Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Vijana wa siku hizi wanajitia wajuaji sana, they have no idea how much power walimu wa zamani walikua nayo...
 
Stori ya jamaa inaeleza alipigwa shuleni kwa makosa ya nyumbani. Kama una stori tofauti ilete tuisome , sisi wasomaji hatuna tabu na stori ya mtu
 
Labda kama ulisoma English medium ushuani huko.

Ila kupigwa shuleni kea kosa la nyumbani ilikuwa kawaida sana enzi hizo...tena makosa ya kipuuzi tu kuliko hilo la umughaka.
 
mimi nimesoma 80' hiyo ilikuwa ni kawaida sana.
 
Uko sahihi kabisa!!
Huna akili wewe unaebisha mambo ambayo yapo, Hakuna anaejipendekeza kwenye story ila tunakuelezea uhalisia. Halafu ukome na ukome tena!! Wazazi tunawaheshimu usilete laana zako za Ajabu na kipumbafu kusema hana akili. Kukulia sehemu moja pasipo kuzunguka Ndo kunakufanya uwe na akili mgando😏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…