Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wapo busy usiku na mchana tena majini ndio kabisa.Kwa hii michakato inamaana wachawi Hawanaga OFF DAYS Kila siku ni mbilinge tu.
Naona alichoka sana, maana huu usingizi, si bure! Kwa kelele zote hizi za kumstua, waaalaaaa hashtuki?UMUGHAKA umeakaje
🤣🤣🤣🤣Naona alichoka sana, maana huu usingizi, si bure! Kwa kelele zote hizi za kumstua, waaalaaaa hashtuki!!!?
Wenzie, hatujalala, muda wote TUNAMCHUNGULIA, tuone kama kafumbua macho, waaaapiii!
Apo ni balaa mtoto wa Mzee makono asije akanifanya kama ema na headmaster unaamka na matope miguuni.Mwise alishaolewa kwa harusi ya Kisukuma(wenga) na mtoto wa mzee Makono.
Ni kama vile nipo mahabusu, na ni siku ya Ijumaa. Dhamana, inamsubiri OCS wa hicho kituo. Inafika saa saba mchana, naambiwa ameenda harusini, hivyo dhamana mpaka Jumatatu!jamani leo timu ya arsenal inacheza tena na jana nilikua naangalia game za UEFA hivyo sitoleta muemdelezo mpaka kesho kutwa[emoji23][emoji119]
Hata mimi hili pia niliwahi kulisema, mtu akishaona watu wengi wanafatilia basi dharula zinaanza, mara mke wangu kajifungua mara sijui niniSio kwa ubaya najua na nyie mmeona Speed ya Episode ya 1-10 ilikua nzuri mtu anaweka tu.
Ila sijui ni katabia ka watu humu jukwaani mtu anaanza vizuri once akishakua na traffic ndio anaanza kunata na dharula zinaanza kumuandama. Mara mbuzi wangu kala mazao ya watu, mara mtoto kameza shoka ili mradi tu kunata.
Huyo mwamba ni habari nyingineBakora za kimkakati. Hahahaa namkumbuka Lwanda Magele
Jamaniiiii!! Mbona tutakua aroshoo kinoma!!jamani leo timu ya arsenal inacheza tena na jana nilikua naangalia game za UEFA hivyo sitoleta muemdelezo mpaka kesho kutwa[emoji23][emoji119]
[emoji41][emoji41] karibu San burka estate mkuuNtakuja kukusalimia burka estate cku nikija ma home
Uzuri ni kuwa humlipi,humchangii bando,hujui maisha yake hivo si vema kuanza kumsema vibaya ni vema ukashukuru kwa kidogo unachokipata.....sisi wanadamu ni wazuri wa kuona makosa tu lakini mafanikio hatuyazungumziii hivo msimpangie mleta uzi huuHata mimi hili pia niliwahi kulisema, mtu akishaona watu wengi wanafatilia basi dharula zinaanza, mara mke wangu kajifungua mara sijui nini