Unaweza usimle na mke wako akaliwaNdio mkuu, i respect her and her marriage, mie pia niko vizuri ki upande wangu, nazani hizi zingine tamaa tu za kiume kwamba vizuri vyote tuvimiliki kwa pamoja. So siwezi kumuaribia ndoa yake na siwezi kuruhusu mtoto wangu azaliwe kwa watu wengine. Nikimla huyu namjua mke wangu nae watamla, ni kanuni ya dunia.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ohoooooo. Sio muda tutaona uzi wa kibopa hapa anaomba ushauri.
Si umeshamsoma mwenyewe hapo.. Aliona demu king'anga'nizi wa ndoa [emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] mshana we mpana balaa. Kwamba angemfuja au?[emoji38][emoji38][emoji38]
Kama ni hivyo basi tumshukuru Mungu ππΏππΏππΏππππ dooh Mtumishi, hapana nimeshindwa mkuu.
Last week nilikutana na Ex wangu ambae tulikua tunaishi kama mke na mume zamani. Akiwa amemaliza chuo hana ramani, nikamwambia mama usipate shaka mumeo nipo nna kijikazi njoo tuishi, so tukaanza kuishi wote yaani ile happily ever after, so so happy.
Mwanamke wa haswa haswa, sasa tukawa tuna utata mmoja, binti kila siku ana fosi ndoa yaani kila siku ana fosi twende kwao tufunge ndoa chapu chapu, mie nikaona why huyu ana fosi? Kuna kitu tu lazima hii sio kawaida, maskini kumbe shetani alikua upande wangu, so nikawa namzimgua na nini, na ofcoz hii iwe elimu kwa mabinti wote pia kwamba mwanaume ukimpa kila kitu na mnaishi pamoja sasa akuoe ili uweze ku offer jambo gani jipya? Kaeni kwenu.
So hatukua na ishu kubwa wala zaidi ya ishu za ndoa, she fed up, akasema anaenda kwao huko, mie nikaona kawaida tu, ubize bize na harakati na nini dada wa watu kajiongeza huko akaolewa bwana na ki bopa yupo wizara ya afya.
Juzi tumekutana hapa mjini aisee aisee nilitamani kurudisha siku nyuma, binti kawa mzuri mara 50 ya pale alipokua mwanzo, kapendeza haswa, mzuri mnoo. Basi wote tuka-hug na kupiga stori za zamani na sasa, akalia sana why hatuku-oanaga! nikamwambia that is life.
Unakutana na ex wako unasema huyu ningemuoa huyu/au ninge olewa na huyu, leo tungewanyoosha sana hapa mjini, tungekua bonge moja la couple ila sad hatukuweza kuona from that far. Lakini tunakubali tulivyo navyo sasa ni bora sio? ndio maana tuko navyo.
Life
Mlivyokutana hamkupasha kiporo.Last week nilikutana na Ex wangu ambae tulikua tunaishi kama mke na mume zamani. Akiwa amemaliza chuo hana ramani, nikamwambia mama usipate shaka mumeo nipo nna kijikazi njoo tuishi, so tukaanza kuishi wote yaani ile happily ever after, so so happy.
Mwanamke wa haswa haswa, sasa tukawa tuna utata mmoja, binti kila siku ana fosi ndoa yaani kila siku ana fosi twende kwao tufunge ndoa chapu chapu, mie nikaona why huyu ana fosi? Kuna kitu tu lazima hii sio kawaida, maskini kumbe shetani alikua upande wangu, so nikawa namzimgua na nini, na ofcoz hii iwe elimu kwa mabinti wote pia kwamba mwanaume ukimpa kila kitu na mnaishi pamoja sasa akuoe ili uweze ku offer jambo gani jipya? Kaeni kwenu.
So hatukua na ishu kubwa wala zaidi ya ishu za ndoa, she fed up, akasema anaenda kwao huko, mie nikaona kawaida tu, ubize bize na harakati na nini dada wa watu kajiongeza huko akaolewa bwana na ki bopa yupo wizara ya afya.
Juzi tumekutana hapa mjini aisee aisee nilitamani kurudisha siku nyuma, binti kawa mzuri mara 50 ya pale alipokua mwanzo, kapendeza haswa, mzuri mnoo. Basi wote tuka-hug na kupiga stori za zamani na sasa, akalia sana why hatuku-oanaga! nikamwambia that is life.
Unakutana na ex wako unasema huyu ningemuoa huyu/au ninge olewa na huyu, leo tungewanyoosha sana hapa mjini, tungekua bonge moja la couple ila sad hatukuweza kuona from that far. Lakini tunakubali tulivyo navyo sasa ni bora sio? ndio maana tuko navyo.
Life
Akigonga 30+ na kashazalishwa urembo unapungua tenaOffcourse mwanamke anavyozidi kukua anakua mzuri balaa...tena akipata mume anaemjali uwiii...au nasema uongo madadaz...ma Ex wanapata muhaho
Anatunzwa kama anao utiiNdo ujue mwanamke matunzo.
Hongera kwa kibopa anajua kutunza.
Wanaume wengi tumepitia huko ila fahamu kwamba wanawake hawaishi na kuna wazuri zaidi yale na waliotulia....Tafuta hela utampata mwanamke yoyote unayemtaka mwenyewe.....Usipokuwa na hela huwezi pata unachotaka....Last week nilikutana na Ex wangu ambae tulikua tunaishi kama mke na mume zamani. Akiwa amemaliza chuo hana ramani, nikamwambia mama usipate shaka mumeo nipo nna kijikazi njoo tuishi, so tukaanza kuishi wote yaani ile happily ever after, so so happy.
Mwanamke wa haswa haswa, sasa tukawa tuna utata mmoja, binti kila siku ana fosi ndoa yaani kila siku ana fosi twende kwao tufunge ndoa chapu chapu, mie nikaona why huyu ana fosi? Kuna kitu tu lazima hii sio kawaida, maskini kumbe shetani alikua upande wangu, so nikawa namzimgua na nini, na ofcoz hii iwe elimu kwa mabinti wote pia kwamba mwanaume ukimpa kila kitu na mnaishi pamoja sasa akuoe ili uweze ku offer jambo gani jipya? Kaeni kwenu.
So hatukua na ishu kubwa wala zaidi ya ishu za ndoa, she fed up, akasema anaenda kwao huko, mie nikaona kawaida tu, ubize bize na harakati na nini dada wa watu kajiongeza huko akaolewa bwana na ki bopa yupo wizara ya afya.
Juzi tumekutana hapa mjini aisee aisee nilitamani kurudisha siku nyuma, binti kawa mzuri mara 50 ya pale alipokua mwanzo, kapendeza haswa, mzuri mnoo. Basi wote tuka-hug na kupiga stori za zamani na sasa, akalia sana why hatuku-oanaga! nikamwambia that is life.
Unakutana na ex wako unasema huyu ningemuoa huyu/au ninge olewa na huyu, leo tungewanyoosha sana hapa mjini, tungekua bonge moja la couple ila sad hatukuweza kuona from that far. Lakini tunakubali tulivyo navyo sasa ni bora sio? ndio maana tuko navyo.
Life
Kumkuta ex kazidi kuchanua ni dharau kubwa sana [emoji23][emoji23]Offcourse mwanamke anavyozidi kukua anakua mzuri balaa...tena akipata mume anaemjali uwiii...au nasema uongo madadaz...ma Ex wanapata muhaho
Hivi kama Zari yupo kwenye 40's lkn mzuri vile, hajachakaa kama baadhi ya mabinti wa 20's. Matunzo pia nadhani yanachangia.Akigonga 30+ na kashazalishwa urembo unapungua tena
Baadhi wanaweza kuwa vile. Lifestyle ya mtu pia inachangiaHivi kama Zari yupo kwenye 40's lkn mzuri vile, hajachakaa kama baadhi ya mabinti wa 20's. Matunzo pia nadhani yanachangia.
mkuu naomba kukuuliza hapa kwa kanuni hii ya kidunia ,ukila wa watu wako ataliwa ,inamana wote waloliwa wake zao na wao walikula wake za watu ?Ndio mkuu, i respect her and her marriage, mie pia niko vizuri ki upande wangu, nazani hizi zingine tamaa tu za kiume kwamba vizuri vyote tuvimiliki kwa pamoja. So siwezi kumuaribia ndoa yake na siwezi kuruhusu mtoto wangu azaliwe kwa watu wengine. Nikimla huyu namjua mke wangu nae watamla, ni kanuni ya dunia.
Inategemea mimi nina watoto 5 huwezi nidhania... π π π πAkigonga 30+ na kashazalishwa urembo unapungua tena