Tuliambiwa pesa za tozo za simu ndio zitatumika kwenye miradi ya afya na elimu sasa fedha za IMF je?

Tuliambiwa pesa za tozo za simu ndio zitatumika kwenye miradi ya afya na elimu sasa fedha za IMF je?

Ogopa sana matapeli (CCM).

Mama alipewa dola milioni 450 ambazo ni zaidi ya Trilion moja kufidia hasara/athari ya Corona, Muulize ziko wapi. Hiyo ilikuwa mwezi wa 5 mwaka huu.
Na mbado huku mikoani hata hazipo sijuizipo wapi
 
Wabunge ndo walewale hawana uwezo wa kuhoji
Zile trilion moja walisema watajenga shule mpya elfu moja nchi nzima. Huku napoishi sijaona hata shule mpya moja, hata msingi tu, sijui huko!

Baadae wakasema, tozo za miamala zitatumika kuboresha afya, elimu, barabara za mijini na vijijin etc.

Leo wamekuja na taarifa kwamba, watajenga madarasa elfu 15 kwa fedha za IMF.

Nani atusaidie kuhoji huko mamlakani ili tupate ufafanuzi kati ya fedha zile kutoka World Bank na hizi za IMF?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Waziri wa Fedha awe mkweli maana kama kajisahau vile anaendelea kutoa hotuba, alituambia fedha za tozo zitahusika kwenye Ujenzi wa madarasa na huduma za afya, leo hii fedha walizopewa na IMF anataja miradi ile ile kwamba ndio itakayo tekelezwa, huenda labda mm sijaelewa vizuri pamoja na kuwa nina experience ya ufadhili wa miradi kwamba mnaweza mkawapa wafadhili 3 ripoti ya mradi 1 ila kila mtu akawa alitoa peza za mradi huo huo.

Huenda sijaelewa kwamba fedha za tozo zitafanya kazi gani vile na hizi za IMF zitafanya kazi ipi vile.

Wakumbuke Wastaafu HAWAJALIPWA MAFAO yao sasa ni miezi 12 na zaidi kwa wengine.

6457B0C7-8671-4362-88E9-FACAFCF509AE.jpeg
 
Viongozi wanaendesha nchi ki propaganda sana, hayo madeni ambayo wanadaiwa na hawajayapatia ufumbuzi

Wnakopa hela kwa maslahi yao binafsi afu mwisho wa siku deni linatajwa kua ni la nchi, WTF?
 
Tulia wewe, ulitaka waseme waziwazi kuwa wanapiga hela za tozo za miamala??
 
Ogopa sana matapeli (CCM).

Mama alipewa dola milioni 450 ambazo ni zaidi ya Trilion moja kufidia hasara/athari ya Corona, Muulize ziko wapi. Hiyo ilikuwa mwezi wa 5 mwaka huu.
labda ziko kwenye kibubu cha kampeni 2025
 
Waziri wa Fedha awe mkweli maana kama kajisahau vile anaendelea kutoa hotuba, alituambia fedha za tozo zitahusika kwenye Ujenzi wa madarasa na huduma za afya, leo hii fedha walizopewa na IMF anataja miradi ile ile kwamba ndio itakayo tekelezwa, huenda labda mm sijaelewa vizuri pamoja na kuwa nina experience ya ufadhili wa miradi kwamba mnaweza mkawapa wafadhili 3 ripoti ya mradi 1 ila kila mtu akawa alitoa peza za mradi huo huo.

Huenda sijaelewa kwamba fedha za tozo zitafanya kazi gani vile na hizi za IMF zitafanya kazi ipi vile.

Wakumbuke Wastaafu HAWAJALIPWA MAFAO yao sasa ni miezi 12 na zaidi kwa wengine.
Ukichunguza kwa makini pesa za mkopo wa IMF zimekaa kiulaji kwa watu wachache ndo maana zimepelekwa kwenye ujenzi ili watu watengeneze vikampuni vyao vya ujenzi wakinge mshiko. Kwenye hotuba mama kasema taratibu za kawaida za manunuzi zisifuatwe ili mambo yakamilike haraka maana muda ni mfupi miezi tisa tu, pesa nyingine itaenda kwenye utalii ambako nako haijaainishwa itatumikaje............kwa hiyo ni full ulaji. Huwezi ukawa na stimulus plan ya namna hiyo inayolenga watu wachache. Nilitegemea pesa ingepelekwa kwenye ruzuku kwa ajili ya pembejeo za kilimo na kuwalipa watumishi increment zao. Kuna watumishi kibao hawakupandishwa madaraja kwa uzembe na roho mbaya ya maafisa utumishi. Pamoja na waziri Mchengelwa kuelekeza waondolewe kwenye nafasi zao na washushwe vyeo hasa kwenye wakala za serikali naona wapo tu wanadunda......hii nchi bado inapitia kipindi kigumu, bado hatujapata mtu sahihi wa kutuongoza pamoja na kwamba kuna watu walifurahia kifo cha magu....​
 
Back
Top Bottom