saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
unalinganishaje na PhD feki ya yule mzee wenu wa legacyPhD utopolo - chizi kapewa microphone- anapayula tu kinacgomuijia kichwani?
Nini maana ya lile soma la secondary la civics kwamba mihimili yote ni huru na inajitegemea kwa maana ya check and balances- hicho kipengele cha kumsaidia mfalme mbona hakimo, amekitoa wapi? check n balance sio kusaidiana, labda atuambie katoa wapi hilo la kumsaidia mfalme ?
Mkuu hebu meza mate kidogo....unachukia kuambiwa ukweli ?!!![emoji1787][emoji1787]Tabia hii imezalisha machawa wengi na mashoga Tanzania.
Huo nao ujinga wa kusoma shuleni bila kuelewa....Huyu sura mbaya hajielewi.
Angeona Speaker wa Marekani anavyompelekesha Biden hadi Biden amekubali wakae pamoja waweke sawa mambo yao
Katika kila MANENO Kuna maana ya nje na ya ndani....PhD utopolo - chizi kapewa microphone- anapayula tu kinacgomuijia kichwani?
Nini maana ya lile soma la secondary la civics kwamba mihimili yote ni huru na inajitegemea kwa maana ya check and balances- hicho kipengele cha kumsaidia mfalme mbona hakimo, amekitoa wapi? check n balance sio kusaidiana, labda atuambie katoa wapi hilo la kumsaidia mfalme ?
hata wale wanaomlalamikia Mwigulu Nchemba waache sababu hizo kazi anazotekeleza ni za mfalme na maagizo yote yanatolewa na mfalme na siyo Nchemba.
Wanakuja akina Erthyrocyte [emoji1787][emoji1787]Chadema watapinga
Wala Mheshimiwa Tulia hajakosea kitu chochote. ! Mhe Tulia ni mwanasheria anajua Katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania imempa madaraka makubwa sana sana Mkuu wa Nchi !! Hata Mwalimu Nyerere na pia Rais mstaafu Kikwete kwa nyakati tofauti walithibitisha hivyo !!Wakati mwingine Musukuma yuko sahihi kuhoji PhD za baadhi ya wanaoijiita wasomi.
Sasa Tulia ina maana hajui kuwa hii nchi ni Jamhuri na siyo ya Kifalme?
PhD yake ichunguzwe huyu.
Mawazo anayoyatoa mbele ya mahakimu/Majaji ni hatari sana, yanawamold kuanzia day one kudhani kuwa wao wanafanya kazi ya rais na siyo ya Jamhuri.
Shame!
NAkaaa juu yakilima nachek 2 Tz inavyoenda mimiAnasema ukweli, kwa bahati mbaya sana😂😂.
Nchi ya Kifalme.. na Mfalme ni mwamuzi wa kila kitu.
Sasa wale mnaopenda kuwalaumu wasaidizi wa mfalme, mlaumuni mfalme moja kwa moja
Tanzania a monarchy state. . Ahsante sana Spika.
Mkuu mwenye PhD ya heshima si "afadhari" ni "afadhali"....[emoji1787]Afadhari PhD za Heshima kuliko hizi za darasani- By Kashep/k msukuma
You nailed it. !Mh.Spika Dr.Tulia Ackson ameongea kweli ambayo wenye UPOGO wa fikra watampinga....
Demokrasia haijakuja kuondoa UHALISIA wa mwanadamu na maisha yake.....
Dini ya DOLA ni haki.....
Haki hiyo anaanza kuisimamia mfalme na kuweza kushuka katika mikono yake(serikali ,mahakama na bunge)....
NEVER GIVE WISDOM TO UNWORTHY BECAUSE IT IS UNFAIR TO THE KNOWLEDGE
#SiempreJMT[emoji120]
Kwa hiyo wewe unaielewa katiba zaidi ya anavyoilewa dokta Tulia ?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]Unaposema tunamsaidia haileti maana
Nadhani wanafanya kwa pamoja unajua ukisema kusaidia maana yake hawa watumishi wa umma;
Wanaoiba na kufisadi nchi na miradi wanamsaidia nani kuiba au kufisadi?
Hawa wavivu na wazembe na wazee wa rushwa rushwa wanafanya hayo wakimsaidia nani?
Wale wanakula ndani na nje ya kambi zao mpaka wanavimbiwa wanamsaidia nani kula huko??
Ifike mahali tuelewe katiba yetu kimantiki na sio kuishia kuisoma tu huko madarasani
Na hii ina maana mihimili mingine haiko huru kitu ambacho sio kweli
Umemsikia bi tozo aka riyo tuwa upigaji ati .ati anaenda kuimarisha uwajibikaji huku nchi inawaka.moto kwa ukwapuajiHata ufisadi serikalini ni kazi ya rais ndio maana nashindwa kuwawajibisha mafisadi
Acha bwana....Wakati mwingine Musukuma yuko sahihi kuhoji PhD za baadhi ya wanaoijiita wasomi.
Sasa Tulia ina maana hajui kuwa hii nchi ni Jamhuri na siyo ya Kifalme?
PhD yake ichunguzwe huyu.
Mawazo anayoyatoa mbele ya mahakimu/Majaji ni hatari sana, yanawamold kuanzia day one kudhani kuwa wao wanafanya kazi ya rais na siyo ya Jamhuri.
Shame!
Dhihaka hizo....Tulia kwa kumtazama tu ni mtu aliyeathiriwa sana na unyafuzi.
Hapa asilaumiwe rais tu....Hata ufisadi serikalini ni kazi ya rais ndio maana nashindwa kuwawajibisha mafisadi
Kila litokealo unalitafsiri kwa kauli hii ya mh.Spika?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]Na wale wanaolalamikia COVID 19 kuendelea kupokea mishahara ya ubunge wakati sio wabunge wa chama chochote nao wamlalamikie mfalme mmoja kwa moja sio kumlalamikia Madam Spika
Hapo kilimani hutoki mpaka kiama cha ulimwengu?!![emoji1787][emoji1787]NAkaaa juu yakilima nachek 2 Tz inavyoenda mimi