Nimeshangaa sna nilienda Zanzibar na boat almost 3 hrs tulikua zanzibar na kurudi pia..Nadhani ulipanda meli maana boat karibia zote speed yake ni masaa mawili ama matatu uko Dar na kuna mpaka za dk 45
Sent using Jamii Forums mobile app
We mwenyewe maskini,
umechelewa, ukapanda boti la usiku.
Umeshindwa nini kulala Hotel uondoke kesho?
Ndege hazipo kwanza?
We ni Maskini kuliko hata hao unaita Maskini
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28]Acha uchokozi!
Wakati natembea na boat wewe hata kamasi ulikuwa huwezi kupenga hakyanani. Hivi 2000 ulikuwa unanyonya bado?[emoji28][emoji28]
Endelea kuniheshimu shem bae, hata nikionekana kuvunja heshima 😅😅[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Narudia tena...
NAKUHESHIMU Shem Bae.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We mwenyewe maskini,
umechelewa, ukapanda boti la usiku.
Umeshindwa nini kulala Hotel uondoke kesho?
Ndege hazipo kwanza?
We ni Maskini kuliko hata hao unaita Maskini
Mende tena, woiiiiiihKuna boat ya kutoka Zanzibar saa tatu usiku inatembea mwendo mdogo sana inaingia Dar saa tisa usiku. Abiria hamruhusiwi kuteremka Hadi ifikapo saa kumi na mbili asubuhi.
Ni boat nzuri na ya kisasa, sema Kuna mende wengi kwenye ile boat sijapata kuona... Sijui wahusika hawajaliona hilo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duu masaa 6 Dar zenji au ulipanda mtumbwi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Zanzibar to Dar masaa 6? Utakuwa ulipanda ngalawa lofa wewe!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sawa.Endelea kuniheshimu shem bae, hata nikionekana kuvunja heshima [emoji28][emoji28]
Nadhani ulipanda meli maana boat karibia zote speed yake ni masaa mawili ama matatu uko Dar na kuna mpaka za dk 45
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshangaa maana umbali kutoka Ubungo-Chalinze ni KM 93 sawa na 40 Neutical miles za Dar -ZanzibarTutumie common sense, boti ya kukaa masaa matano badala ya one hour baharini la kazi gani?
Sifanyi biashara hii.
Hao mende zenji ni ujumbe yakheSema Kuna mende wengi kwenye ile boat sijapata kuona...sijui wahusika hawajaliona hilo[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh aisee.We mwenyewe maskini,
umechelewa, ukapanda boti la usiku.
Umeshindwa nini kulala Hotel uondoke kesho?
Ndege hazipo kwanza?
We ni Maskini kuliko hata hao unaita Maskini
PESANaomba kujua. Mie mtanganyika nikitaka kwenda Zanzibar. Natakiwa kuwa na nini hasa?