Mzingo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 4,729
- 10,500
Kwamba yawezekana Mpwayungu ni Lusinde?Hata wao ni wanachama humu ila wanatumia ID feki au Guest
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba yawezekana Mpwayungu ni Lusinde?Hata wao ni wanachama humu ila wanatumia ID feki au Guest
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Watu wanachukua madini tu🤣🤣Kama bosi wake anapita humu yeye ni nani asipite,na ule uzi wetu pendwa wa kula tunda kimasihara??
Sio sumu tu,unaweza kuandika ukweli ukasepa zako bila kufuatiliwa zaidi ya kuwaachia "msala" wakina Maxence Mello na wenzake.Uzuri wa JF ni kuwa unaweza tema sumu zako unasepa zako.
Fake ID zinasaidia wengi sana.
hata magenge ya wapigaji tupo nayo humu, lkn yapo strategically!Wasomi wengi wa Tanzania ni either wanachama wa JF au wasomaji wa JF.
Sio Mkumbo kweli??Kwamba yawezekana Mpwayungu ni Lusinde?
Na tukiwa tunawagusa hadi na Mauzauza yao katika Nyadhifa zao au Maisha yao Binafsi yasiyokuwa ya mfano bora kwa Watu wawe Wavumilivu.Hakika JF inazidi kupaa!
Kwani nimemsikia mwenyewe Spika wa Bunge, Tulia Ackson, akiitaja JF, kuwa ndiyo kinara wa kutoa habari hapa nchini😀
yaani kama wewe sasa hivi sijui ungekuwa wapi, shukuru Fake ID.... 🤣Uzuri wa JF ni kuwa unaweza tema sumu zako unasepa zako.
Fake ID zinasaidia wengi sana.
Wewe Jamaa ni Mnafiki halafu unajua kweli kweli Kumsanifu Mtu na akakuamini. Nimecheka sana.Nasubiri uandike alichokisema wakati anaitaja
Kwamba Mkumbo aliacha ualimu akaingia siasani sio?Sio Mkumbo kweli??
🤣🤣🤣hapana, ila majukumu yalimfanya atoke huko,Kwamba Mkumbo aliacha ualimu akaingia siasani sio?
Hawa ndiyo watwanga ban na wafuta nyuzi
Sasa Tukipiga Spana asitume watu kututafuta .Hakika JF inazidi kupaa!
Kwani nimemsikia mwenyewe Spika wa Bunge, Tulia Ackson, akiitaja JF, kuwa ndiyo kinara wa kutoa habari hapa nchini[emoji3]
Mkuu nimependa sana hizo picha hasa ya mwishoWanabodi,
Hii ni Breaking News kutoka Bungeni Dodoma!. Baada ya Rais Samia kusema huwa anaingiaga JF, kutusoma na kubaki akicheka. Leo kwa mara ya kwanza mtandao numero Uno Tanzania, Jamiiforums, leo imetajwa rasmi Bungeni na Spika wa
Ameitaja kwa ubaya ikiwa ni sehemu ya kupotosha taarifa za bunge- hili si jambo jemaHakika JF inazidi kupaa!
Alianza Rais Samia, kwenye kongamano la Chadema, akiitaja JF, na hivi leo nimemsikia mwenyewe Spika wa Bunge, Tulia Ackson, akiitaja JF, kuwa ndiyo kinara wa kutoa habari hapa nchini👏👏