saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
unalinganishaje na PhD feki ya yule mzee wenu wa legacyPhD utopolo - chizi kapewa microphone- anapayula tu kinacgomuijia kichwani?
Nini maana ya lile soma la secondary la civics kwamba mihimili yote ni huru na inajitegemea kwa maana ya check and balances- hicho kipengele cha kumsaidia mfalme mbona hakimo, amekitoa wapi? check n balance sio kusaidiana, labda atuambie katoa wapi hilo la kumsaidia mfalme ?