Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema ana imani mahakama itamsaidia Rais katika eneo la utoaji haki. Dr. Tulia amesema kuna watu hawaelewi kama mhimili wa mahakama nao unafanya kazi ya kumsaidia Rais.
Dr. Tulia amesema anaamini watu huwa wanasoma vitabu vya dini, ambapo amesema kazi zote huwa za mfalme na wengine humsaidia humsaidia kuhakikisha nchi inakaa sawasawa.
Amempongeza Rais Samia kuongeza wanawake kwenye mhimili wa mahakama kwani si hali ya kawaida.
Pia ameongelea suala la hukumu za mahakama ambapo kwa niaba ya Bunge ambayo amesema pia ni kwa niaba ya wananchi wanatamani kwa mahakama kutoa hukumu kwa haraka ili haki ipatikane. Tulia amesema haki iliyocheleweshwa ni haki iliyonyimwa.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema ana imani mahakama itamsaidia Rais katika eneo la utoaji haki. Dr. Tulia amesema kuna watu hawaelewi kama mhimili wa mahakama nao unafanya kazi ya kumsaidia Rais.
Dr. Tulia amesema anaamini watu huwa wanasoma vitabu vya dini, ambapo amesema kazi zote huwa za mfalme na wengine humsaidia humsaidia kuhakikisha nchi inakaa sawasawa.
Amempongeza Rais Samia kuongeza wanawake kwenye mhimili wa mahakama kwani si hali ya kawaida.
Pia ameongelea suala la hukumu za mahakama ambapo kwa niaba ya Bunge ambayo amesema pia ni kwa niaba ya wananchi wanatamani kwa mahakama kutoa hukumu kwa haraka ili haki ipatikane. Tulia amesema haki iliyocheleweshwa ni haki iliyonyimwa.
PhD utopolo - chizi kapewa microphone- anapayula tu kinacgomuijia kichwani?
Nini maana ya lile soma la secondary la civics kwamba mihimili yote ni huru na inajitegemea kwa maana ya check and balances- hicho kipengele cha kumsaidia mfalme mbona hakimo, amekitoa wapi? check n balance sio kusaidiana, labda atuambie katoa wapi hilo la kumsaidia mfalme ?
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema ana imani mahakama itamsaidia Rais katika eneo la utoaji haki. Dr. Tulia amesema kuna watu hawaelewi kama mhimili wa mahakama nao unafanya kazi ya kumsaidia Rais.
Dr. Tulia amesema anaamini watu huwa wanasoma vitabu vya dini, ambapo amesema kazi zote huwa za mfalme na wengine humsaidia humsaidia kuhakikisha nchi inakaa sawasawa.
Amempongeza Rais Samia kuongeza wanawake kwenye mhimili wa mahakama kwani si hali ya kawaida.
Pia ameongelea suala la hukumu za mahakama ambapo kwa niaba ya Bunge ambayo amesema pia ni kwa niaba ya wananchi wanatamani kwa mahakama kutoa hukumu kwa haraka ili haki ipatikane. Tulia amesema haki iliyocheleweshwa ni haki iliyonyimwa.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema ana imani mahakama itamsaidia Rais katika eneo la utoaji haki. Dr. Tulia amesema kuna watu hawaelewi kama mhimili wa mahakama nao unafanya kazi ya kumsaidia Rais.
Dr. Tulia amesema anaamini watu huwa wanasoma vitabu vya dini, ambapo amesema kazi zote huwa za mfalme na wengine humsaidia humsaidia kuhakikisha nchi inakaa sawasawa.
Amempongeza Rais Samia kuongeza wanawake kwenye mhimili wa mahakama kwani si hali ya kawaida.
Pia ameongelea suala la hukumu za mahakama ambapo kwa niaba ya Bunge ambayo amesema pia ni kwa niaba ya wananchi wanatamani kwa mahakama kutoa hukumu kwa haraka ili haki ipatikane. Tulia amesema haki iliyocheleweshwa ni haki iliyonyimwa.
Ndio maana pia lawama zote huwa zinaelekezwa kwa mfalme hata kama walioharibu ni wasaidizi wake !! Na hapo ndipo umuhimu wa Katiba mpya bora unapoonekana ili kumpunguzia Mkuu lawama ambazo wala hakustahili kulaumiwa !! Katiba mpya ni muhimu !!
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema ana imani mahakama itamsaidia Rais katika eneo la utoaji haki. Dr. Tulia amesema kuna watu hawaelewi kama mhimili wa mahakama nao unafanya kazi ya kumsaidia Rais.
Dr. Tulia amesema anaamini watu huwa wanasoma vitabu vya dini, ambapo amesema kazi zote huwa za mfalme na wengine humsaidia humsaidia kuhakikisha nchi inakaa sawasawa.
Amempongeza Rais Samia kuongeza wanawake kwenye mhimili wa mahakama kwani si hali ya kawaida.
Pia ameongelea suala la hukumu za mahakama ambapo kwa niaba ya Bunge ambayo amesema pia ni kwa niaba ya wananchi wanatamani kwa mahakama kutoa hukumu kwa haraka ili haki ipatikane. Tulia amesema haki iliyocheleweshwa ni haki iliyonyimwa.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema ana imani mahakama itamsaidia Rais katika eneo la utoaji haki. Dr. Tulia amesema kuna watu hawaelewi kama mhimili wa mahakama nao unafanya kazi ya kumsaidia Rais.
Dr. Tulia amesema anaamini watu huwa wanasoma vitabu vya dini, ambapo amesema kazi zote huwa za mfalme na wengine humsaidia humsaidia kuhakikisha nchi inakaa sawasawa.
Amempongeza Rais Samia kuongeza wanawake kwenye mhimili wa mahakama kwani si hali ya kawaida.
Pia ameongelea suala la hukumu za mahakama ambapo kwa niaba ya Bunge ambayo amesema pia ni kwa niaba ya wananchi wanatamani kwa mahakama kutoa hukumu kwa haraka ili haki ipatikane. Tulia amesema haki iliyocheleweshwa ni haki iliyonyimwa.