Tulia Ackson: Gazeti la mwananchi, JamiiForums tunawategemea kuwapelekea taarifa sahihi, tusipeleke za upotoshaji

Tulia Ackson: Gazeti la mwananchi, JamiiForums tunawategemea kuwapelekea taarifa sahihi, tusipeleke za upotoshaji

Nampongeza sana Maxcence na wenzake na woote walioshiriki kuisupport JF. Inazidi kung'aa!
 
Wanabodi,

Hii ni Breaking News kutoka Bungeni Dodoma!. Baada ya Rais Samia kusema huwa anaingiaga JF, kutusoma na kubaki akicheka. Leo kwa mara ya kwanza mtandao numero Uno Tanzania, Jamiiforums, leo imetajwa rasmi Bungeni na Spika wa Bunge Dr. Tulia Ackson " Vyombo vya Habari Mwananchi na Jamiiforums, Tunawategemea" Kutusaidia Kuihabarisha Jamii taarifa sahihi za Bunge"

clip kwa hisani ya Mkuu Replica

Mimi ni member wa JF kwa muda wa miaka 15 sasa, if imekuwa ikifanya mengi makubwa mazuri kuisaidia serikali na viongozi wake but was barely or hardly recognised, hivyo hii mention ya Spika, it's good kwa JF.

Sisi members wa jf tuwe makini zaidi, kama Mkuu wa Mhimili Mkuu, Rais wa JMT amesema anasoma JF, leo Mkuu wa Mhimili wa Bunge ametutaja, bado Mkuu wa Mhimili mmoja tuu wa Mahakama, of which its just a matter of time.

Mimi kwa niaba yangu binafsi kama mwana JF, nakiri kuwa niko very proud to be a JF member.View attachment 2576131

View attachment 2576132View attachment 2576133
Nichukue fursa hii kumpongeza Mkuu Maxence Melo na timu yake ya JF kwa kazi kubwa na mzuri ya uhabarishwaji wa jamii, upashanaji habari, na kutupatia fursa adhimu na adimu ya kutupatia mawanda ya freedom of speech and expression kwa sisi members.

Pia natoa shukrani zangu kwa JF kutu recognizes baadhi yetu na kutupatia zawadi na bahasha nene ya chochote kitu!.

Thanks JF,
God Bless Mkuu Maxence Melo
God Bless JF Staff
God Bless JF Members
Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Najisikia fahari kuwa mwanachama wa JamiiForums

Hongera kwa wafanyakazi wote wa JF
 
Mh Spika Tulia Ackson amesema anategemea kipindi hiki cha vikao vya muda mrefu Bungeni, Jamiiforums na Gazeti la Mwananchi mnategemewa kupeleka taarifa sahihi kwa wananchi

Je kwa nini mh Spika ataje hivi vyombo viwili?
Ndiyo maana mwandishi wa mwananchi DODOMA walimzingua!
 
Kwa watu makini Ni lazima jf Ni sehemu yao ya kupata habari na kwa namna ilivyo Ndo mtandao ambao Kila mwanasiasa lazima apite ili kujifunza na kupata kero mbalimbali za wananchi na pia kujifunza vitu mbalimbali.Ata East Africa Ndo mtandao unaosomwa zaidi asa nchini Kenya.
Wanabodi,

Hii ni Breaking News kutoka Bungeni Dodoma!. Baada ya Rais Samia kusema huwa anaingiaga JF, kutusoma na kubaki akicheka. Leo kwa mara ya kwanza mtandao numero Uno Tanzania, Jamiiforums, leo imetajwa rasmi Bungeni na Spika wa Bunge Dr. Tulia Ackson " Vyombo vya Habari Mwananchi na Jamiiforums, Tunawategemea" Kutusaidia Kuihabarisha Jamii taarifa sahihi za Bunge"

clip kwa hisani ya Mkuu Replica

Mimi ni member wa JF kwa muda wa miaka 15 sasa, if imekuwa ikifanya mengi makubwa mazuri kuisaidia serikali na viongozi wake but was barely or hardly recognised, hivyo hii mention ya Spika, it's good kwa JF.

Sisi members wa jf tuwe makini zaidi, kama Mkuu wa Mhimili Mkuu, Rais wa JMT amesema anasoma JF, leo Mkuu wa Mhimili wa Bunge ametutaja, bado Mkuu wa Mhimili mmoja tuu wa Mahakama, of which its just a matter of time.

Mimi kwa niaba yangu binafsi kama mwana JF, nakiri kuwa niko very proud to be a JF member.View attachment 2576131

View attachment 2576132View attachment 2576133
Nichukue fursa hii kumpongeza Mkuu Maxence Melo na timu yake ya JF kwa kazi kubwa na mzuri ya uhabarishwaji wa jamii, upashanaji habari, na kutupatia fursa adhimu na adimu ya kutupatia mawanda ya freedom of speech and expression kwa sisi members.

Pia natoa shukrani zangu kwa JF kutu recognizes baadhi yetu na kutupatia zawadi na bahasha nene ya chochote kitu!.

Thanks JF,
God Bless Mkuu Maxence Melo
God Bless JF Staff
God Bless JF Members
Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
 
Wanabodi,

Hii ni Breaking News kutoka Bungeni Dodoma!. Baada ya Rais Samia kusema huwa anaingiaga JF, kutusoma na kubaki akicheka. Leo kwa mara ya kwanza mtandao numero Uno Tanzania, Jamiiforums, leo imetajwa rasmi Bungeni na Spika wa Bunge Dr. Tulia Ackson " Vyombo vya Habari Mwananchi na Jamiiforums, Tunawategemea" Kutusaidia Kuihabarisha Jamii taarifa sahihi za Bunge"

clip kwa hisani ya Mkuu Replica

Mimi ni member wa JF kwa muda wa miaka 15 sasa, if imekuwa ikifanya mengi makubwa mazuri kuisaidia serikali na viongozi wake but was barely or hardly recognised, hivyo hii mention ya Spika, it's good kwa JF.

Sisi members wa jf tuwe makini zaidi, kama Mkuu wa Mhimili Mkuu, Rais wa JMT amesema anasoma JF, leo Mkuu wa Mhimili wa Bunge ametutaja, bado Mkuu wa Mhimili mmoja tuu wa Mahakama, of which its just a matter of time.

Mimi kwa niaba yangu binafsi kama mwana JF, nakiri kuwa niko very proud to be a JF member.View attachment 2576131

View attachment 2576132View attachment 2576133
Nichukue fursa hii kumpongeza Mkuu Maxence Melo na timu yake ya JF kwa kazi kubwa na mzuri ya uhabarishwaji wa jamii, upashanaji habari, na kutupatia fursa adhimu na adimu ya kutupatia mawanda ya freedom of speech and expression kwa sisi members.

Pia natoa shukrani zangu kwa JF kutu recognizes baadhi yetu na kutupatia zawadi na bahasha nene ya chochote kitu!.

Thanks JF,
God Bless Mkuu Maxence Melo
God Bless JF Staff
God Bless JF Members
Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
JF ni bunge la wananchi kwa hakika
kuna siku niliandika issue ya mbunge wa Bumbuli JY Makamba nashukuru juu ya ubovu wa barabara Mombo - Soni - Bumbuli
tunamshukuru Mungu kilio kimesikika
tunaishukuru serikali mkeka lami - Soni kwenda Bumbuli Tanroad mkoa wa Tanga wamekuja kwa kasi.

"CCM Oyee" Maendeleo hayana chama
 
JF ni bunge la wananchi kwa hakika
kuna siku niliandika issue ya mbunge wa Bumbuli JY Makamba nashukuru juu ya ubovu wa barabara Mombo - Soni - Bumbuli
tunamshukuru Mungu kilio kimesikika
tunaishukuru serikali mkeka lami - Soni kwenda Bumbuli Tanroad mkoa wa Tanga wamekuja kwa kasi.

"CCM Oyee" Maendeleo hayana chama
Umeharibu comment yako ulioanza nayo kwa kuweka maneno ya mwisho ya vichaa wenzako.
 
Ni kweli JF kubwa ila kuna ubora umepungua sasa ,JF ilikua ukiwa na jambo lolote ukiuliza unapata majibu kutoka kwa wataalamu mbalimbali
 
Kama bosi wake anapita humu yeye ni nani asipite, na ule uzi wetu pendwa wa kula tunda kimasihara??
Siyo boss wake. Nakurekebisha. SSH ni Mkuu wa Mhimili wa Utawala na TA ni Mkuu wa Mhimili wa Bunge. Mihimili mitatu ya serikali hapa TZ ina mamlaka sawa na HAITAKIWI kuingiliana. Yaani Rais HATAKIWI kuingilia mamlaka ya Bunge au Mahakama, vivyo hivyo kwa Spika na Jaji Mkuu, nao hawatakiwi kuingiliana wao kwa wao au kuingilia Mhimili wa Utawala.
 
Duh! Kumbe vigogo wakubwa huwa wanapitia habari humu, kuna neno moja nililitumia kuandika humu nimelisikia kwa kigogo mmoja bungeni naye akilitumia katika kuchangia mchango wake bungeni. Kama wazito wapo humu wanatusoma basi uandishi wetu uwe wa maana na wenye tija kwa taifa
Hiyo avatar hicho chakula hasa ugali, unajua ni chakula cha asili cha kabila gani? Nimeshtuka sana.
 
Back
Top Bottom