fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
kabisaTangu tupate uhuru wa Tanganyika, so far hakuna Spika aliyefikia kiwango cha Mh Dkt, Advocate Tulia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kabisaTangu tupate uhuru wa Tanganyika, so far hakuna Spika aliyefikia kiwango cha Mh Dkt, Advocate Tulia.
wewe ni form 7shida yenu hamsomi majukumu ya spika,ni kuja hapa na kuporomosha lawama tu,acheni ujinga soma majukumu ya spika ni yepi
Leo ni mara ya pili unazuia wabunge kujadili hali hii mbaya ya utekaji na mauaji ya viongozi wa vyama vya upinzani na wananchi wa kawaida wakiwemo watoto! Mbaya zaidi unaisemea serikali kuliko Waziri Mkuu na mawaziri wengine.
Hivi unajua wajibu wako unapokuwa hapo kwenye kiti cha Spika? Wadhifa wako katika serikali ya Samia ni upi? M
Kwa kuikingia kifua serikali unadhani unamsaidia Rais Samia au unamfanya aonekane ni muuaji na mpenda madaraka? Huoni kuwa unampakaza Samia damu za wote wanaouawa na vyombo vya dola?
Kwa nini unamzuia Waziri Mkuu kujibu hoja kuhusu mauaji na utekaji unaoendelea kuwa tishio kwa wananchi? Kwa nini unawazuia wabunge kuiwajibisha serikali kwa maovu yanayoendelea? Hivi hufahamu kuwa wabunge wanasema kwa niaba ya wananchi na siyo serikali?
Kwa nini unaufanya muhimili wa Bunge kuwa chawa wa serikali? Huelewi kuwa wakiwajibishwa wote wanaofanya maovu haya serikali ya Samia itasafishika na kuepuka lawama ambazo hivi sasa zinaelekezwa kwake.
Tulia kwa nini unakuwa na roho ya kishetani namna hii halafu unajifanya mlokole TAG. Huoni unalipaka matope kanisa unalosali la Tanzania Assemblies of God?
PIA SOMA
- Spika Tulia: Tusiweke mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea amechukuliwa na Vyombo vya Dola. Tusitumie mihemko
Huyu mwanamke hafai hata chembe kua spika wa bunge. Ni mtu wa kutafuta maslahi binafsi tena mroho wa madaraka. Pamoja na usomi ubinafsi umemtawala. Kumbuka ile sheria alisaidia kupitisha kwa hila kuhusu kuwapa Dubai bandari zetu. bunge ni baraza la uwakilishi kwa wananchi. Badala yake analifanya chombo kuilinda serikali kwa utendaji wake mbaya.Leo ni mara ya pili unazuia wabunge kujadili hali hii mbaya ya utekaji na mauaji ya viongozi wa vyama vya upinzani na wananchi wa kawaida wakiwemo watoto! Mbaya zaidi unaisemea serikali kuliko Waziri Mkuu na mawaziri wengine.
Hivi unajua wajibu wako unapokuwa hapo kwenye kiti cha Spika? Wadhifa wako katika serikali ya Samia ni upi? M
Kwa kuikingia kifua serikali unadhani unamsaidia Rais Samia au unamfanya aonekane ni muuaji na mpenda madaraka? Huoni kuwa unampakaza Samia damu za wote wanaouawa na vyombo vya dola?
Kwa nini unamzuia Waziri Mkuu kujibu hoja kuhusu mauaji na utekaji unaoendelea kuwa tishio kwa wananchi? Kwa nini unawazuia wabunge kuiwajibisha serikali kwa maovu yanayoendelea? Hivi hufahamu kuwa wabunge wanasema kwa niaba ya wananchi na siyo serikali?
Kwa nini unaufanya muhimili wa Bunge kuwa chawa wa serikali? Huelewi kuwa wakiwajibishwa wote wanaofanya maovu haya serikali ya Samia itasafishika na kuepuka lawama ambazo hivi sasa zinaelekezwa kwake.
Tulia kwa nini unakuwa na roho ya kishetani namna hii halafu unajifanya mlokole TAG. Huoni unalipaka matope kanisa unalosali la Tanzania Assemblies of God?
PIA SOMA
- Spika Tulia: Tusiweke mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea amechukuliwa na Vyombo vya Dola. Tusitumie mihemko
Majukumu ya spika ni kumlamba Samia nyayo?shida yenu hamsomi majukumu ya spika,ni kuja hapa na kuporomosha lawama tu,acheni ujinga soma majukumu ya spika ni yepi
Ni kweli hakuna aliyefikia ushetani kama Mwehu Tulia!Tangu tupate uhuru wa Tanganyika, so far hakuna Spika aliyefikia kiwango cha Mh Dkt, Advocate Tulia.
Usiwe mjinga wewe uspika hajapewa kwa sababu ya PhD bali uchawa! Maspika wote waliomtangulia walikuwa na PhD?Kama ile PHD sio lolote nenda wewe ukawe spika, povu linakumwagika ukiwa wapi?.
Wewebado mtoto mdogo kwa kuyasoma tu maandishi yako, bado unazo jazba nyingi za vijana.Usiwe mjinga wewe uspika hajapewa kwa sababu ya PhD bali uchawa! Maspika wote waliomtangulia walikuwa na PhD?
Mwehu wewe!
Kwa hiyo uzee wako ndiyo kisa cha kuwa chawa mpumbavu?Wewebado mtoto mdogo kwa kuyasoma tu maandishi yako, bado unazo jazba nyingi za vijana.
Wapumbavu ni aina yako wenye kumchukia Dr Tulia, unamchukia mtu wakati huwezi kubadilisha chochote kwenye nyota yake!.Kwa hiyo uzee wako ndiyo kisa cha kuwa chawa mpumbavu?
Mbwa wewe huna hoja!Wapumbavu ni aina yako wenye kumchukia Dr Tulia, unamchukia mtu wakati huwezi kubadilisha chochote kwenye nyota yake!.
Unaongea na mbwa wewe ukiwa binadamu! punguza kuvuta bangi zilizochanganywa na kinyesi cha mbuzi.Mbwa wewe huna hoja!
Wewe mbwa wa Samia!Unaongea na mbwa wewe ukiwa binadamu! punguza kuvuta bangi zilizochanganywa na kinyesi cha mbuzi.
Wewe mbwa wa Mbowe haujatulia.Wewe mbwa wa Samia!