Tulia wewe ni Spika wa Bunge au ni Spika wa Serikali?

Tulia wewe ni Spika wa Bunge au ni Spika wa Serikali?

Waliosema sura siyo roho, wabadilishe. Huyu mama sura na roho yake ni sawasawa. Ni mwanamke ila anakuwa na roho ngumu, hana utu utasema hajapata mtoto kwa uchungu.

Tanzania hii mihimili ni geresha tu, yao yaende. Hakuna haki tukitegemea hii mihimili, itusimamie. Mtaelewa kwanini Gen Z wa Kenya, walifanya walichofanya.
 
Waliosema sura siyo roho, wabadilishe. Huyu mama sura na roho yake ni sawasawa. Ni mwanamke ila anakuwa na roho ngumu, hana utu utasema hajapata mtoto kwa uchungu.

Tanzania hii mihimili ni geresha tu, yao yaende. Hakuna haki tukitegemea hii mihimili, itusimamie. Mtaelewa kwanini Gen Z wa Kenya, walifanya walichofanya.
Fumba macho na uishikilie simu yako barabara nikuombee dua njema ili uendelee na uthubutu wa kuwa mkweli.Aaamiiin!🙏😎
 
Waliosema sura siyo roho, wabadilishe. Huyu mama sura na roho yake ni sawasawa. Ni mwanamke ila anakuwa na roho ngumu, hana utu utasema hajapata mtoto kwa uchungu.

Tanzania hii mihimili ni geresha tu, yao yaende. Hakuna haki tukitegemea hii mihimili, itusimamie. Mtaelewa kwanini Gen Z wa Kenya, walifanya walichofanya.
Hakika hatuna muhimili bali tuna makundi ya wasaka tumbo!
 
Leo ni mara ya pili unazuia wabunge kujadili hali hii mbaya ya utekaji na mauaji ya viongozi wa vyama vya upinzani na wananchi wa kawaida wakiwemo watoto! Mbaya zaidi unaisemea serikali kuliko Waziri Mkuu na mawaziri wengine.

Hivi unajua wajibu wako unapokuwa hapo kwenye kiti cha Spika? Wadhifa wako katika serikali ya Samia ni upi? M
Kwa kuikingia kifua serikali unadhani unamsaidia Rais Samia au unamfanya aonekane ni muuaji na mpenda madaraka? Huoni kuwa unampakaza Samia damu za wote wanaouawa na vyombo vya dola?

Kwa nini unamzuia Waziri Mkuu kujibu hoja kuhusu mauaji na utekaji unaoendelea kuwa tishio kwa wananchi? Kwa nini unawazuia wabunge kuiwajibisha serikali kwa maovu yanayoendelea? Hivi hufahamu kuwa wabunge wanasema kwa niaba ya wananchi na siyo serikali?

Kwa nini unaufanya muhimili wa Bunge kuwa chawa wa serikali? Huelewi kuwa wakiwajibishwa wote wanaofanya maovu haya serikali ya Samia itasafishika na kuepuka lawama ambazo hivi sasa zinaelekezwa kwake.

Tulia kwa nini unakuwa na roho ya kishetani namna hii halafu unajifanya mlokole TAG. Huoni unalipaka matope kanisa unalosali la Tanzania Assemblies of God?


PIA SOMA
- Spika Tulia: Tusiweke mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea amechukuliwa na Vyombo vya Dola. Tusitumie mihemko
Jinsi alivyoanza kuingia bungeni unajua kabisa Tulia ni project ya CCM kudhibiti bunge
 
Bunge la mijadala ambayo haina maazimio mwisho wa siku ni kama blow-off valve tu.Engine itapumua kidogo baadae itaendelea kutunza mvuke...

Kuongea na kupiga kelele bungeni kumesaidia nini? wako wapi kina Zitto, Msigwa, kina Kafulila, Lema, Lissu sio hao hao waliwakaribisha waliowakemea kama mafisadi 2015.

Kwangu mimi, mfumo wa demokrasia kwenye uongozi umepitwa na wakati umeleta maafa mengi kuliko uchifu au ufalme. uje tu mfumo mwingine.
Sijui kama umeelewa
 
Onesmo Mushi anaandika "
Wakati mwingine najiuliza hivi Spika wa Bunge, @TuliaAckson , aliyepewa madaraka na Rais @SuluhuSamia baada kumnyang’anya madaraka hayo Spika #JOBNDUGAI ambaye alitenda kosa la kokusoa utendaji wa serikali ya Samia, anaweza kweli kuwa na uhuru wa kusema au kufanya tofauti na matakwa ya aliyempa nafasi?🤔🤔


Spika ambaye alimsikia Rais @SuluhuSamia akisema wazi “UKINIKUNA VIZURI NAMI NITAKUKUNA NA KUKUPAPASA HUKU NIKIKUPULIZA, LAKINI UKINIPARA NITAKUPARURA,” anaweza KUPARURA mgongo wa boss wake?🤔"
 
Leo ni mara ya pili unazuia wabunge kujadili hali hii mbaya ya utekaji na mauaji ya viongozi wa vyama vya upinzani na wananchi wa kawaida wakiwemo watoto! Mbaya zaidi unaisemea serikali kuliko Waziri Mkuu na mawaziri wengine.

Hivi unajua wajibu wako unapokuwa hapo kwenye kiti cha Spika? Wadhifa wako katika serikali ya Samia ni upi? M
Kwa kuikingia kifua serikali unadhani unamsaidia Rais Samia au unamfanya aonekane ni muuaji na mpenda madaraka? Huoni kuwa unampakaza Samia damu za wote wanaouawa na vyombo vya dola?

Kwa nini unamzuia Waziri Mkuu kujibu hoja kuhusu mauaji na utekaji unaoendelea kuwa tishio kwa wananchi? Kwa nini unawazuia wabunge kuiwajibisha serikali kwa maovu yanayoendelea? Hivi hufahamu kuwa wabunge wanasema kwa niaba ya wananchi na siyo serikali?

Kwa nini unaufanya muhimili wa Bunge kuwa chawa wa serikali? Huelewi kuwa wakiwajibishwa wote wanaofanya maovu haya serikali ya Samia itasafishika na kuepuka lawama ambazo hivi sasa zinaelekezwa kwake.

Tulia kwa nini unakuwa na roho ya kishetani namna hii halafu unajifanya mlokole TAG. Huoni unalipaka matope kanisa unalosali la Tanzania Assemblies of God?


PIA SOMA
- Spika Tulia: Tusiweke mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea amechukuliwa na Vyombo vya Dola. Tusitumie mihemko
Kinyago cha mpapure
 
Leo ni mara ya pili unazuia wabunge kujadili hali hii mbaya ya utekaji na mauaji ya viongozi wa vyama vya upinzani na wananchi wa kawaida wakiwemo watoto! Mbaya zaidi unaisemea serikali kuliko Waziri Mkuu na mawaziri wengine.

Hivi unajua wajibu wako unapokuwa hapo kwenye kiti cha Spika? Wadhifa wako katika serikali ya Samia ni upi? M
Kwa kuikingia kifua serikali unadhani unamsaidia Rais Samia au unamfanya aonekane ni muuaji na mpenda madaraka? Huoni kuwa unampakaza Samia damu za wote wanaouawa na vyombo vya dola?

Kwa nini unamzuia Waziri Mkuu kujibu hoja kuhusu mauaji na utekaji unaoendelea kuwa tishio kwa wananchi? Kwa nini unawazuia wabunge kuiwajibisha serikali kwa maovu yanayoendelea? Hivi hufahamu kuwa wabunge wanasema kwa niaba ya wananchi na siyo serikali?

Kwa nini unaufanya muhimili wa Bunge kuwa chawa wa serikali? Huelewi kuwa wakiwajibishwa wote wanaofanya maovu haya serikali ya Samia itasafishika na kuepuka lawama ambazo hivi sasa zinaelekezwa kwake.

Tulia kwa nini unakuwa na roho ya kishetani namna hii halafu unajifanya mlokole TAG. Huoni unalipaka matope kanisa unalosali la Tanzania Assemblies of God?


PIA SOMA
- Spika Tulia: Tusiweke mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea amechukuliwa na Vyombo vya Dola. Tusitumie mihemko
Una ushahidi gani kwamba maovu yanayoendelea kwenye jamii yetu chanzo chake ni serikali?. Hoja yako haina mashiko.

Spika Tulia amemzuia waziri mkuu kwa sababu hayo mauaji yanatokana na uchawi ambao ni mila na desturi zetu za kila siku, serikali inaingiaje kwenye suala zima la uganga wa jadi na mauaji yanayotokana na ushirikina?.

Spika alimjibu yule mbunge mwanamama wa upinzani kwamba vyanzo vya taarifa za mauaji ni tofauti na ni suala lenye kustahili kuchukuliwa hatua za kisheria nje ya bunge.

Huwezi kuweka commitment ya kibunge kwenye suala ambalo taarifa zake hazijakaa sawa.
 
Lakini huyu ni chawa mjinga. Kwa sababu anafanya uchawa wa kumharibia Rais.

Huyu mtu amekaa darasani kwa miaka mingi lakini hajitambui na wala elimu haijamkomboa wala kumfanya astaarabike.

Ifanyike kampeni kubwa ili huyu mtu asionekane tena bungeni, hana maana na hana msaada kwa Taifa.

Kwanza huyu hata kujifanya mlokole bila shaka ametafuta kichaka cha kufichia uovu wake. Hana dini mtu huyu. Hakuna dini ya kweli inayotetea uovu.
Unapoteza muda wako kwa kutunza hasira bila ya sababu. Hoja nzima ya masuala ya mauaji iliingia bungeni kishabiki zaidi haswa kupitia taarifa za magazetini.

Spika hufanya kazi kwa ushahidi unaojitosheleza.
 
Unapoteza muda wako kwa kutunza hasira bila ya sababu. Hoja nzima ya masuala ya mauaji iliingia bungeni kishabiki zaidi haswa kupitia taarifa za magazetini.

Spika hufanya kazi kwa ushahidi unaojitosheleza.
Wee chawa mshenzi kaa kwa kutulia igange njaa yako!
 
Back
Top Bottom