Tuliachana vibaya, kila mtu amepiga hatua kwenye maisha yake, ila kawa mzuri zaidi

Tuliachana vibaya, kila mtu amepiga hatua kwenye maisha yake, ila kawa mzuri zaidi

Ndio mkuu, i respect her and her marriage, mie pia niko vizuri ki upande wangu, nazani hizi zingine tamaa tu za kiume kwamba vizuri vyote tuvimiliki kwa pamoja. So siwezi kumuaribia ndoa yake na siwezi kuruhusu mtoto wangu azaliwe kwa watu wengine. Nikimla huyu namjua mke wangu nae watamla, ni kanuni ya dunia.
Unaweza usimle na mke wako akaliwa
 
Last week nilikutana na Ex wangu ambae tulikua tunaishi kama mke na mume zamani. Akiwa amemaliza chuo hana ramani, nikamwambia mama usipate shaka mumeo nipo nna kijikazi njoo tuishi, so tukaanza kuishi wote yaani ile happily ever after, so so happy.

Mwanamke wa haswa haswa, sasa tukawa tuna utata mmoja, binti kila siku ana fosi ndoa yaani kila siku ana fosi twende kwao tufunge ndoa chapu chapu, mie nikaona why huyu ana fosi? Kuna kitu tu lazima hii sio kawaida, maskini kumbe shetani alikua upande wangu, so nikawa namzimgua na nini, na ofcoz hii iwe elimu kwa mabinti wote pia kwamba mwanaume ukimpa kila kitu na mnaishi pamoja sasa akuoe ili uweze ku offer jambo gani jipya? Kaeni kwenu.

So hatukua na ishu kubwa wala zaidi ya ishu za ndoa, she fed up, akasema anaenda kwao huko, mie nikaona kawaida tu, ubize bize na harakati na nini dada wa watu kajiongeza huko akaolewa bwana na ki bopa yupo wizara ya afya.

Juzi tumekutana hapa mjini aisee aisee nilitamani kurudisha siku nyuma, binti kawa mzuri mara 50 ya pale alipokua mwanzo, kapendeza haswa, mzuri mnoo. Basi wote tuka-hug na kupiga stori za zamani na sasa, akalia sana why hatuku-oanaga! nikamwambia that is life.

Unakutana na ex wako unasema huyu ningemuoa huyu/au ninge olewa na huyu, leo tungewanyoosha sana hapa mjini, tungekua bonge moja la couple ila sad hatukuweza kuona from that far. Lakini tunakubali tulivyo navyo sasa ni bora sio? ndio maana tuko navyo.

Life

Upuuzi, kalelewa huyo, angekuwa kaolewa na wewe angekuwa kachoka sana
 
Offcourse mwanamke anavyozidi kukua anakua mzuri balaa...tena akipata mume anaemjali uwiii...au nasema uongo madadaz...ma Ex wanapata muhaho
 
Mapenzi ndio yanataka hivyo kwanza mwanamke hatakiwi kupenda mwanamke akipenda hakuna mapenzi au hakuna ndoa kiufupi mwanamke akilazimisha ndoa tunaamini ana kasoro
 
Last week nilikutana na Ex wangu ambae tulikua tunaishi kama mke na mume zamani. Akiwa amemaliza chuo hana ramani, nikamwambia mama usipate shaka mumeo nipo nna kijikazi njoo tuishi, so tukaanza kuishi wote yaani ile happily ever after, so so happy.

Mwanamke wa haswa haswa, sasa tukawa tuna utata mmoja, binti kila siku ana fosi ndoa yaani kila siku ana fosi twende kwao tufunge ndoa chapu chapu, mie nikaona why huyu ana fosi? Kuna kitu tu lazima hii sio kawaida, maskini kumbe shetani alikua upande wangu, so nikawa namzimgua na nini, na ofcoz hii iwe elimu kwa mabinti wote pia kwamba mwanaume ukimpa kila kitu na mnaishi pamoja sasa akuoe ili uweze ku offer jambo gani jipya? Kaeni kwenu.

So hatukua na ishu kubwa wala zaidi ya ishu za ndoa, she fed up, akasema anaenda kwao huko, mie nikaona kawaida tu, ubize bize na harakati na nini dada wa watu kajiongeza huko akaolewa bwana na ki bopa yupo wizara ya afya.

Juzi tumekutana hapa mjini aisee aisee nilitamani kurudisha siku nyuma, binti kawa mzuri mara 50 ya pale alipokua mwanzo, kapendeza haswa, mzuri mnoo. Basi wote tuka-hug na kupiga stori za zamani na sasa, akalia sana why hatuku-oanaga! nikamwambia that is life.

Unakutana na ex wako unasema huyu ningemuoa huyu/au ninge olewa na huyu, leo tungewanyoosha sana hapa mjini, tungekua bonge moja la couple ila sad hatukuweza kuona from that far. Lakini tunakubali tulivyo navyo sasa ni bora sio? ndio maana tuko navyo.

Life
Mlivyokutana hamkupasha kiporo.

Hapo sex huwa inakuwaga tamu sana maana mnatombana mkiwa na hisia kuwa hamjui mtaonana lini tena na kukumbushia mautundu yenu
 
Tamaa ya upumbavu wa mwanamke mjinga hapo anaweza akashawishika akaharibu ndoa yake aolewe na ex wake, then akishaachika na ex nae uingia mitini ukosa vyote zaidi ya majuto.
Kama hamkuoana hakuwa wako
 
Last week nilikutana na Ex wangu ambae tulikua tunaishi kama mke na mume zamani. Akiwa amemaliza chuo hana ramani, nikamwambia mama usipate shaka mumeo nipo nna kijikazi njoo tuishi, so tukaanza kuishi wote yaani ile happily ever after, so so happy.

Mwanamke wa haswa haswa, sasa tukawa tuna utata mmoja, binti kila siku ana fosi ndoa yaani kila siku ana fosi twende kwao tufunge ndoa chapu chapu, mie nikaona why huyu ana fosi? Kuna kitu tu lazima hii sio kawaida, maskini kumbe shetani alikua upande wangu, so nikawa namzimgua na nini, na ofcoz hii iwe elimu kwa mabinti wote pia kwamba mwanaume ukimpa kila kitu na mnaishi pamoja sasa akuoe ili uweze ku offer jambo gani jipya? Kaeni kwenu.

So hatukua na ishu kubwa wala zaidi ya ishu za ndoa, she fed up, akasema anaenda kwao huko, mie nikaona kawaida tu, ubize bize na harakati na nini dada wa watu kajiongeza huko akaolewa bwana na ki bopa yupo wizara ya afya.

Juzi tumekutana hapa mjini aisee aisee nilitamani kurudisha siku nyuma, binti kawa mzuri mara 50 ya pale alipokua mwanzo, kapendeza haswa, mzuri mnoo. Basi wote tuka-hug na kupiga stori za zamani na sasa, akalia sana why hatuku-oanaga! nikamwambia that is life.

Unakutana na ex wako unasema huyu ningemuoa huyu/au ninge olewa na huyu, leo tungewanyoosha sana hapa mjini, tungekua bonge moja la couple ila sad hatukuweza kuona from that far. Lakini tunakubali tulivyo navyo sasa ni bora sio? ndio maana tuko navyo.

Life
Wanaume wengi tumepitia huko ila fahamu kwamba wanawake hawaishi na kuna wazuri zaidi yale na waliotulia....Tafuta hela utampata mwanamke yoyote unayemtaka mwenyewe.....Usipokuwa na hela huwezi pata unachotaka....
 
Offcourse mwanamke anavyozidi kukua anakua mzuri balaa...tena akipata mume anaemjali uwiii...au nasema uongo madadaz...ma Ex wanapata muhaho
Kumkuta ex kazidi kuchanua ni dharau kubwa sana [emoji23][emoji23]
 
Ndio mkuu, i respect her and her marriage, mie pia niko vizuri ki upande wangu, nazani hizi zingine tamaa tu za kiume kwamba vizuri vyote tuvimiliki kwa pamoja. So siwezi kumuaribia ndoa yake na siwezi kuruhusu mtoto wangu azaliwe kwa watu wengine. Nikimla huyu namjua mke wangu nae watamla, ni kanuni ya dunia.
mkuu naomba kukuuliza hapa kwa kanuni hii ya kidunia ,ukila wa watu wako ataliwa ,inamana wote waloliwa wake zao na wao walikula wake za watu ?
 
Back
Top Bottom