Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Fumba macho na uishikilie simu yako barabara nikuombee dua njema ili uendelee na uthubutu wa kuwa mkweli.Aaamiiin!🙏😎Waliosema sura siyo roho, wabadilishe. Huyu mama sura na roho yake ni sawasawa. Ni mwanamke ila anakuwa na roho ngumu, hana utu utasema hajapata mtoto kwa uchungu.
Tanzania hii mihimili ni geresha tu, yao yaende. Hakuna haki tukitegemea hii mihimili, itusimamie. Mtaelewa kwanini Gen Z wa Kenya, walifanya walichofanya.
Hakika hatuna muhimili bali tuna makundi ya wasaka tumbo!Waliosema sura siyo roho, wabadilishe. Huyu mama sura na roho yake ni sawasawa. Ni mwanamke ila anakuwa na roho ngumu, hana utu utasema hajapata mtoto kwa uchungu.
Tanzania hii mihimili ni geresha tu, yao yaende. Hakuna haki tukitegemea hii mihimili, itusimamie. Mtaelewa kwanini Gen Z wa Kenya, walifanya walichofanya.
Jinsi alivyoanza kuingia bungeni unajua kabisa Tulia ni project ya CCM kudhibiti bungeLeo ni mara ya pili unazuia wabunge kujadili hali hii mbaya ya utekaji na mauaji ya viongozi wa vyama vya upinzani na wananchi wa kawaida wakiwemo watoto! Mbaya zaidi unaisemea serikali kuliko Waziri Mkuu na mawaziri wengine.
Hivi unajua wajibu wako unapokuwa hapo kwenye kiti cha Spika? Wadhifa wako katika serikali ya Samia ni upi? M
Kwa kuikingia kifua serikali unadhani unamsaidia Rais Samia au unamfanya aonekane ni muuaji na mpenda madaraka? Huoni kuwa unampakaza Samia damu za wote wanaouawa na vyombo vya dola?
Kwa nini unamzuia Waziri Mkuu kujibu hoja kuhusu mauaji na utekaji unaoendelea kuwa tishio kwa wananchi? Kwa nini unawazuia wabunge kuiwajibisha serikali kwa maovu yanayoendelea? Hivi hufahamu kuwa wabunge wanasema kwa niaba ya wananchi na siyo serikali?
Kwa nini unaufanya muhimili wa Bunge kuwa chawa wa serikali? Huelewi kuwa wakiwajibishwa wote wanaofanya maovu haya serikali ya Samia itasafishika na kuepuka lawama ambazo hivi sasa zinaelekezwa kwake.
Tulia kwa nini unakuwa na roho ya kishetani namna hii halafu unajifanya mlokole TAG. Huoni unalipaka matope kanisa unalosali la Tanzania Assemblies of God?
PIA SOMA
- Spika Tulia: Tusiweke mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea amechukuliwa na Vyombo vya Dola. Tusitumie mihemko
Sijui kama umeelewaBunge la mijadala ambayo haina maazimio mwisho wa siku ni kama blow-off valve tu.Engine itapumua kidogo baadae itaendelea kutunza mvuke...
Kuongea na kupiga kelele bungeni kumesaidia nini? wako wapi kina Zitto, Msigwa, kina Kafulila, Lema, Lissu sio hao hao waliwakaribisha waliowakemea kama mafisadi 2015.
Kwangu mimi, mfumo wa demokrasia kwenye uongozi umepitwa na wakati umeleta maafa mengi kuliko uchifu au ufalme. uje tu mfumo mwingine.
Kimwanamke sura mbayaHapana Samweli Sita hata Anna Makinda angalau kulikuwa na bunge hata mijadala ilikuwa ya moto kwa serikali sahivi ni zaidi ya UVCCM
Kimelaaniwa haswaKimwanamke sura mbaya
Kinyago cha mpapureLeo ni mara ya pili unazuia wabunge kujadili hali hii mbaya ya utekaji na mauaji ya viongozi wa vyama vya upinzani na wananchi wa kawaida wakiwemo watoto! Mbaya zaidi unaisemea serikali kuliko Waziri Mkuu na mawaziri wengine.
Hivi unajua wajibu wako unapokuwa hapo kwenye kiti cha Spika? Wadhifa wako katika serikali ya Samia ni upi? M
Kwa kuikingia kifua serikali unadhani unamsaidia Rais Samia au unamfanya aonekane ni muuaji na mpenda madaraka? Huoni kuwa unampakaza Samia damu za wote wanaouawa na vyombo vya dola?
Kwa nini unamzuia Waziri Mkuu kujibu hoja kuhusu mauaji na utekaji unaoendelea kuwa tishio kwa wananchi? Kwa nini unawazuia wabunge kuiwajibisha serikali kwa maovu yanayoendelea? Hivi hufahamu kuwa wabunge wanasema kwa niaba ya wananchi na siyo serikali?
Kwa nini unaufanya muhimili wa Bunge kuwa chawa wa serikali? Huelewi kuwa wakiwajibishwa wote wanaofanya maovu haya serikali ya Samia itasafishika na kuepuka lawama ambazo hivi sasa zinaelekezwa kwake.
Tulia kwa nini unakuwa na roho ya kishetani namna hii halafu unajifanya mlokole TAG. Huoni unalipaka matope kanisa unalosali la Tanzania Assemblies of God?
PIA SOMA
- Spika Tulia: Tusiweke mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea amechukuliwa na Vyombo vya Dola. Tusitumie mihemko
Kama nguchiroKimwanamke sura mbaya
Una ushahidi gani kwamba maovu yanayoendelea kwenye jamii yetu chanzo chake ni serikali?. Hoja yako haina mashiko.Leo ni mara ya pili unazuia wabunge kujadili hali hii mbaya ya utekaji na mauaji ya viongozi wa vyama vya upinzani na wananchi wa kawaida wakiwemo watoto! Mbaya zaidi unaisemea serikali kuliko Waziri Mkuu na mawaziri wengine.
Hivi unajua wajibu wako unapokuwa hapo kwenye kiti cha Spika? Wadhifa wako katika serikali ya Samia ni upi? M
Kwa kuikingia kifua serikali unadhani unamsaidia Rais Samia au unamfanya aonekane ni muuaji na mpenda madaraka? Huoni kuwa unampakaza Samia damu za wote wanaouawa na vyombo vya dola?
Kwa nini unamzuia Waziri Mkuu kujibu hoja kuhusu mauaji na utekaji unaoendelea kuwa tishio kwa wananchi? Kwa nini unawazuia wabunge kuiwajibisha serikali kwa maovu yanayoendelea? Hivi hufahamu kuwa wabunge wanasema kwa niaba ya wananchi na siyo serikali?
Kwa nini unaufanya muhimili wa Bunge kuwa chawa wa serikali? Huelewi kuwa wakiwajibishwa wote wanaofanya maovu haya serikali ya Samia itasafishika na kuepuka lawama ambazo hivi sasa zinaelekezwa kwake.
Tulia kwa nini unakuwa na roho ya kishetani namna hii halafu unajifanya mlokole TAG. Huoni unalipaka matope kanisa unalosali la Tanzania Assemblies of God?
PIA SOMA
- Spika Tulia: Tusiweke mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea amechukuliwa na Vyombo vya Dola. Tusitumie mihemko
Unapoteza muda wako kwa kutunza hasira bila ya sababu. Hoja nzima ya masuala ya mauaji iliingia bungeni kishabiki zaidi haswa kupitia taarifa za magazetini.Lakini huyu ni chawa mjinga. Kwa sababu anafanya uchawa wa kumharibia Rais.
Huyu mtu amekaa darasani kwa miaka mingi lakini hajitambui na wala elimu haijamkomboa wala kumfanya astaarabike.
Ifanyike kampeni kubwa ili huyu mtu asionekane tena bungeni, hana maana na hana msaada kwa Taifa.
Kwanza huyu hata kujifanya mlokole bila shaka ametafuta kichaka cha kufichia uovu wake. Hana dini mtu huyu. Hakuna dini ya kweli inayotetea uovu.
Wee chawa mshenzi kaa kwa kutulia igange njaa yako!Unapoteza muda wako kwa kutunza hasira bila ya sababu. Hoja nzima ya masuala ya mauaji iliingia bungeni kishabiki zaidi haswa kupitia taarifa za magazetini.
Spika hufanya kazi kwa ushahidi unaojitosheleza.
Lawama za mapovu haziwezi kukusaidia. Spika ni daktari wa sheria ni mbobezi anayejua anafanya nini.Wee chawa mshenzi kaa kwa kutulia igange njaa yako!
Kila kitu kina mwanzo na mwisho. Walikuwapo wakapitaHiki kibibi kiliwekwa kulinda uovu wa serikali
Alivyoongeza kifungu ambacho hakipo cha kumhukumu Mpina alikitoa kwenye Sheria ya nchi gani?Lawama za mapovu haziwezi kukusaidia. Spika ni daktari wa sheria ni mbobezi anayejua anafanya nini.
Mpina sio wa kwanza kusimamishwa kuingia bungeni. Na wa aina yake wengi wameshasimamishwa, fuatilia historia za siku zilizopita.Alivyoongeza kifungu ambacho hakipo cha kumhukumu Mpina alikitoa kwenye Sheria ya nchi gani?
Daktari chawa kama wewe! Udaktari wake hauna uhusiano na roho yake ya kishetani!Lawama za mapovu haziwezi kukusaidia. Spika ni daktari wa sheria ni mbobezi anayejua anafanya nini.