Chikuvi2021
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 491
- 551
Mbona wewe ni mgumu kuelewa kiasi hicho? usikurupuke ku comment hoja kama huna uhakika na kilichoongelewa na hujakielewaYeye anatoa amri hiyo kama nani?
Huo ni unyonyaji na utumwa kiufupi serikali inatafuta cheap labor.Fuatilia yanayojiri Bungeni leo Aprili 6, 2023 kwenye Mkutano wa 11, Kikao cha 3.
RIPOTI YA CAG YALETWA BUNGENI
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imepelekwa Bungeni leo na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba.
WANAOJITOLEA WAPEWE KIPAUMBELE KWENYE AJIRA
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tulia Ackson amemshauri Waziri wa Afya na Waziri wa TAMISEMI kukaa na Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora ili kutengeneza mfumo mzuri wa kuajiri Watumishi wa Kada za Afya na Walimu wanaojitolea pindi nafasi za kazi zinapotangazwa.
Amesema, "Huwa haipendezi sana yaani kwamba wao ndio huwa hawana sifa za ajira, yaani kwa sababu ajira zikitangazwa, wale wote wanaojitolea wanajikuta kwamba kwenye eneo lako hakuna hata mmoja aliyepata. Sasa huwa tunajiuliza kama wale wanaojitolea hawana sifa, waliokaa nyumbani wanaomba kazi ndio wana sifa kuwazidi hawa wengine?"
Amewashauri kutengeneza mfumo mzuri wa kupata taarifa za watu wanaojitolea ili ajira zinapopatikana zitumiwe kuwapa kipaumbele cha kuajiriwa.
Wanatengeneza mianya ya kupitisha ndugu zao pindi ajira zinapotangazwa.Siku hizi hata kupata nafasi za kujitolea hutolewa kwa kujuana, wafanyakazi kazi wa kituo hicho cha Afya au shule wanapeleka ndugu zao na huwa wanalipwa posho kidogo ya kujikimu kutoka kwenye OC za taasisi hizo au michango ya wazazi
Hajatoa amri, ameshauri.
Huo ni ujanja wa kutaka wahusika wajazane hospitals na shuleni kuokoa jahazi.Fuatilia yanayojiri Bungeni leo Aprili 6, 2023 kwenye Mkutano wa 11, Kikao cha 3.
RIPOTI YA CAG YALETWA BUNGENI
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imepelekwa Bungeni leo na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba.
WANAOJITOLEA WAPEWE KIPAUMBELE KWENYE AJIRA
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tulia Ackson amemshauri Waziri wa Afya na Waziri wa TAMISEMI kukaa na Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora ili kutengeneza mfumo mzuri wa kuajiri Watumishi wa Kada za Afya na Walimu wanaojitolea pindi nafasi za kazi zinapotangazwa.
Amesema, "Huwa haipendezi sana yaani kwamba wao ndio huwa hawana sifa za ajira, yaani kwa sababu ajira zikitangazwa, wale wote wanaojitolea wanajikuta kwamba kwenye eneo lako hakuna hata mmoja aliyepata. Sasa huwa tunajiuliza kama wale wanaojitolea hawana sifa, waliokaa nyumbani wanaomba kazi ndio wana sifa kuwazidi hawa wengine?"
Amewashauri kutengeneza mfumo mzuri wa kupata taarifa za watu wanaojitolea ili ajira zinapopatikana zitumiwe kuwapa kipaumbele cha kuajiriwa.
Hakuna atakayelipwa tena sasa maana Mkuu wa shule atakuwa na mafuriko ya walimu wa kujitolea ijapo ni ngumu sana toka January to December.Mheshimiwa Tulia amepotoka,ila Mimi bado najiuliza hawa viongozi wetu wanapotoa maagizo yao huwa wako fine kwa akili zao!??
Tulia anatakiwa ajue kuwa kwa upande wa elimu hakuna walimu wanaojitolea kuannzia January Hadi December bila malipo ,Bali kuna pesa wazazi wanachanga theni wanalipwa,
Lakini pia atambue kuwa kuzipata hizo nafasi za kujitolea ni mbinde,mashule yamejaa,sasa unaposema hawa wanaojitolea ndo wapewe kipaumbele ni kuleta upendeleo usio na maana,aache watu waajiliwe kwa sifa zao.
Lakini pia akisema ati waajiriwe wanaojitolea unaleta mianya ya rushwa pindi ajira zinapotolewa kwani wahitimu huwa wanaenda kwa wakuu wa shule,maafisa rasilimali watu na wakurugenzi ili wawatambue kuwa wanaojitolea hapo lengo lao wapate ajira
Siko tayari kufuatilia BUNGE la namna hiyo,halina changamoto (tuli zikataa 2020)Fuatilia yanayojiri Bungeni leo Aprili 6, 2023 kwenye Mkutano wa 11, Kikao cha 3.
RIPOTI YA CAG YALETWA BUNGENI
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imepelekwa Bungeni leo na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba.
WANAOJITOLEA WAPEWE KIPAUMBELE KWENYE AJIRA
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tulia Ackson amemshauri Waziri wa Afya na Waziri wa TAMISEMI kukaa na Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora ili kutengeneza mfumo mzuri wa kuajiri Watumishi wa Kada za Afya na Walimu wanaojitolea pindi nafasi za kazi zinapotangazwa.
Amesema, "Huwa haipendezi sana yaani kwamba wao ndio huwa hawana sifa za ajira, yaani kwa sababu ajira zikitangazwa, wale wote wanaojitolea wanajikuta kwamba kwenye eneo lako hakuna hata mmoja aliyepata. Sasa huwa tunajiuliza kama wale wanaojitolea hawana sifa, waliokaa nyumbani wanaomba kazi ndio wana sifa kuwazidi hawa wengine?"
Amewashauri kutengeneza mfumo mzuri wa kupata taarifa za watu wanaojitolea ili ajira zinapopatikana zitumiwe kuwapa kipaumbele cha kuajiriwa.
Mwambie ajikite kupiga boda,aachane na upuuzi wa kujitolea.Kuna mwamba nilimsikiliza clouds fm kajitolea toka 2017 hadi leo hajaajiriwa inabidi akimaliza kufundisha jioni apige kaz ya Bodaboda ili kesho apate nauli ya kurudi shule kujitolea
Stupid , vibaraka wa mpuuzi Magufuli , hawa malay si ndio walikuwa wanakenua hapa , mpuuzi alizuia ajira miaka 6+ unategemea nini hapo ? Yet hayana hata aibu yanaongelea kujitolea ,pumbavFuatilia yanayojiri Bungeni leo Aprili 6, 2023 kwenye Mkutano wa 11, Kikao cha 3.
RIPOTI YA CAG YALETWA BUNGENI
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imepelekwa Bungeni leo na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba.
WANAOJITOLEA WAPEWE KIPAUMBELE KWENYE AJIRA
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tulia Ackson amemshauri Waziri wa Afya na Waziri wa TAMISEMI kukaa na Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora ili kutengeneza mfumo mzuri wa kuajiri Watumishi wa Kada za Afya na Walimu wanaojitolea pindi nafasi za kazi zinapotangazwa.
Amesema, "Huwa haipendezi sana yaani kwamba wao ndio huwa hawana sifa za ajira, yaani kwa sababu ajira zikitangazwa, wale wote wanaojitolea wanajikuta kwamba kwenye eneo lako hakuna hata mmoja aliyepata. Sasa huwa tunajiuliza kama wale wanaojitolea hawana sifa, waliokaa nyumbani wanaomba kazi ndio wana sifa kuwazidi hawa wengine?"
Amewashauri kutengeneza mfumo mzuri wa kupata taarifa za watu wanaojitolea ili ajira zinapopatikana zitumiwe kuwapa kipaumbele cha kuajiriwa.
MAADILI YA TAIFA YALINDWE
Mbunge wa Iringa, Jesca Jonathani MSambatavangu amewataka Watanzania kulinda maadili ya nchi kwa kutokuiga mambo mabaya yanayosambaa kwa kasi duniani.
Amekemea ukatili unaoendele dhidi ya binadamu, watoto pamoja na kushika kazi kwa vitengo visivyofaa vya ulawiti na ushoga.
Amewaasa Watanzania kutoa fursa kwa mataifa Mengine ya nje kuja kujifunza nchini namna ya kutunza watu wake na kuishi kwa maadili yanayofaa.
Pamoja na uwepo wa usalama wakutosha kwenye mipaka ya nchi, Mbunge MSambatavangu amebainisha kuwa hali ya usalama wa watoto nchini upo hatarini.
Hao madogo huwa ni wajinga na wengi wapo vijijinNi kweli na kwa nini watu wajitolee wapewe ajira mkiwa mnajitolea tolea ndio chanzo cha waajiri kutokuajiri wanaojitolea mimi huwa siwaelewi hvi wameshindwa kabisa kutafuta cha kufanya wanawalemaza waajiri awaajiri kwa sababu uhitaji auonekani
Baada ya kuona serikali ya ccmYeye anatoa amri hiyo kama nani?
Kuna mwamba nilimsikiliza clouds fm kajitolea toka 2017 hadi leo hajaajiriwa inabidi akimaliza kufundisha jioni apige kaz ya Bodaboda ili kesho apate nauli ya kurudi shulekujitolea
Alafu wao wanatumia b80 kwenye afla za kumpongeza mpuuzi mmoja kwa kushindwa kusimamia mali za umma2015 - 2023 miaka 8 ya mapambano ya maisha mtaani .niishie hapo maana alieshiba hamjui mwenye njaa.