Tulianza kuwasha moto Afrika Kusini, leo basi limeingia kinyumenyume! Tumebakiza kutoa haja kubwa tu viwanjani ili tushinde

Ili popoma halikutakiwa kuwa hata nominated yaani lina utoto mwingi sana,sijui ni mtu wa aina gani huyu
 
Aliyepigiwa kura ni popoma sio huyu
 
We kweli sigara kali
 
Yaaah huyo anastaili kuitwa bwegge au Fwallah
 
Wewe ndie ulikuwa ukijisifu kwa huo ujinga ukisema game imeisha, haya sasa naona tena unawakana wenzako[emoji1787][emoji1787]
 

Mkuu.

Huyu mtu ni TATIZO sana, analopoka lopoka mno.

Nahisi Huwa kinampanda.
 
Sio wewe uliyekuwa unasema unafanya ulozi uwanjani Simba ishinde?
Si wewe uliyetetea sana uwepo wa kocha mzungu?
Unalalamimika nini na ilijulikana kabisa nini kitatokea?!!
 

Huyo popoma ujuaji mwingi.
 
Tangu lini Makolo iliwahi kuwa tiny Bora zaidi ya kununua waamuzi na kuwanunua tiny pinzani wenye njaa!! Tuliza Mshindo jombaa
 
Haya bana
 
Kuna kipindi unakuwa kama "unusu kasarobo" hivi!Hebu jifunze muda mwingine kujituliza kama kasuku!Acha ujingaujinga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…