Tulia Ackson: Wanaojitolea kwenye Kada za Afya na Ualimu wapewe kipaumbele kwenye Ajira

Tulia Ackson: Wanaojitolea kwenye Kada za Afya na Ualimu wapewe kipaumbele kwenye Ajira

Siku hizi hata kupata nafasi za kujitolea hutolewa kwa kujuana, wafanyakazi kazi wa kituo hicho cha Afya au shule wanapeleka ndugu zao na huwa wanalipwa posho kidogo ya kujikimu kutoka kwenye OC za taasisi hizo au michango ya wazazi
 
Hii Madam spika hujalifikiria vizuri kabla ya huo ushauli. Kwanza kujitolea imekuwa lazima siku hizi? Jibu ni hapana. Pili hizo nafasi za kujitolea zipo kwa kiasi gani kiasi kwamba kila mhitimu aweze kujitolea?

Kwanza Madam spika tambua kuwa huyu mtu anahitajika pia na familia yake hivyo wengi wameamua kujiajili kwenye shughuli mbalimbali ili wapate kipato kidogo kwa ajili ya kujikimu kimaisha. Yote haya ukichanganya na mengine mengi huwezi kuja na kauli hiyo ya eti waajiliwe kwanza wanaojitolea. Futa kauli hiyo
 
nakumbuka nilivyomaliza masomo yangu tarajari niliambiwa nijitolee kwenye tahasusi flani kwakweli nilikataa japo maisha yalikua magumu sana sina mishe niliamini nitapata tu nikatuliza moyo nikamrudisha wife kwao nikaanza kupambana nikapata ajira lasmi nikamrudisha wife maisha yakaendelea
KATAA KUJITOLEA KUJITOLEA NI UTUMWA WASOMI MJIAMINI MGUMU WAMAISHA NI MOJA YA NJIA ZA MAISHA
 
Fuatilia yanayojiri Bungeni leo Aprili 6, 2023 kwenye Mkutano wa 11, Kikao cha 3.



RIPOTI YA CAG YALETWA BUNGENI
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imepelekwa Bungeni leo na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba.
WANAOJITOLEA WAPEWE KIPAUMBELE KWENYE AJIRA
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tulia Ackson amemshauri Waziri wa Afya na Waziri wa TAMISEMI kukaa na Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora ili kutengeneza mfumo mzuri wa kuajiri Watumishi wa Kada za Afya na Walimu wanaojitolea pindi nafasi za kazi zinapotangazwa.
Amesema, "Huwa haipendezi sana yaani kwamba wao ndio huwa hawana sifa za ajira, yaani kwa sababu ajira zikitangazwa, wale wote wanaojitolea wanajikuta kwamba kwenye eneo lako hakuna hata mmoja aliyepata. Sasa huwa tunajiuliza kama wale wanaojitolea hawana sifa, waliokaa nyumbani wanaomba kazi ndio wana sifa kuwazidi hawa wengine?"

Amewashauri kutengeneza mfumo mzuri wa kupata taarifa za watu wanaojitolea ili ajira zinapopatikana zitumiwe kuwapa kipaumbele cha kuajiriwa.
Huo ni unyonyaji na utumwa kiufupi serikali inatafuta cheap labor.
 
Siku hizi hata kupata nafasi za kujitolea hutolewa kwa kujuana, wafanyakazi kazi wa kituo hicho cha Afya au shule wanapeleka ndugu zao na huwa wanalipwa posho kidogo ya kujikimu kutoka kwenye OC za taasisi hizo au michango ya wazazi
Wanatengeneza mianya ya kupitisha ndugu zao pindi ajira zinapotangazwa.
 
Fuatilia yanayojiri Bungeni leo Aprili 6, 2023 kwenye Mkutano wa 11, Kikao cha 3.



RIPOTI YA CAG YALETWA BUNGENI
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imepelekwa Bungeni leo na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba.
WANAOJITOLEA WAPEWE KIPAUMBELE KWENYE AJIRA
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tulia Ackson amemshauri Waziri wa Afya na Waziri wa TAMISEMI kukaa na Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora ili kutengeneza mfumo mzuri wa kuajiri Watumishi wa Kada za Afya na Walimu wanaojitolea pindi nafasi za kazi zinapotangazwa.
Amesema, "Huwa haipendezi sana yaani kwamba wao ndio huwa hawana sifa za ajira, yaani kwa sababu ajira zikitangazwa, wale wote wanaojitolea wanajikuta kwamba kwenye eneo lako hakuna hata mmoja aliyepata. Sasa huwa tunajiuliza kama wale wanaojitolea hawana sifa, waliokaa nyumbani wanaomba kazi ndio wana sifa kuwazidi hawa wengine?"

Amewashauri kutengeneza mfumo mzuri wa kupata taarifa za watu wanaojitolea ili ajira zinapopatikana zitumiwe kuwapa kipaumbele cha kuajiriwa.

Huo ni ujanja wa kutaka wahusika wajazane hospitals na shuleni kuokoa jahazi.
Hamna jipya hapo na haitokuja itokee.
Kitakachofuatia hapo hao wanaojitolea kwa kupewa japo nauli na sabuni watakosa hivyo vitu kwa kasi mpya.
 
Mhe. Spika Ajira zikishatoka watu huwa wanachanganyikiwa kila mtu na wake. Mara huyu mtoto wa mjomba aliyeko wizarani, mara huyu ndio vile tena huko mkoani kwa mkurugenzi. Sasa huyo wakujitolea atakufa na headmaster wake.
 
Mheshimiwa Tulia amepotoka,ila Mimi bado najiuliza hawa viongozi wetu wanapotoa maagizo yao huwa wako fine kwa akili zao!??

Tulia anatakiwa ajue kuwa kwa upande wa elimu hakuna walimu wanaojitolea kuannzia January Hadi December bila malipo ,Bali kuna pesa wazazi wanachanga theni wanalipwa,


Lakini pia atambue kuwa kuzipata hizo nafasi za kujitolea ni mbinde,mashule yamejaa,sasa unaposema hawa wanaojitolea ndo wapewe kipaumbele ni kuleta upendeleo usio na maana,aache watu waajiliwe kwa sifa zao.

Lakini pia akisema ati waajiriwe wanaojitolea unaleta mianya ya rushwa pindi ajira zinapotolewa kwani wahitimu huwa wanaenda kwa wakuu wa shule,maafisa rasilimali watu na wakurugenzi ili wawatambue kuwa wanaojitolea hapo lengo lao wapate ajira
Hakuna atakayelipwa tena sasa maana Mkuu wa shule atakuwa na mafuriko ya walimu wa kujitolea ijapo ni ngumu sana toka January to December.
 
Fuatilia yanayojiri Bungeni leo Aprili 6, 2023 kwenye Mkutano wa 11, Kikao cha 3.



RIPOTI YA CAG YALETWA BUNGENI
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imepelekwa Bungeni leo na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba.
WANAOJITOLEA WAPEWE KIPAUMBELE KWENYE AJIRA
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tulia Ackson amemshauri Waziri wa Afya na Waziri wa TAMISEMI kukaa na Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora ili kutengeneza mfumo mzuri wa kuajiri Watumishi wa Kada za Afya na Walimu wanaojitolea pindi nafasi za kazi zinapotangazwa.
Amesema, "Huwa haipendezi sana yaani kwamba wao ndio huwa hawana sifa za ajira, yaani kwa sababu ajira zikitangazwa, wale wote wanaojitolea wanajikuta kwamba kwenye eneo lako hakuna hata mmoja aliyepata. Sasa huwa tunajiuliza kama wale wanaojitolea hawana sifa, waliokaa nyumbani wanaomba kazi ndio wana sifa kuwazidi hawa wengine?"

Amewashauri kutengeneza mfumo mzuri wa kupata taarifa za watu wanaojitolea ili ajira zinapopatikana zitumiwe kuwapa kipaumbele cha kuajiriwa.

Siko tayari kufuatilia BUNGE la namna hiyo,halina changamoto (tuli zikataa 2020)

Bunge dhaifu (pr ASSAD)
 
Fuatilia yanayojiri Bungeni leo Aprili 6, 2023 kwenye Mkutano wa 11, Kikao cha 3.



RIPOTI YA CAG YALETWA BUNGENI
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imepelekwa Bungeni leo na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba.
WANAOJITOLEA WAPEWE KIPAUMBELE KWENYE AJIRA
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tulia Ackson amemshauri Waziri wa Afya na Waziri wa TAMISEMI kukaa na Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora ili kutengeneza mfumo mzuri wa kuajiri Watumishi wa Kada za Afya na Walimu wanaojitolea pindi nafasi za kazi zinapotangazwa.
Amesema, "Huwa haipendezi sana yaani kwamba wao ndio huwa hawana sifa za ajira, yaani kwa sababu ajira zikitangazwa, wale wote wanaojitolea wanajikuta kwamba kwenye eneo lako hakuna hata mmoja aliyepata. Sasa huwa tunajiuliza kama wale wanaojitolea hawana sifa, waliokaa nyumbani wanaomba kazi ndio wana sifa kuwazidi hawa wengine?"

Amewashauri kutengeneza mfumo mzuri wa kupata taarifa za watu wanaojitolea ili ajira zinapopatikana zitumiwe kuwapa kipaumbele cha kuajiriwa.

MAADILI YA TAIFA YALINDWE
Mbunge wa Iringa, Jesca Jonathani MSambatavangu amewataka Watanzania kulinda maadili ya nchi kwa kutokuiga mambo mabaya yanayosambaa kwa kasi duniani.

Amekemea ukatili unaoendele dhidi ya binadamu, watoto pamoja na kushika kazi kwa vitengo visivyofaa vya ulawiti na ushoga.

Amewaasa Watanzania kutoa fursa kwa mataifa Mengine ya nje kuja kujifunza nchini namna ya kutunza watu wake na kuishi kwa maadili yanayofaa.

Pamoja na uwepo wa usalama wakutosha kwenye mipaka ya nchi, Mbunge MSambatavangu amebainisha kuwa hali ya usalama wa watoto nchini upo hatarini.

Stupid , vibaraka wa mpuuzi Magufuli , hawa malay si ndio walikuwa wanakenua hapa , mpuuzi alizuia ajira miaka 6+ unategemea nini hapo ? Yet hayana hata aibu yanaongelea kujitolea ,pumbav
Slave labour
 
Ni kweli na kwa nini watu wajitolee wapewe ajira mkiwa mnajitolea tolea ndio chanzo cha waajiri kutokuajiri wanaojitolea mimi huwa siwaelewi hvi wameshindwa kabisa kutafuta cha kufanya wanawalemaza waajiri awaajiri kwa sababu uhitaji auonekani
Hao madogo huwa ni wajinga na wengi wapo vijijin

Wanafanya hvyo ili waonekane wasomi lakini mfukoni wamejaa shida
 
Kuna mwamba nilimsikiliza clouds fm kajitolea toka 2017 hadi leo hajaajiriwa inabidi akimaliza kufundisha jioni apige kaz ya Bodaboda ili kesho apate nauli ya kurudi shulekujitolea

2015 - 2023 miaka 8 ya mapambano ya maisha mtaani .niishie hapo maana alieshiba hamjui mwenye njaa.
Alafu wao wanatumia b80 kwenye afla za kumpongeza mpuuzi mmoja kwa kushindwa kusimamia mali za umma
 
Back
Top Bottom