wapo ni mimi teh teh