Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 3,329
- 2,169
Yaani sijui kwa nini, tunafuatiliana mno maisha binafsiWewe umepata wapi muda wa kumuanzishia Uzi?
Hiyo ni private life yake,wewe haikuhusu,
Dunia ya leo ni mitandaoni,mfano hata tajiri wa Dunia Elon yupo active mitandaoni.
Kwani ulisikia kazi zake zimekwama kwa kukosa muda?Shida ni matumizi mabaya ya mda
Jamn mm mwanaum sijawahipoo hata kuweka ya mwanangu seize mm mwenyew kitu ambacho kinaisshi milele tupunguzen kujipost hayo waanaopostiw kttk kaz tu zinaatoshaHuyo ana ulimbukeni nashibdwa kujua huko Duniani walimhagua vipi? Kwa Tanzania sina haja ya kuuliza make inajulikana
Mkuu andika taratibu ... taratibuMm sijakataaa, ila imekuwa too much, krb kila siku, yeye ni kiongozi ana mbo mengi ya kuwanyia watanzania
Na wewe unalipwa kwa kodi za nani?Ww yule ni kiongozi sio mtu binafsi, analipwa kwa kodi zetu
You need mental rehabilitation therapy.Mm najilipa mwenye we
Lucas chawa au?Kwani lucas anasemaje kuhusu hili?
ππππJamani mimi sijui ni mshamba au ninamaarifa kidogo, huwa napata sana shida kuona kiongozi mkubwa kama Tulia Acksoni, Spika wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na spika wa Dunia, mtu anae ongoza maspika wote wa Dunia hii. Najiuliza anapata wapi muda wa kujipost FaceBook.
Wewe kama mwasheria ungekuwa anajikeep bize katika kupitia sheria, kanuni na mwiongozo ya bunge la Dunia, pamoja na la Tanzania.
Dhahabu inathamani sana ni kwa sbb ni adimu, huwa haipatika mara kwa mara, thamani ya mtu huwa inaongezeka kama watu huwa hawakuoni mara kwa mara.
NB: Wewe ni icon wa Tanzania Duniani, nakushauri punguza kujipost. Thamani Yako inashuka katika jamii ya kitanzania na Dunia kwa ujumla.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
YaaahLucas chawa au?