Tulia Akson: Kazi zote huwa za mfalme(Rais), wengine tunamsaidia

Tulia Akson: Kazi zote huwa za mfalme(Rais), wengine tunamsaidia

PhD utopolo - chizi kapewa microphone- anapayula tu kinacgomuijia kichwani?
Nini maana ya lile soma la secondary la civics kwamba mihimili yote ni huru na inajitegemea kwa maana ya check and balances- hicho kipengele cha kumsaidia mfalme mbona hakimo, amekitoa wapi? check n balance sio kusaidiana, labda atuambie katoa wapi hilo la kumsaidia mfalme ?
unalinganishaje na PhD feki ya yule mzee wenu wa legacy
 
Huyu sura mbaya hajielewi.

Angeona Speaker wa Marekani anavyompelekesha Biden hadi Biden amekubali wakae pamoja waweke sawa mambo yao
Huo nao ujinga wa kusoma shuleni bila kuelewa....

Hivi wewe mnyalu unatuambia kuwa demokrasia ni moja duniani ?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]

Kweli shule tunakwenda kusomea ujinga.....
 
PhD utopolo - chizi kapewa microphone- anapayula tu kinacgomuijia kichwani?
Nini maana ya lile soma la secondary la civics kwamba mihimili yote ni huru na inajitegemea kwa maana ya check and balances- hicho kipengele cha kumsaidia mfalme mbona hakimo, amekitoa wapi? check n balance sio kusaidiana, labda atuambie katoa wapi hilo la kumsaidia mfalme ?
Katika kila MANENO Kuna maana ya nje na ya ndani....

Inawezekana umeyaelewa maneno yake ya NJE na ukahanikiza hisia zako zenye kukupeleka katika FIKRA HASI.....[emoji1787]
 
hata wale wanaomlalamikia Mwigulu Nchemba waache sababu hizo kazi anazotekeleza ni za mfalme na maagizo yote yanatolewa na mfalme na siyo Nchemba.

Na wale wanaolalamikia COVID 19 kuendelea kupokea mishahara ya ubunge wakati sio wabunge wa chama chochote nao wamlalamikie mfalme mmoja kwa moja sio kumlalamikia Madam Spika
 
Wakati mwingine Musukuma yuko sahihi kuhoji PhD za baadhi ya wanaoijiita wasomi.

Sasa Tulia ina maana hajui kuwa hii nchi ni Jamhuri na siyo ya Kifalme?

PhD yake ichunguzwe huyu.

Mawazo anayoyatoa mbele ya mahakimu/Majaji ni hatari sana, yanawamold kuanzia day one kudhani kuwa wao wanafanya kazi ya rais na siyo ya Jamhuri.

Shame!
Wala Mheshimiwa Tulia hajakosea kitu chochote. ! Mhe Tulia ni mwanasheria anajua Katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania imempa madaraka makubwa sana sana Mkuu wa Nchi !! Hata Mwalimu Nyerere na pia Rais mstaafu Kikwete kwa nyakati tofauti walithibitisha hivyo !!
 
Anasema ukweli, kwa bahati mbaya sana😂😂.

Nchi ya Kifalme.. na Mfalme ni mwamuzi wa kila kitu.

Sasa wale mnaopenda kuwalaumu wasaidizi wa mfalme, mlaumuni mfalme moja kwa moja

Tanzania a monarchy state. . Ahsante sana Spika.
NAkaaa juu yakilima nachek 2 Tz inavyoenda mimi
 
Aliyesema hili kundi linawakilisha wananchi alaaniwe. Huyu Betina hana tofauti na yule aliyesema mheshimiwa Mungu. Hivi ni Mungu anatuadhibu kupitia hawa phd mchongo?
 
Mh.Spika Dr.Tulia Ackson ameongea kweli ambayo wenye UPOGO wa fikra watampinga....

Demokrasia haijakuja kuondoa UHALISIA wa mwanadamu na maisha yake.....

Dini ya DOLA ni haki.....

Haki hiyo anaanza kuisimamia mfalme na kuweza kushuka katika mikono yake(serikali ,mahakama na bunge)....

NEVER GIVE WISDOM TO UNWORTHY BECAUSE IT IS UNFAIR TO THE KNOWLEDGE

#SiempreJMT[emoji120]
You nailed it. !
 
Unaposema tunamsaidia haileti maana

Nadhani wanafanya kwa pamoja unajua ukisema kusaidia maana yake hawa watumishi wa umma;

Wanaoiba na kufisadi nchi na miradi wanamsaidia nani kuiba au kufisadi?

Hawa wavivu na wazembe na wazee wa rushwa rushwa wanafanya hayo wakimsaidia nani?

Wale wanakula ndani na nje ya kambi zao mpaka wanavimbiwa wanamsaidia nani kula huko??

Ifike mahali tuelewe katiba yetu kimantiki na sio kuishia kuisoma tu huko madarasani

Na hii ina maana mihimili mingine haiko huru kitu ambacho sio kweli
Kwa hiyo wewe unaielewa katiba zaidi ya anavyoilewa dokta Tulia ?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]

Hebu jifunzeni kutafsiri maneno....hii nayo ni "field" ya falsafa.....

Sikiliza mgosi....

Maneno huwa na maana ya NJE na NDANI....

Umeyachukua maneno yake ya NJE ukayapwagiza HISIA zako hasi.....meza mate ,vuta pumzi huo mpauko ukutoke usoni [emoji1787][emoji1787]
 
Hata ufisadi serikalini ni kazi ya rais ndio maana nashindwa kuwawajibisha mafisadi
Umemsikia bi tozo aka riyo tuwa upigaji ati .ati anaenda kuimarisha uwajibikaji huku nchi inawaka.moto kwa ukwapuaji
 
Wakati mwingine Musukuma yuko sahihi kuhoji PhD za baadhi ya wanaoijiita wasomi.

Sasa Tulia ina maana hajui kuwa hii nchi ni Jamhuri na siyo ya Kifalme?

PhD yake ichunguzwe huyu.

Mawazo anayoyatoa mbele ya mahakimu/Majaji ni hatari sana, yanawamold kuanzia day one kudhani kuwa wao wanafanya kazi ya rais na siyo ya Jamhuri.

Shame!
Acha bwana....

Mbona wewe ni msomi kaka...

Yaani unajiangusha mwenyewe kwa kutotaka kuitafsiri kauli yake kwa maana ya NDANI na si NJE tu uliyoichukua na kukupandisha jazba?!!!!

Falsafa inafundisha kuwa kila kitu....kina maana ya NJE na NDANI.....

Vuta pumzi uiondoe hasira ikuwakayo [emoji1787][emoji1787]
 
Hata ufisadi serikalini ni kazi ya rais ndio maana nashindwa kuwawajibisha mafisadi
Hapa asilaumiwe rais tu....

Mikono yake(taasisi zake) ziko wapi kumsaidia?!!!

Hata mfalme wa MONARCHY huwa anasaidiwa......
 
Na wale wanaolalamikia COVID 19 kuendelea kupokea mishahara ya ubunge wakati sio wabunge wa chama chochote nao wamlalamikie mfalme mmoja kwa moja sio kumlalamikia Madam Spika
Kila litokealo unalitafsiri kwa kauli hii ya mh.Spika?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]

Ama kweli falsafa inatufundisha kuwa kila kitu kina maana ya NJE na NDANI....bahati mbaya umeikumbatia maana ya nje tu....
 
Back
Top Bottom