Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

jamani leo timu ya arsenal inacheza tena na jana nilikua naangalia game za UEFA hivyo sitoleta muemdelezo mpaka kesho kutwa[emoji23][emoji119]
Ni kama vile nipo mahabusu, na ni siku ya Ijumaa. Dhamana, inamsubiri OCS wa hicho kituo. Inafika saa saba mchana, naambiwa ameenda harusini, hivyo dhamana mpaka Jumatatu!
Wenye dhamana, MUWE NA HURUMA!
 
Sio kwa ubaya najua na nyie mmeona Speed ya Episode ya 1-10 ilikua nzuri mtu anaweka tu.

Ila sijui ni katabia ka watu humu jukwaani mtu anaanza vizuri once akishakua na traffic ndio anaanza kunata na dharula zinaanza kumuandama. Mara mbuzi wangu kala mazao ya watu, mara mtoto kameza shoka ili mradi tu kunata.
Hata mimi hili pia niliwahi kulisema, mtu akishaona watu wengi wanafatilia basi dharula zinaanza, mara mke wangu kajifungua mara sijui nini
 
Hata mimi hili pia niliwahi kulisema, mtu akishaona watu wengi wanafatilia basi dharula zinaanza, mara mke wangu kajifungua mara sijui nini
Uzuri ni kuwa humlipi,humchangii bando,hujui maisha yake hivo si vema kuanza kumsema vibaya ni vema ukashukuru kwa kidogo unachokipata.....sisi wanadamu ni wazuri wa kuona makosa tu lakini mafanikio hatuyazungumziii hivo msimpangie mleta uzi huu
 
Back
Top Bottom