Tulia Ackson: Gazeti la mwananchi, JamiiForums tunawategemea kuwapelekea taarifa sahihi, tusipeleke za upotoshaji

Tulia Ackson: Gazeti la mwananchi, JamiiForums tunawategemea kuwapelekea taarifa sahihi, tusipeleke za upotoshaji

Wanabodi,

Hii ni Breaking News kutoka Bungeni Dodoma!. Baada ya Rais Samia kusema huwa anaingiaga JF, kutusoma na kubaki akicheka. Leo kwa mara ya kwanza mtandao numero Uno Tanzania, Jamiiforums, leo imetajwa rasmi Bungeni na Spika wa Bunge Dr. Tulia Ackson " Vyombo vya Habari Mwananchi na Jamiiforums, Tunawategemea" Kutusaidia Kuihabarisha Jamii taarifa sahihi za Bunge"

clip kwa hisani ya Mkuu Replica

Mimi ni member wa JF kwa muda wa miaka 15 sasa, if imekuwa ikifanya mengi makubwa mazuri kuisaidia serikali na viongozi wake but was barely or hardly recognised, hivyo hii mention ya Spika, it's good kwa JF.

Sisi members wa jf tuwe makini zaidi, kama Mkuu wa Mhimili Mkuu, Rais wa JMT amesema anasoma JF, leo Mkuu wa Mhimili wa Bunge ametutaja, bado Mkuu wa Mhimili mmoja tuu wa Mahakama, of which its just a matter of time.

Mimi kwa niaba yangu binafsi kama mwana JF, nakiri kuwa niko very proud to be a JF member.View attachment 2576131

View attachment 2576132View attachment 2576133
Nichukue fursa hii kumpongeza Mkuu Maxence Melo na timu yake ya JF kwa kazi kubwa na nzuri ya uhabarishwaji wa jamii, upashanaji habari, na kutupatia fursa adhimu na adimu ya kutupatia mawanda ya Freedom of Speech and Expression kwa sisi members.

Pia natoa shukrani zangu kwa JF kutu recognizes baadhi yetu na kutupatia zawadi na bahasha nene ya chochote kitu!.

Thanks JF,
God Bless Mkuu Maxence Melo
God Bless JF Staff
God Bless JF Members
Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Kwa sababu tunazidi kupewa heshima kubwa, na sisi pia tujiheshimu. Haja na habari zinazoletwa na kujadiliwa zilingane na heshima tunayopewa.

Hongera sana Mkurugenzi mkuu wa JF na watendaji wake. Hongera sana wachangiaji makini na waletaji hoja zenye uzito, hao ndio wanaoifanya JF iheshimiki.
 
Hii inaitwa taking the advantage of any opportunity you get by grabbing it. Max ndie the most respected man hapa JF, hivyo kitendo tuu cha mimi kuonekana na Max kuna boost CV yangu!.

Kutupia manyuzi nyuzi ndio zangu!.

Watu wa JF kwa kutilia mashaka kila kitu ndio zao!. The other time nilipendeleza JF tusiishie kuwa wapiga kelele kwa keyboard warriors, tuwe na TV program sauti zetu zisikike Vipindi Maalum vya JF kwenye TV: Naomba Maoni Yako! jamaa wakanisagia kunguni kuwa mimi ni 'wale jamaa' nataka kuwajua members ambao wako very vocal anti government ili ni wa snitch!.

La suti tumelipokea
P
Pascal you very intelligent, son!
 
Spika wa Bunge, Tulia Ackson ameongelea vyombo vya habari na kuwaomba waandishi hawapendezwi na habari za upotoshaji kuhusu Bunge kwasababu liko wazi.

Tulia kasema wanawategemea Mwananchi, JamiiForums kuwapelekea wananchi taarifa sahihi na si za upotoshaji, amesema haipendezi hasa kama waandishi hawajanyimwa taarifa.

Spika wa mchongo
 
Siyo boss wake. Nakurekebisha. SSH ni Mkuu wa Mhimili wa Utawala na TA ni Mkuu wa Mhimili wa Bunge. Mihimili mitatu ya serikali hapa TZ ina mamlaka sawa na HAITAKIWI kuingiliana. Yaani Rais HATAKIWI kuingilia mamlaka ya Bunge au Mahakama, vivyo hivyo kwa Spika na Jaji Mkuu, nao hawatakiwi kuingiliana wao kwa wao au kuingilia Mhimili wa Utawala.
Hiyo ni nadharia ya kwenye makaratasi ilakiuhalisia Rais hana wakulingana nae,yeye ni mkuu wa nchi,amiri jeshi mkuu,mwenyekiti wa chama tawala,muulize Job Ndugai anaweza kukufafanulia kiundani,hii hata mwanangu wa form one anaelewa,mbona unaniangusha mpwa
 
Spika wa Bunge, Tulia Ackson ameongelea vyombo vya habari na kuwaomba waandishi hawapendezwi na habari za upotoshaji kuhusu Bunge kwasababu liko wazi.

Tulia kasema wanawategemea Mwananchi, JamiiForums kuwapelekea wananchi taarifa sahihi na si za upotoshaji, amesema haipendezi hasa kama waandishi hawajanyimwa taarifa.

Hakika
 
Back
Top Bottom