Tulia Ackson (Mbunge wa Mbeya Mjini) Roho inamsuta

Watani zangu hawajawahi kuniangusha sasa Msigwa wajibu ndg zetu kuwa na Iringa ipo na Mwenyekiti
 
Nisaidie namna ya kuiona hii attachment. Kila nikigusa inafungua page mpya badala yakufungua video/picha
Chukua simu yako itie kwenye povu la sabuni haafu toa fasta futa utaiona vizuri kabisa kabisa
 
Eti Naye Tulia alishinda kwa kishindo [emoji23][emoji23][emoji23]
Mwendazake ametuachia vituko kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umeona eeh.
Ndio sababu Sugu anasema CCM wana KURA, yeye ana WANANCHI. Tafakari hio sentensi
 
Hakuna mpiga kura hapo. Wahuni watupu.
 
Ukifika wakati wa uchaguzi mnagongwa tena....
hawa jamaa mapimbi kweli
 
Ila yule Dada anaongoza kwa kujipiga picha na kutupia picha hizo mitandaoni,sijajua anatatizo gani
Hivi hajajua kama ni kiongozi. Hana tofauti na akina Joti,Mwaisa, Mkojani nk

Tulia hebu tulia dada,mambo ya picha nyingi yashakutupa mkono bibi
 
Ila yule Dada anaongoza kwa kujipiga picha na kutupia picha hizo mitandaoni,sijajua anatatizo gani
Hivi hajajua kama ni kiongozi. Hana tofauti na akina Joti,Mwaisa, Mkojani nk

Tulia hebu tulia dada,mambo ya picha nyingi yashakutupa mkono bibi
Anajiona ni mrembo
 
2025 sio mbali...mtatuthibutishia watu wa Mbeya
 
Mbona hawajavaa barakoa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…